Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Kumbe ni mpaka inapoonekana wamekosa muafaka? Basi hawajakosa muafaka! Maana Kijana ameitwa wakazungumze amekataa, Na hatua ya awali ya TFF ni kumrudisha wakazungumze kwanza, kama ingeshindikana then wangejua hatua ya kuchukua, Lakini kijana kaweka jeuri kwenda kuzungunza, Mbaya zaidi hana sababu za msingi kuvunja mkataba.
Kwanini unasema amekataa kuzungumza na Fei anasema wamezungumza masaa 6 ila option iliyopo ni either arudi aboreshewe maslahi, arudi amalizie mkataba au timu inayomtaka ije?

Haya mazungumzo ambayo unasema hayataki yangelegeza msimamo wa Hersi na kumruhusu Fei kuvunja mkataba bila kuwepo timu inayomhitaji?
 
Tff Ina mkataba na Feisal? Je,Feisal na party ya pili(Yanga) walishajadiliana wakashindwana?
According to Fei walikaa masaa 6 na option alizopewa ni arudi hadi timu inayomtaka ije. Yeye hana timu inayomtaka na hataki kurudi.

TFF ndio waliobatilisha barua ya Fei ya kuvunja mkataba ambao haumhusu ila ni wa Yanga na Fei.

Kwanini hili haliangaliwi wakati mnatoa hii hoja?
 
Pengne unasukumwa na ushabiki . Hvi unazifahamu taratibu za mchezaji kuvunja mkataba na timu ?.
Hilo ndo kosa la Feisal ambapo Kuna hatua alitakiwa kuzifuata yeye akaziruka na kukimbilia kutumbukiza hela kwenye akaunti ya MWAJILI WAKE 😂😂😂.
TFF wamemwambia Rudi mkavunje mkataba na yanga . Hata yanga wenyewe wanamwita mezani wayamalize hataki 😂😂. Anakalia ku
piga kelele mama yangu .....! Wanamfananisha mama na andazi .....😂.
Tuanzie hapa kisha tukikubaliana tuendele.

Ilianza barua ya kuvunja mkataba na email. Hili zoezi liliambatana na kuweka pesa bank kwa kutumia kipengele cha mkataba.

YANGA ikaenda TFF, TFF ikabatilisha hiyo barua ikamwamba Fei bado wewe ni mchezaji wa Yanga.Nenda kakae nao.

Sahihi au si sahihi?
 
Okey, nieleweshe hapa.

Fei hakutimiza jukumu lake kwa kwa masaa 6 ya mazungumzo na Hersi?

Alirudi TFF kuomba mwongozo wa kuvunja mkataba na Yanga kabla ya mazungumzo?

Zile option tatu alizozieleza Eng zinazomlazimisha Fei kubaki Yanga ni sehemu ya hayo mazungumzo?
1.Hayo maelezo kwamba alizungumza na Hersi yana ushahidi gani?
2.Kama walizungumza mbona hawakuafikiana mpaka kwenda TFF tena kwa swala ambalo TFF imeona lipo ndani ya uwezo wao?
3.Endapo kila mchezaji atakimbilia TFF unadhani kuna club itakuwa salama dhidi ya wachezaji wao?
4.TFF inayo haki kusuluhisha migogoro ya kimkataba na kulinda wachezaji na vilabu katika maswala makubwa lakini siyo masuala ya ndani ya vilabu unless ni mambo mazito na kwa mujibu wa Fei hana sababu za msingi.Hilo la Fei wala sio swala zito, ni swala la mazungumzo baina yake na club yake.
5.Options alizotoa Hersi kwamba Arudi kambini kucheza au Kama anataka kuondoka arejee mezani kwa mazungumzo, ndizo taratibu za FIFA.
 
Kwanini unasema amekataa kuzungumza na Fei anasema wamezungumza masaa 6 ila option iliyopo ni either arudi aboreshewe maslahi, arudi amalizie mkataba au timu inayomtaka ije?

Haya mazungumzo ambayo unasema hayataki yangelegeza msimamo wa Hersi na kumruhusu Fei kuvunja mkataba bila kuwepo timu inayomhitaji?
Hauwezi kuepuka hilo neno "Arudi" hata akienda huko CAS lazima anatakiwa arudi na mambo hayo matatu 1, kuboreshewa maslahi 2,Kusubiri mkataba uishe 3, na timu inayomtaka ili auzwe.Huo ndiyo utaratibu uliopo dunia nzima.Labda kama atatangaza kustaafu soka, lakini kama hajatangaza kustaafu soka lazima awe chini ya Yanga.Hilo haliepukiki
 
1.Hayo maelezo kwamba alizungumza na Hersi yana ushahidi gani?
Hakuna uthibitisho kuwa hawakuzungumza. Tunajadili kwa maelezo ya Eng Hersi na Fei. Inaonekana ndani ya Club mchezaji hana utaratibu maalum ambao utamuwezesha kutoa uthibitisho kwamba walikuwa na kikao official ili hichi anachosema amekaa na Hersi kwa saa 6 kiwe batili.
2.Kama walizungumza mbona hawakuafikiana mpaka kwenda TFF tena kwa swala ambalo TFF imeona lipo ndani ya uwezo wao?
Huu ni ushahidi kuwa walizungumza ndio maana Fei akarudi TFF baada ya kuona kuwa wamekaa masaa 6 bila kuelewana.
3.Endapo kila mchezaji atakimbilia TFF unadhani kuna club itakuwa salama dhidi ya wachezaji wao?
Aliyekimbilia TFF ni Yanga, Fei alianzia Yanga kisha Yanga ikaenda TFF. TFF wakamwabia Fei arudi Yanga, wakakaa masaa 6 wakashindwana Fei akarudi TFF akarudishwa tena Yanga, akakata rufaa akarudishwa tena Yanga. Akaenda CAS.

4.TFF inayo haki kusuluhisha migogoro ya kimkataba na kulinda wachezaji na vilabu katika maswala makubwa lakini siyo masuala ya ndani ya vilabu unless ni mambo mazito na kwa mujibu wa Fei hana sababu za msingi.Hilo la Fei wala sio swala zito, ni swala la mazungumzo baina yake na club yake.
Ni suala zito kwa mchezaji, ndio maana hataki mshahara wa mzuri ambao club ipo tayari kumpatia. Kama ni suala jepesi lingeshatatulika.

5.Options alizotoa Hersi kwamba Arudi kambini kucheza au Kama anataka kuondoka arejee mezani kwa mazungumzo, ndizo taratibu za FIFA.
Kurudi siyo option ya Fei, ni option ya Hersi. According to Fei, Mezani wameshakaa masaa 6 wakashindwana ndio maana akaenda TFF twice.

Na hapa ndipo kichaka kilipo. Inaonekana tafsiri ya neno kukaa mezani inatumika kwa janja janja kama jinsi ilivyotumika janja janja ya kusaini miaka 3. Fei anasema wamekaa, Hersi anasema aje wakae.
 
Hauwezi kuepuka hilo neno "Arudi" hata akienda huko CAS lazima anatakiwa arudi na mambo hayo matatu 1, kuboreshewa maslahi 2,Kusubiri mkataba uishe 3, na timu inayomtaka ili auzwe.Huo ndiyo utaratibu uliopo dunia nzima.Labda kama atatangaza kustaafu soka, lakini kama hajatangaza kustaafu soka lazima awe chini ya Yanga.Hilo haliepukiki
Hapa unachosema ni mchezaji haruhusiwi kuvunja mkataba wake. Sahihi?
 
Tuanzie hapa kisha tukikubaliana tuendele.

Ilianza barua ya kuvunja mkataba na email. Hili zoezi liliambatana na kuweka pesa bank kwa kutumia kipengele cha mkataba.

YANGA ikaenda TFF, TFF ikabatilisha hiyo barua ikamwamba Fei bado wewe ni mchezaji wa Yanga.Nenda kakae nao.

Sahihi au si sahihi?
Wewe mkuu usiwe mgumu kuelewa . Kwenye sakata hili kinacholalamikiwa si mkataba . Kinacholalamikiwa ni kutokufuata hatua za kuvunja mkataba huo.
Dogo alitoweka kambini . Akaja kuibuka akiwaaga mashabiki na wapenzi wa yanga mitandaoni . Ikaripotiwa amevunja mkataba Kwa kuweka kiasi Cha pesa kilichopo kwenye mkataba wake . Club yake ikamshitaki TFF Kwa kuvunja mkataba bila ya upande wa pili kuhusishwa (yanga). Dogo akaitwa kwenye kamati ya TFF . Akashindwa kesi Kwa kutokufuata hatua za kuvunja mkataba na club yake. Akaambiwa wewe Bado ni mchezaji wa yanga Rudi mkamalizane. Dogo akagoma kurudi . Akafungua shauri la kutaka TFF auvunje mkataba wa yeye na club yake. TFF wakamwambia hawana mamlaka ya kuvunja mkataba aludi Kwa MWAJILI WAKE wauvunje . Wakati huo club yake ikamwita njoo tufike mwafaka dogo kakataa . Ulitaka TFF na yanga wafanyaje ?😂😂😂😂
 
Yale waliyokaa kwa saa 6 hayatoshi kuwa mazungumzo? Tuache kubishana.

Unaamini Fei ameenda TFF mara mbili na CAS bila kuzungumza kabisa na Yanga wakashindwana? Yaani hajaandika barua, hajakaa na Yanga vuup yupo TFF.
Sababu za yeye kuvunja mkataba hazina mashiko!?
Yanga hawajakiuka kitu chochote ktk Mkataba aliosaini....

ktk Mikataba yao ya kisoka, mchezaji ni mali ya Club ndio maana hata Leseni yake ya kucheza Mpira Iko Yanga.

Taratibu za kuondoka (kuvunja mkataba) na Yanga kapewa option tatu zinazofanyika ktk ulimwengu wa Soka...
Kuboreshewa maslahi,

Kuutumikia Mkataba wake mpaka mwisho ..,

Kupeleka timu inayomuhitaji auzwe...

Katika mkataba wake na Yanga hakuna kipengele kilichokiukwa, hata Fei amekiri hivyo.

Mnamtaka Yanga wafanye nini!? Mchezaji wamemgharamia na kumtunza Ili atumikie Yanga ..

Yy anataka kuacha kuutumikia Mkataba wake bila Sababu za msingi....

Yaani avunje mkataba pasipo makubaliano ya pande mbili!? We umeona wapi!?

Katia milioni mia na zaidi ktk account ya Yanga nakuwaambia amevunja mkataba kirahisi tu,..!!

Yanga wakaona ni kinyume na taratibu, wakampeleka shauri TFF...likasikilizwa na pande zote ..
TFF wakaona Fei hakufuata taratibu, na kwamba bado ni mali ya Yanga...wakaamua arudi Yanga akamalizane na Klabu yake ..hakwenda

Yanga wakamuita na kumuandikia barua Rudi utumikie mkataba wako, tuzungumze maslahi Yako na kama Kuna timu inahitaji Huduma yake aseme ili auzwe... Hataki mpaka sasa


Yanga kosa lake ni nini!?
 
Ila wana mamlaka ya kumbakisha iwapo yeye ameiandika barua Yanga ya kuomba kuvunja mkataba.
Shangaa hapo nawee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe mkuu usiwe mgumu kuelewa . Kwenye sakata hili kinacholalamikiwa si mkataba . Kinacholalamikiwa ni kutokufuata hatua za kuvunja mkataba huo.
Dogo alitoweka kambini . Akaja kuibuka akiwaaga mashabiki na wapenzi wa yanga mitandaoni . Ikaripotiwa amevunja mkataba Kwa kuweka kiasi Cha pesa kilichopo kwenye mkataba wake . Club yake ikamshitaki TFF Kwa kuvunja mkataba bila ya upande wa pili kuhusishwa (yanga). Dogo akaitwa kwenye kamati ya TFF . Akashindwa kesi Kwa kutokufuata hatua za kuvunja mkataba na club yake. Akaambiwa wewe Bado ni mchezaji wa yanga Rudi mkamalizane. Dogo akagoma kurudi . Akafungua shauri la kutaka TFF auvunje mkataba wa yeye na club yake. TFF wakamwambia hawana mamlaka ya kuvunja mkataba aludi Kwa MWAJILI WAKE wauvunje . Wakati huo club yake ikamwita njoo tufike mwafaka dogo kakataa . Ulitaka TFF na yanga wafanyaje ?😂😂😂😂
Hakuandika barua Yanga?
 
Ndio mikataba inavunjwaga hivyo?

Sijui watu mnafikiria kwa njia gani sijui.

Fei mwenyewe anasema Hana shida na Yanga ila ana shida na Eng Hersi! Ye aliingia mkataba na Hersi au na Yanga?
Wakati anasaini alikua na Yanga au Hersi? Au tukuletee picha??
 
Wewe mkuu usiwe mgumu kuelewa . Kwenye sakata hili kinacholalamikiwa si mkataba . Kinacholalamikiwa ni kutokufuata hatua za kuvunja mkataba huo.
Dogo alitoweka kambini . Akaja kuibuka akiwaaga mashabiki na wapenzi wa yanga mitandaoni . Ikaripotiwa amevunja mkataba Kwa kuweka kiasi Cha pesa kilichopo kwenye mkataba wake . Club yake ikamshitaki TFF Kwa kuvunja mkataba bila ya upande wa pili kuhusishwa (yanga). Dogo akaitwa kwenye kamati ya TFF . Akashindwa kesi Kwa kutokufuata hatua za kuvunja mkataba na club yake. Akaambiwa wewe Bado ni mchezaji wa yanga Rudi mkamalizane. Dogo akagoma kurudi . Akafungua shauri la kutaka TFF auvunje mkataba wa yeye na club yake. TFF wakamwambia hawana mamlaka ya kuvunja mkataba aludi Kwa MWAJILI WAKE wauvunje . Wakati huo club yake ikamwita njoo tufike mwafaka dogo kakataa . Ulitaka TFF na yanga wafanyaje ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una bichwa gumu kama jiwe walilolikataa waashi.
 
Pengne unasukumwa na ushabiki . Hvi unazifahamu taratibu za mchezaji kuvunja mkataba na timu ?.
Hilo ndo kosa la Feisal ambapo Kuna hatua alitakiwa kuzifuata yeye akaziruka na kukimbilia kutumbukiza hela kwenye akaunti ya MWAJILI WAKE [emoji23][emoji23][emoji23].
TFF wamemwambia Rudi mkavunje mkataba na yanga . Hata yanga wenyewe wanamwita mezani wayamalize hataki [emoji23][emoji23]. Anakalia ku
piga kelele mama yangu .....! Wanamfananisha mama na andazi .....[emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hadi nimechekaa kwa nguvuuu khaaah
 
Back
Top Bottom