Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Notorious B.I.G. (Christopher Wallace) na Faith Evans walioana na walifunga ndoa Julai 4, 1994, baada ya kukutana kupitia Puff Daddy (Diddy), ambaye alikuwa msimamizi wa lebo ya Bad Boy Records. Uhusiano wao ulikuwa wa haraka, kwani walifunga ndoa wiki mbili tu baada ya kukutana.

Hata hivyo, ndoa yao ilikumbwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na tuhuma za usaliti na matatizo mengine ya kibinafsi. Licha ya hayo, walibaki pamoja hadi kifo cha Biggie Machi 9, 1997. Baada ya kifo chake, Faith Evans alitoa wimbo maarufu wa kumbukumbu, "I'll Be Missing You," akimkumbuka Biggie.
Huu ulikuwa wimbo wa Diddy sio wa Faith evans.
 
Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party.

Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini Jumapili 8th December, mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter, rapper na mfanyabiashara anayejulikana kama Jay-Z, kama mshtakiwa katika kesi ya madai.

Carter ndiye mtu mashuhuri wa kwanza kushtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono kuhusianishwa na Combs.

Mwanamke huyo ambaye anatambulika kwa jina la Jane Doe, anasema alikuwa na umri wa miaka 13 wakati anadaiwa kunyanyaswa kingono na Combs na Carter kwenye after party iliyofuata Tuzo za Video Music Awards mwaka wa 2000.

Mwanamke huyo anadai alianza kuhisi kichefuchefu baada ya kunywa kinywaji katika party na kukimbilia katika chumba cha kulala kilicho jirani.

Mwanamke huyo anadai Jay Z alimbaka kwanza, akifuatiwa na Diddy. Mwanamke huyo anasema alimpiga Combs na kukimbia nje ya sherehe, kulingana na kesi iliyorekebishwa.

Kwenye hii kesi Carter "Jay Z" anatambuliwa kama celebrity A

Kesi inasema wakati Jay Z anambaka binti hiyo Diddy na celebrity B ambaye ni mwanamke walikuwa wakiangalia tukio hilo. Swali ni huyo celebrity B ni nani? Wengine wameanza kusema huenda ni J Lo.

Kulingana na kesi hiyo, mawakili wa Doe walifika kwa Carter kuomba "upatanishi wa kutatua suala hili."

Jay-Z alikanusha madai hayo na kumshutumu wakili Tony Buzzbee wa Texas kwa kufungua kesi hiyo dhidi yake.
======\
In a shocking development, rapper Jay-Z, whose real name is Shawn Carter, has been accused of drugging and raping a 13-year-old girl in 2000. This allegation comes from a civil lawsuit filed in federal court on Sunday, which also names Sean “Diddy” Combs as a co-defendant.

What are the allegations against Jay Z?​

The plaintiff, referred to as “Jane Doe,” claims that the assault occurred at an after-party following the MTV Video Music Awards. According to the lawsuit, she was picked up by a limousine driver who claimed to work for Combs after she was unable to secure a ticket to the awards show. The driver allegedly told her that she “fit what Diddy was looking for” and took her to a house party where she was required to sign a document she believed was a non-disclosure agreement, although she did not receive a copy.Once inside the party, Jane Doe described a chaotic scene filled with celebrities and drug use. She recalled feeling “woozy” and lightheaded after being offered a drink. When she sought a place to lie down, Combs and Carter allegedly entered the room and began to assault her. The lawsuit states that another unidentified female celebrity witnessed the incident but did not intervene.

Legal Proceedings against Jay Z​

The lawsuit was initially filed in October in the Southern District of New York, naming only Combs as a defendant. It was refiled on Sunday to include Jay-Z. The attorney representing the plaintiff, Tony Buzbee, has previously filed multiple lawsuits against Combs for various allegations of sexual misconduct. Jay-Z is the first high-profile figure added to these claims alongside Combs.In response to these serious allegations, Jay-Z issued a statement claiming that he is the target of a blackmail attempt aimed at extorting settlement money. He expressed his outrage at the nature of the accusations, stating, “These allegations are so heinous in nature that I implore you to file a criminal complaint, not a civil one!!” He emphasized that anyone who would commit such acts against a minor should face severe consequences.”My only heartbreak is for my family,” he continued. “My wife and I will have to sit our children down… and explain the cruelty and greed of people. I mourn yet another loss of innocence.”

Current Status of Diddy​

Sean “Diddy” Combs has denied all accusations against him. Recently, he faced criminal charges related to sex trafficking and racketeering and is currently awaiting trial scheduled for May 5 while being held in a Brooklyn detention center.
Screenshot_20241208-193813.jpg
 
Hivi hapa bongo kama kuna wasanii au lebo zenye mikataba na mbwa hao wakikataa kufanya waliyokubaliana watafanywa nini, au nao watashitakiwa kwa kashafa za ngono huko nyuma walibaka na kunyandua mtu kwa lazima katika matamasha yao?
 
Juzi kati Kanye West naye kaponea chupuchupu sijui yale madai ya yule mwanamke yaliishia wapi

Twende mbele na turudi nyuma kwa jinsi Marekani inasifiwa kwa haki hawa jamaa wanaonewa au ni kweli?

Maana kama Diddy ana ushahidi wa video upo
Hata Jay Z, Jennifer Lopez na Beyonce ushahidi wao upo na wa Usher kumpeleka Justin Bieber kwa Diddy akiwa minor huku akijua fika yaliyomkuta yeye akiwa kinda.
Rihanna naye kaibuka na aliyofanyiwa na Jay Z ili asainiwe kwenye label.
It's just a crazy circus.
 
Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party.

Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini Jumapili 8th December, mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter, rapper na mfanyabiashara anayejulikana kama Jay-Z, kama mshtakiwa katika kesi ya madai.

Carter ndiye mtu mashuhuri wa kwanza kushtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono kuhusianishwa na Combs.

Mwanamke huyo ambaye anatambulika kwa jina la Jane Doe, anasema alikuwa na umri wa miaka 13 wakati anadaiwa kunyanyaswa kingono na Combs na Carter kwenye after party iliyofuata Tuzo za Video Music Awards mwaka wa 2000.

Mwanamke huyo anadai alianza kuhisi kichefuchefu baada ya kunywa kinywaji katika party na kukimbilia katika chumba cha kulala kilicho jirani.

Mwanamke huyo anadai Jay Z alimbaka kwanza, akifuatiwa na Diddy. Mwanamke huyo anasema alimpiga Combs na kukimbia nje ya sherehe, kulingana na kesi iliyorekebishwa.

Kwenye hii kesi Carter "Jay Z" anatambuliwa kama celebrity A

Kesi inasema wakati Jay Z anambaka binti hiyo Diddy na celebrity B ambaye ni mwanamke walikuwa wakiangalia tukio hilo. Swali ni huyo celebrity B ni nani? Wengine wameanza kusema huenda ni J Lo.

Kulingana na kesi hiyo, mawakili wa Doe walifika kwa Carter kuomba "upatanishi wa kutatua suala hili."

Jay-Z alikanusha madai hayo na kumshutumu wakili Tony Buzzbee wa Texas kwa kufungua kesi hiyo dhidi yake.
======\
In a shocking development, rapper Jay-Z, whose real name is Shawn Carter, has been accused of drugging and raping a 13-year-old girl in 2000. This allegation comes from a civil lawsuit filed in federal court on Sunday, which also names Sean “Diddy” Combs as a co-defendant.

What are the allegations against Jay Z?​

The plaintiff, referred to as “Jane Doe,” claims that the assault occurred at an after-party following the MTV Video Music Awards. According to the lawsuit, she was picked up by a limousine driver who claimed to work for Combs after she was unable to secure a ticket to the awards show. The driver allegedly told her that she “fit what Diddy was looking for” and took her to a house party where she was required to sign a document she believed was a non-disclosure agreement, although she did not receive a copy.Once inside the party, Jane Doe described a chaotic scene filled with celebrities and drug use. She recalled feeling “woozy” and lightheaded after being offered a drink. When she sought a place to lie down, Combs and Carter allegedly entered the room and began to assault her. The lawsuit states that another unidentified female celebrity witnessed the incident but did not intervene.

Legal Proceedings against Jay Z​

The lawsuit was initially filed in October in the Southern District of New York, naming only Combs as a defendant. It was refiled on Sunday to include Jay-Z. The attorney representing the plaintiff, Tony Buzbee, has previously filed multiple lawsuits against Combs for various allegations of sexual misconduct. Jay-Z is the first high-profile figure added to these claims alongside Combs.In response to these serious allegations, Jay-Z issued a statement claiming that he is the target of a blackmail attempt aimed at extorting settlement money. He expressed his outrage at the nature of the accusations, stating, “These allegations are so heinous in nature that I implore you to file a criminal complaint, not a civil one!!” He emphasized that anyone who would commit such acts against a minor should face severe consequences.”My only heartbreak is for my family,” he continued. “My wife and I will have to sit our children down… and explain the cruelty and greed of people. I mourn yet another loss of innocence.”

Current Status of Diddy​

Sean “Diddy” Combs has denied all accusations against him. Recently, he faced criminal charges related to sex trafficking and racketeering and is currently awaiting trial scheduled for May 5 while being held in a Brooklyn detention center.
Km kuna stable couple Kwa wanamuziki US basi ni ya Jay Z kuna network flan ukiizingua US wanakuharibia kila kitu hata Kwa video zakutengenezwa mpk ukikaa sawa it will be too late,hasa wakiwa wanataka hela zako,hata Kobe Brian yule walimuondoa kwakua wanataka Mali zake na jamaa kuna kampuni zilimfuata awe ambassador ila aligoma
 
Back
Top Bottom