Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,061
Mutiner aki surrender 1964
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko ambapo sheria hiyo ipo, sio kila nyaraka automatically inaikuwa chini ya sheria hiyo.
Ndio maana hadi sasa kuna nyaraka za wakati wa JFK hazijawekwa wazi.
Nyaraka gani za wakati wa JFK ambazo hazijawekwa wazi?
Baadhi ya nyaraka kuhusu mauaji yake.
Nyaraka kuhusu Malcolm X na mauaji yake pia hazijawekwa zote wazi
Kwa uchache
Baadhi ya nyaraka kuhusu mauaji yake.
Nyaraka kuhusu Malcolm X na mauaji yake pia hazijawekwa zote wazi
Kwa uchache
Baadhi ya nyaraka kuhusu mauaji yake.
Nyaraka kuhusu Malcolm X na mauaji yake pia hazijawekwa zote wazi
Kwa uchache
I remember nilishawahi kuangalia documentary moja kuhusu oswald.., alleged JFK killer, walisema jamaa alikua socialist na alikua na link na cuba..,
nadhani wakumbuka JFK alikufa baada ya vuguvugu la "cuban missile crisis"
Manning Marable's [Malcolm X]
Kwa kuanzia
Imebidi nicheke tu! Manning Marable...are you serious?
that is too general; kusema "baadhi ya naraka kuhusu mauaji yake" zina assume kuwa zipo. Kwa mfano nyaraka gani ambazo wametaka kuziona au zinajulikana kuwa zipo na hazijatolewa hadharani baada ya kipindi cha kisheria cha kuwa classified kupita?
Kuna nyaraka zinazohusiana na mazungumzo ya simu ya Malcolm X na watu wanaohusiana nae.
Zipo na hazijawekwa wazi licha ya watafiti kuziomba tena na tena.
Kuna nyaraka zinazohusiana na mazungumzo ya simu ya Malcolm X na watu wanaohusiana nae.
Zipo na hazijawekwa wazi licha ya watafiti kuziomba tena na tena.
terms za classification ya hizo documents ni nini? au ni sababu gani inatolewa ya kutoziweka hadharani?
Kwani ikiwa classified vipi, huwa hazitolewi au kukiwa na sababu gani?