Jaydee afunga mwaka kwa kuonyesha talaka hadharani

Jamaa alikuwa na moyo kweli, hebu fikiria 9 yrs bila mtoto na umemvumilia tu huyo raia kwa shida zote hizo lakini siku akitoka atakutusi.
Kama jide angeolewa na mtu mwepesi na mwenye akili ndogo , basi ndani ya miaka 2 tu angetimuliwa. Amheshimu sana jamaa, kwani fahar ya ndoa watoto na inaonekana jamaa yeye alikuwa anatema mbegu ila shamba ndio lilikuwa halioteshi mimea ila kaamua kumvumilia mkewe ili ajisikie naye ni sawa na wanawake wengine tu.
 
Witness bhana... usiniambie hufahamu kwamba Gadna ni mlevi since then!

Kukimbiwa? Jana nilikuandikia simulizi ya kweli lakini baadae nilii-delete! Mtu umeacha, sasa ya ni nini tena unatapatapa kwenye social medias ku-prove kwamba umeacha! Umeacha au umetengenezewa mazingira ili uache?!

By the way, mtu mwenye kazi yake tangia lini akawa Mario? Una monthly paycheck, commission ya matangazo, kuna za commercial Voice Overs... bado unakuwa marioo!!
Nijibu kwanza hayooo....then tuendelee!
Basi sawa,lakini tukimaliza haya itabidi tuendelee na yale ya kwangu kwako... au na leo nimuite Valentina?!
 
Huyu g amemkojoza kweli komando na g hana habari nae na story tulishaisahau ila nashangaa komando analeta drama tena.kubwa jinga
 
Huyu mwanamke kumbe, hamnazo ndiomana gadna alisema hataki kusikia ten habari za mtu aliecojoza kwa miaka 10

Halmashauri ya kichwa, chake, ni upuuzi kabisa
 
Heshima gani unayoitaka wakati bado unatukana kenge tu wewe!
Hivi we jamaa unatumia nini kufikiri.... Hata mabinti hapa wamekuzidi akili... Hasara...
 
Mwanamke asiezaa ni kama kopo la blue band ukishakojoza tupa kulee.
 
Ndiyo mawazo ya mpumbavu kuna mtu mmoja alisema watu wa aina ya jide ndivyo walivyo kwa sababu ili uwe timilifu watoto ni muhm sasavsjui lkn
 
Mtu akisha move on ana haja ya kuyaonyesha hadharani hayo makaratasi kweli?


Talk about [not] taking your own advice [emoji23] [emoji23]

Drama queen extraordinaire!!!!
.....na ninyi mnaofuatilia haya maujinga wote "mademu" tu!
 
Ndukiii...

Happy New Year 2017 mkuu..
 
Duhh sasa ruksa kuolewa changamkieni Fursa hiyo ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…