Jaribio la kunidhuru limeshindikana ashukuriwe Mungu

Jaribio la kunidhuru limeshindikana ashukuriwe Mungu

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Wakuu,

Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.

Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.

Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.

Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.

Nikaagiza kifungua kinywa.

Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.

Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.

Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.

Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.

Asanteni. Weekend njema.
 
Wakuu,

Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.

Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.
Poor killing tactic
Huna adui wa maana una mtu anakuonea wivu wa maendeleo tu.

Adui wa maana hawez kuwa na method ya kizembe ivo
 
Ni kweli, nishakutana na paper clip kwenye kitumbua na mara nyengine tena kwenye kitumbua nakutana na shanga daah!, mwenyeezi mungu ni mkubwa.
Hii ni tofauti mkuu, vyupa vinatoka wapi kwenye supu, ingekuwa kinywaji hapo sawa useme labda chupa imevunjika bahati mbaya wakati wa kufungua, hiyo ilikusudiwa.

Ni kuongeza umakini. hali si hali binadamu hawaaminiki tena.
 
hii ni tofauti mkuu, vyupa vinatoka wapi kwenye supu, ingekuwa kinywaji hapo sawa useme labda chupa imevunjika bahati mbaya wakati wa kufungua, hiyo ilikusudiwa.

Ni kuongeza umakini. hali si hali binadamu hawaaminiki tena.
Ni vyema kumshkuru muumba aliyekuepusha na janga hilo.
 
Wakuu,

Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.

Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.

Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.

Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.

Nikaagiza kifungua kinywa.

Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.

Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.

Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.

Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.

Asanteni. Weekend njema.
Ulichukua hatua gani?
 
Pole bwana stroke sisi tukajua huo ugonjwa Kwenye I'd Yako umekupiga mpaka unashindwa zama humu
Ni kweli Muda kidogo nilikua sijaona I'd Yako ikitoa michango kumbe ulipatwa makubwa
Daaa Makinika Sana mkuu maadui hawatoki mbali Aisee
Ninesikitika Sana!
 
hii ni tofauti mkuu, vyupa vinatoka wapi kwenye supu, ingekuwa kinywaji hapo sawa useme labda chupa imevunjika bahati mbaya wakati wa kufungua, hiyo ilikusudiwa.

Ni kuongeza umakini. hali si hali binadamu hawaaminiki tena.
Tanzania ni nchi yenye watu wasio makini kila kona. Hiyo uwezekano mkubwa ilikuwa na uzembe ulifanyika chupa zikaingia kwenye kifungua kinywa. BTW hukuuliza chochote? Walikupa majibu gani? Kitu kama hiki kinapotokea ni vizuri uchukuwe hatua stahiki kwani unaweza kuokoa maisha ya wengine. Imagine ingekuwa ni chupa imevunjika ikaingia kwenye chakula. Kuna uwezekano kuna watu walikula na wakadhurika.
 
Poor killing tactic
Huna adui wa maana una mtu anakuonea wivu wa maendeleo tu.

Adui wa maana hawez kuwa na method ya kizembe ivo
Thread ifungwe! Umemaliza kila kitu, hana adui ali serious kumuua. Muuaji hawezi kutumia mbinu mbovu hivyo huyu jamaa kungekua na mtu anataka uhai wake saiv title yake ingesoma R.I.P na tungepitisha rambirambi humu, binadamu wabaya sana.

Pole yake lakini kwa huo mkasa.
 
Wakuu,

Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.

Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.

Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.

Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.

Nikaagiza kifungua kinywa.

Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.

Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.

Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.

Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.

Asanteni. Weekend njema.
Jambo hilo lingekupata nchi zinazojitambua, ungeneemeka kifedha. Pole!
 
Back
Top Bottom