Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Nilisema... Mkakati maalumu wa kuipoteza black superiority
Huu utakuwa ukweli we tazama black community mambo wanayofanya ya kibwa. Kuana, kuuza unga, silaha ngono.
Shida ni kwamba mambo waliyofanya nyuma yamerudi kuwa hunt.
Kuna black fulani ana podcast anasema, americans will forget about your crimes if you keep making good music but when you stop...
Hawa watu hawasingiziwi blacks wenyewe baada ya didy walianza kusema jay z na beyonce pia wanajua mengi.
 
Ila washikaji ni wanetu lakini nikiangalia kwa jicho la pili huwa hawasingiziwi. Kuna mambo ya hovyo sana kwnye music industry ya Marekani na Hollywood kwa ujumla
Hapana sio huko tu marekani. Huku kwetu ndio sana. Kungekuwa na democracy ya kweli wengi sana hata wakubwa wangeishia ngome. Kuna uwezekano mkubwa hata wewe umewahi kupita na ka-under17. Lakini ksbb kinaonekana kitu cha kawaida kwa huku.

Jambo la pili kuna kitu kinakuwa nyuma ya hawa masuperstar marekani ili kuwatawanya waje wapya. Pia kuna swala la hao wanaotengeneza kesi kutaka kujipatia utajiri kupitia hawa. Mambo ni mengi.
 
Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party.

Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini Jumapili 8th December, mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter, rapper na mfanyabiashara anayejulikana kama Jay-Z, kama mshtakiwa katika kesi ya madai.

Carter ndiye mtu mashuhuri wa kwanza kushtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono kuhusianishwa na Combs.

Mwanamke huyo ambaye anatambulika kwa jina la Jane Doe, anasema alikuwa na umri wa miaka 13 wakati anadaiwa kunyanyaswa kingono na Combs na Carter kwenye after party iliyofuata Tuzo za Video Music Awards mwaka wa 2000.

Mwanamke huyo anadai alianza kuhisi kichefuchefu baada ya kunywa kinywaji katika party na kukimbilia katika chumba cha kulala kilicho jirani.

Mwanamke huyo anadai Jay Z alimbaka kwanza, akifuatiwa na Diddy. Mwanamke huyo anasema alimpiga Combs na kukimbia nje ya sherehe, kulingana na kesi iliyorekebishwa.

Kwenye hii kesi Carter "Jay Z" anatambuliwa kama celebrity A

Kesi inasema wakati Jay Z anambaka binti hiyo Diddy na celebrity B ambaye ni mwanamke walikuwa wakiangalia tukio hilo. Swali ni huyo celebrity B ni nani? Wengine wameanza kusema huenda ni J Lo.

Kulingana na kesi hiyo, mawakili wa Doe walifika kwa Carter kuomba "upatanishi wa kutatua suala hili."

Jay-Z alikanusha madai hayo na kumshutumu wakili Tony Buzzbee wa Texas kwa kufungua kesi hiyo dhidi yake.
======\
In a shocking development, rapper Jay-Z, whose real name is Shawn Carter, has been accused of drugging and raping a 13-year-old girl in 2000. This allegation comes from a civil lawsuit filed in federal court on Sunday, which also names Sean “Diddy” Combs as a co-defendant.

What are the allegations against Jay Z?​

The plaintiff, referred to as “Jane Doe,” claims that the assault occurred at an after-party following the MTV Video Music Awards. According to the lawsuit, she was picked up by a limousine driver who claimed to work for Combs after she was unable to secure a ticket to the awards show. The driver allegedly told her that she “fit what Diddy was looking for” and took her to a house party where she was required to sign a document she believed was a non-disclosure agreement, although she did not receive a copy.Once inside the party, Jane Doe described a chaotic scene filled with celebrities and drug use. She recalled feeling “woozy” and lightheaded after being offered a drink. When she sought a place to lie down, Combs and Carter allegedly entered the room and began to assault her. The lawsuit states that another unidentified female celebrity witnessed the incident but did not intervene.

Legal Proceedings against Jay Z​

The lawsuit was initially filed in October in the Southern District of New York, naming only Combs as a defendant. It was refiled on Sunday to include Jay-Z. The attorney representing the plaintiff, Tony Buzbee, has previously filed multiple lawsuits against Combs for various allegations of sexual misconduct. Jay-Z is the first high-profile figure added to these claims alongside Combs.In response to these serious allegations, Jay-Z issued a statement claiming that he is the target of a blackmail attempt aimed at extorting settlement money. He expressed his outrage at the nature of the accusations, stating, “These allegations are so heinous in nature that I implore you to file a criminal complaint, not a civil one!!” He emphasized that anyone who would commit such acts against a minor should face severe consequences.”My only heartbreak is for my family,” he continued. “My wife and I will have to sit our children down… and explain the cruelty and greed of people. I mourn yet another loss of innocence.”

Current Status of Diddy​

Sean “Diddy” Combs has denied all accusations against him. Recently, he faced criminal charges related to sex trafficking and racketeering and is currently awaiting trial scheduled for May 5 while being held in a Brooklyn detention center.

Marekani bana, mtu kafanya kosa mwaka 2000, wanakuja kufanya kesi 2024. Hawajui ya kuwa hao kwa sasa ni watu wawili tofauti. Yule wa 2000 anatofautiana sana na wa sasa kiakili, kihisia, kimtazamo, kimuonekani, nguvu, uthubutu nk. Binafsi wangenishtaki kwa makosa ya miaka 20+ iliyopita, naweza kusema sikumbuki kitu. Hata wakitoa ushahidi vipi, nasema I don't have any idea. Nadhani kesi itaishia hapo.
 
Katika interview moja Jay Z alihojiwa na moja ya swali aliloulizwa ni kuhusu yeye huwa anajisikiaje hasa pale anapokumbuka au kuona jinsi alivyoharibu maisha ya vijana Kwa kuwauzia Madawa ya kulevya (Drugs)

Na akaulizwa je amewahi kuwatafuta waathirika wa madawa au kuwaomba msamaha Kwa kile alichowafanyia .

Alijibu hivi

Jay -Z sijamtafuta MTU yeyote kumuomba msamaha na ni kweli nakubali niliharibu maisha ya vijana Kwa kuwauzia madawa ya kulevya Ila wakati nafanya yote hayo nilikuwa na ufahamu tofauti na ambao ninao sasa hivi. ( I had different level of consciousness than I have today ).

Na mwisho akasema yeye haitaji kumuomba msamaha MTU yeyote ikiwa hilo deni la kuharibu vijana hajalilipa basi IPO siku atalilipia.

Akamaliza Kwa kutilia mkazo Kwa hii sentence.

"You can't sacrifice someone's life for your life because there's is karmax debt has to be paid"


Hivyo Jigga au Jay z anaelewa mambo mengi kuhusu universe , kwamba ikiwa utafanya ubaya lazima utaulipia haitajiki hata kutafuta public sympathy au kuomba msamaha mbele za watu.

Interview hii aliifanya na "the new York times" unaweza kuitazama YouTube
 
Marekani bana, mtu kafanya kosa mwaka 2000, wanakuja kufanya kesi 2024. Hawajui ya kuwa hao kwa sasa ni watu wawili tofauti. Yule wa 2000 anatofautiana sana na wa sasa kiakili, kihisia, kimtazamo, kimuonekani, nguvu, uthubutu nk. Binafsi wangenishtaki kwa makosa ya miaka 20+ iliyopita, naweza kusema sikumbuki kitu. Hata wakitoa ushahidi vipi, nasema I don't have any idea. Nadhani kesi itaishia hapo.
Kesi haiishi kirahisi hivyo nadhani hata Tanzania kuna sehemu kwenye sheria wanasema 'jinai haifi'.
Ignorance or not remembering anything will never be the excuse at the court of law.
 
Ngoja tuone, Japo hawa wana namna ya kushangaza, Hata Diddy is powerfully figure, tatizo naye ana maadui wengi mno ambao walipaswa kuwa “wana”
Nadhani ndo hapo alipokua kaanguka bwana puff dad maadui wengi walikia wanamlia mingo, lakni kwa jay z ata kama ana maadui basi ana njia nzuri ya kuishi nao, kweli anaweza kuanguka mana wanaotaka kumuangusha kama ni wazungu tena wawe masonic basi anaanguka vizur tu nae anaenda kuungana na jamaa yake huko jela.
 
Wapi duniani kuna mwanamke wa miaka 13. Huyo ni mtoto. Alihudhuria vipi after party kwa umri huo?
Na wazazi wa huyo mtoto nao ingefaa wapewe jamba jamba. wanamuachaje mtoto kwenda huko bila kujua madhara yake? Hata kama ni uhuru wa watoto, sijui huko ndani ya hiyo Bar aliingiaje au labda alikuwa na feki ID? Maswali ni mengi.
 
Back
Top Bottom