Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Ile video imeniharibia siku. Nilijisikia vibaya sana moyoni. Jamaa anapiga makelele ya mtu aliyekata tamaa akiomba msaada na kuelezea hali anayokwenda kukumbana nayo.

Allah Kareem akawaangamize utawala wa kisheitwani ukiongozwa na Samia na wahuni wenzake wote wa CCM. Hawana haya wala hofu kwamba wataulizwa kaburini juu ya yale waliyotendea wengine. Kuvaa ushungi kujisitiri inafaa nini ikiwa matendo yake ni ya kishirikina na kisheitwani? Mjaa laana mkubwa!
 
Ukiweka Mkiristo Parapanda inapigwa wanapanda juu kama ilivyo leo. Katiba ifanyiwe amendments kabla ya uchaguzi wa 2025 vinginevyo hili ombwe halitaisha.
 
Tatizo ni aina ya uchukuaji. Kwanini wasije na mavazi ya kiaskari walau mmoja? Staili wanayoitumia inaacha mwanya kwa wahalifu kuitumia kwa kujifanya maafisa usalama. Ni nchi ya kishenzi sana Tanzania ni vile basi tu!
 
Aise sisi wabongo sijui huu uoga tumetoa wapi yan hao maboyo ilitakiwa wananchi wawashushie kipigo cha kufa mtu
 
Ila na pia tungependa kujuwa huyo deo bonge ni nani na anajishugulisha na nini???
Au naye mwanaharakati

Ova
 
Tutajua tu,itoshe kuanzia sasa kama anakamatwa popote na watu waliovaa kiraia bila kujali na police basi jua ni majambazi ,nguvu ya umma itumike, na kama swala ni kufika kituo cha police ambacho inasemekana kipo karibu na eneo la tukio why kutumia nguvu nyingi kiasi hicho ,hawa hawakua na nia njema kwa uyu ndugu
 
Kila nikiangalia hii Video naijiwa na Hisia mbaya za Viongozi wetu. Imani imenitoka nawaombea baya lolote liwapate. Am real disappointed, at the end tungeambiwa KIFO NI KIFO TUUU!
Hatuna viongozi tuna watawala na wajukuu wa Hitler.
 
Siwalaumu polisi nawalaumu hao kukumaji wanaume wa dar waliokuwa wanashangaa na kushindwa kumsaidia mwenzao,oumbavu kabisa
Mtoa msaada ndie anae umia..hofu ni jamaa wakiwa na πŸ”« chukulia mfano tukio la mzee Ali kibao..yaan ungejiingiza TU KUSAIDIA ni kujitoa kafara.

NB.
Ni Bora ufe ukitetea haki kuliko kukaa kimya huku uovu ukitendeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…