WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,373
- 3,139
Uko sawa pia...[emoji1787]Haina maana sababu Mpaka sasa According to Fei, Kuna option tatu tu.
1. MUMKOSE FEI KWA KUPOKEA PESA YAKE.
2. MUMKOSE FEI KWA KULAZIMISHWA NA CAS.
3. MUMKOSE FEI KWA YEYE KURUDI MTAANI.
SUALA LA KUMKOSA HALIEPUKIKI LABDA ABADILI MSIMAMO.
Ni suala la muda tu.Tatizo hamtaki kuamini kuwa fei anaweza kuvunja mkataba.Sio TFF na Yanga wanaung'ang'ania...ni Sheria za Mikataba zinaelekeza hivyo...
Hata CAS hawavunji mikataba....wanaangalia TARATIBU, Kanuni zinaelekeza nini...
Kumbe umeshajua Hersi ndio Yangaa eeeh? Sasa mnakataa nn? Wee ndo uwe muelewaa.Wewe shoga uwe mwepesi kuelewa.
Yanga rais wake ni engineer Hersi . Kwa hiyo unapomwona mchezaji Yuko mezani anasaini pembeni Yuko engineer Hersi jua ndo yanga hiyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatusemi hawezi vunja mkataba,,, tunasema hawezi vunja mkataba bila kufuata Sheria na TARATIBU...Ni suala la muda tu.Tatizo hamtaki kuamini kuwa fei anaweza kuvunja mkataba.
Unajipaa tabu kubishanaa na mashabiki wa utoo, hao ni wa kuwapuuza tyuuh.Ngoja nikufahamishe kitu, moja ya Sheria za Cas ni kwamba mchezaji halazimishwi kucheza timu asiyo itaka na mchezaji anaweza akavunja mkataba muda wowote iwe kwa halali au isivyo halali, kama akivunja mkataba isivyo halali basi atatakiwa kulipa fidia ya mkataba kulingana walivyo kubaliana katika kipengele cha kuvunja mkataba, na hicho kitu wangeweza kukiamua Tff lakini walishindwa kumchukulia hatua fei Toto kwa sababu zao binafsi wanazo jua wao
Kwani hukumsikia Fei akisema akiambiwa gharama atarudi kwa wadau? Au gharama kubwa ni yeye kuacha soka?Hatusemi hawezi vunja mkataba,,, tunasema hawezi vunja mkataba bila kufuata Sheria na TARATIBU...
Mikataba hainaga Uhuni..... whether utumikie au ulipe gharama kubwaaa[emoji1787][emoji1787]
Ingekuwa rahisi hivyo...wengi wangevunja na kulipa gharama...Kwani hukumsikia Fei akisema akiambiwa gharama atarudi kwa wadau? Au gharama kubwa ni yeye kuacha soka?
Kupishana hoja isiwe sababu ya kumtukana mtu, kuwa na staha angalau hata kidogoHuna akili...
Hakuna hicho kitu unachoita Sheria za CAS...., CAS ni chombo cha utatuzi wa migogoro upande wa Soka.
Sheria na Kanuni za FIFA ndio utoa miongozo,...
Vigezo vya mchezaji kuvunja mkataba vimebainishwa wazi na FIFA, nadhani muhimu viko vitatu tu, ambavyo vinangukia kwa Timu kushindwa kutimiza masharti kwa mchezaji, ndipo mchezaji anaweza kuvunja mkataba..
Mengine ni kwa makubaliano ya pande mbili,...zipo adhabu kwa wanaokiuka Mkataba.
CAS watawashangaza na hoja zenu mfu..
SawaKupishana hoja isiwe sababu ya kumtukana mtu, kuwa na staha angalau hata kidogo
Anayenyooka anayetapatapa. Astaafu soka tuAcha awanyooshee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye mwenyewe yupo tayari kuacha soka ila asifanye kazi na Hersi. Yaani anajifungia mwenyewe kabla ya kufungiwa. In short Yanga imempoteza Fei bila kujali atawalipa faini au atafungiwa soka.Ingekuwa rahisi hivyo...wengi wangevunja na kulipa gharama...
Sheria, kanuni na taratibu kwanza, watu wanapima mkataba umeuumiza kwa kiasi gani!? Upande wa pili umeumia kwa kiasi gani? kwa wewe ku violate mkataba baina Yako na Timu
Umeathiri mipango ya upande wa pili kiasi gani, kuna vitu vingi tu watu wanaangalia... then....wanakutwanga Adhabu or Gharama Ili iwe fundisho na uhuni wa namna hiyo usirudiwe tena.
Sio rahisi kiivyo.....Fei ajiandae kisaikolojia
ukikiuka adhabu...inweza kuwa gharama kwa maana ya fine na kifungo pia ..
So unajua sheria kuliko huyo nguli wa kimataifa?Tangu lini TFF walipata mamlaka ya kuvunja mkataba halali? Huyu Mama anampoteza dogo
Mara nyingine usikurupuke tuu kuanza kuropoka, mchezaji akivunja mkataba bila kufuata taratibu Tff walipaswa wamuadhibu mchezaji kwa kosa alilo fanya, na hapo ndipo palipo na msingi wa kesiUnaishaje wewe unafikiri ni rahisi rahisi unavyosukumwa na mihemko yako, mchezaji yeyote asiyekuwa na furaha kwenye timu anakimbia tu kuvunja mkataba kwa akili yako finyu
Kwani wapi TFF wamesema Fei amevunja Mkataba bila kufuata taratibu!?Mara nyingine usikurupuke tuu kuanza kuropoka, mchezaji akivunja mkataba bila kufuata taratibu Tff walipaswa wamuadhibu mchezaji kwa kosa alilo fanya, na hapo ndipo palipo na msingi wa kesi
Mashabiki wa yanga mna matatizo gani [emoji848][emoji848]
Ni sawa...hiyo sio issue kwa Yanga....Yeye mwenyewe yupo tayari kuacha soka ila asifanye kazi na Hersi. Yaani anajifungia mwenyewe kabla ya kufungiwa. In short Yanga imempoteza Fei bila kujali atawalipa faini au atafungiwa soka.