Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Hao mastar weusi wakifanikiwa wawe wanarudi afrika tuu au nchi zao origin maana wanasakwaa asubuhi na usiku wafungwee... watu weupee wana rohoo mbaya sanaa mbwa hawaa
Ahaaa
Boss wako angekua kiwanja angekua ndani sahizi kwa kutembea na mfanyakazi wake japo kabovu.
Sio mfanyakazi wake jamaa muulize MONI anapita na ME wenzie ni kuwa tu mfumo unambeba
 
Kesi haiishi kirahisi hivyo nadhani hata Tanzania kuna sehemu kwenye sheria wanasema 'jinai haifi'.
Ignorance or not remembering anything will never be the excuse at the court of law.

Ni sawa jinai haifi, hususan pale ambapo iliacha alama fulani katika kuidai haki. Sasa mtu anakuja leo hii kusema nilimnyanyasa kingono kwenye fresher's ball kule Oasis hotel mwaka 2000 nilipokuwa nasoma chuo. Hiyo ni akili au matope.
Binafsi mahakama inabidi ifanye kazi ya ziada kuthibitisha pasipo shaka ili initie nyavuni. Maana kupata mashahidi na ushahidi siyo kitu rahisi
 
Ohoo wameamia kwa black american mwengine sasa. Snoop sijui kama atasalimika

Blacks walioshika uchumi wa nchi hawako safe tena marekani.
 
Marekani bana, mtu kafanya kosa mwaka 2000, wanakuja kufanya kesi 2024. Hawajui ya kuwa hao kwa sasa ni watu wawili tofauti. Yule wa 2000 anatofautiana sana na wa sasa kiakili, kihisia, kimtazamo, kimuonekani, nguvu, uthubutu nk. Binafsi wangenishtaki kwa makosa ya miaka 20+ iliyopita, naweza kusema sikumbuki kitu. Hata wakitoa ushahidi vipi, nasema I don't have any idea. Nadhani kesi itaishia hapo.
Labda uthibitike kuwa chizi lakini kama mzima kibano kipo pale pale,kumbuka hizi case zinazuka pale ametokea mlalamikaji ndiyo wanakaza kuchunguza.
 
Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party.

Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini Jumapili 8th December, mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter, rapper na mfanyabiashara anayejulikana kama Jay-Z, kama mshtakiwa katika kesi ya madai.

Carter ndiye mtu mashuhuri wa kwanza kushtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono kuhusianishwa na Combs.

Mwanamke huyo ambaye anatambulika kwa jina la Jane Doe, anasema alikuwa na umri wa miaka 13 wakati anadaiwa kunyanyaswa kingono na Combs na Carter kwenye after party iliyofuata Tuzo za Video Music Awards mwaka wa 2000.

Mwanamke huyo anadai alianza kuhisi kichefuchefu baada ya kunywa kinywaji katika party na kukimbilia katika chumba cha kulala kilicho jirani.

Mwanamke huyo anadai Jay Z alimbaka kwanza, akifuatiwa na Diddy. Mwanamke huyo anasema alimpiga Combs na kukimbia nje ya sherehe, kulingana na kesi iliyorekebishwa.

Kwenye hii kesi Carter "Jay Z" anatambuliwa kama celebrity A

Kesi inasema wakati Jay Z anambaka binti hiyo Diddy na celebrity B ambaye ni mwanamke walikuwa wakiangalia tukio hilo. Swali ni huyo celebrity B ni nani? Wengine wameanza kusema huenda ni J Lo.

Kulingana na kesi hiyo, mawakili wa Doe walifika kwa Carter kuomba "upatanishi wa kutatua suala hili."

Jay-Z alikanusha madai hayo na kumshutumu wakili Tony Buzzbee wa Texas kwa kufungua kesi hiyo dhidi yake.
======\
In a shocking development, rapper Jay-Z, whose real name is Shawn Carter, has been accused of drugging and raping a 13-year-old girl in 2000. This allegation comes from a civil lawsuit filed in federal court on Sunday, which also names Sean “Diddy” Combs as a co-defendant.

What are the allegations against Jay Z?​

The plaintiff, referred to as “Jane Doe,” claims that the assault occurred at an after-party following the MTV Video Music Awards. According to the lawsuit, she was picked up by a limousine driver who claimed to work for Combs after she was unable to secure a ticket to the awards show. The driver allegedly told her that she “fit what Diddy was looking for” and took her to a house party where she was required to sign a document she believed was a non-disclosure agreement, although she did not receive a copy.Once inside the party, Jane Doe described a chaotic scene filled with celebrities and drug use. She recalled feeling “woozy” and lightheaded after being offered a drink. When she sought a place to lie down, Combs and Carter allegedly entered the room and began to assault her. The lawsuit states that another unidentified female celebrity witnessed the incident but did not intervene.

Legal Proceedings against Jay Z​

The lawsuit was initially filed in October in the Southern District of New York, naming only Combs as a defendant. It was refiled on Sunday to include Jay-Z. The attorney representing the plaintiff, Tony Buzbee, has previously filed multiple lawsuits against Combs for various allegations of sexual misconduct. Jay-Z is the first high-profile figure added to these claims alongside Combs.In response to these serious allegations, Jay-Z issued a statement claiming that he is the target of a blackmail attempt aimed at extorting settlement money. He expressed his outrage at the nature of the accusations, stating, “These allegations are so heinous in nature that I implore you to file a criminal complaint, not a civil one!!” He emphasized that anyone who would commit such acts against a minor should face severe consequences.”My only heartbreak is for my family,” he continued. “My wife and I will have to sit our children down… and explain the cruelty and greed of people. I mourn yet another loss of innocence.”

Current Status of Diddy​

Sean “Diddy” Combs has denied all accusations against him. Recently, he faced criminal charges related to sex trafficking and racketeering and is currently awaiting trial scheduled for May 5 while being held in a Brooklyn detention center.
Soma mkwara wa Jay Z hapa

20241209_100625.jpg

Mwaka 2025 watanyolewa wengi bila ganzi
 
Mwanamke anayesema alibakwa na Sean “Diddy” Combs amebadilisha mashtaka yake na kuongeza madai kwamba pia alibakwa na Jay-Z katika sherehe hiyo hiyo.

Mwanamke huyo, ambaye ametambulishwa kama Jane Doe, anadai alikuwa na umri wa miaka 13 wakati alidaiwa kubakwa na Combs na Carter( Jay- Z) katika sherehe ya baada ya Tuzo za mwaka 2000.

Mwanamke huyo anadai alianza kuhisi kizunguzungu baada ya kunywa kinywaji kwenye sherehe hiyo na akaelekea katika chumba cha kulala kilicho karibu. Mwanamke huyo anadai Carter (Jay-Z) alimbaka kwanza, kisha akafuatwa na Combs. Mwanamke huyo anasema alimchapa Combs na kukimbia kutoka kwenye sherehe hiyo, kulingana na mashtaka yaliyorekebishwa.

Kesi hiyo ilifunguliwa awali dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini jana Mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter, Rapa na Mfanyabiashara anayejulikana kama Jay-Z, kama mshtakiwa katika kesi ya madai.
 

Attachments

  • 1733731528268.jpg
    1733731528268.jpg
    255.7 KB · Views: 4
Juzi kati Kanye West naye kaponea chupuchupu sijui yale madai ya yule mwanamke yaliishia wapi

Twende mbele na turudi nyuma kwa jinsi Marekani inasifiwa kwa haki hawa jamaa wanaonewa au ni kweli?

Maana kama Diddy ana ushahidi wa video upo
Je! Ni blacks tu ndo wanafanya hayo... Tena ma star..
 
Back
Top Bottom