Jaydee huu ni utoto sana tena sana

Yaani wakati una post huu Uzi ulitegemea kupata misifa. Sasa ndio nini hiki unatuletea? Unakusanya fikra na mitazamo yako ya kimajungu halafu unatushirikisha sisi.
Ova

Heee Mdakuzi vipi nitegemee misifa kwani kuna zawadi hapa jamvini? Siwezi kuwakilisha mawazo ya mtu mwingine ni yangu binafsi na majungu yako wapi hapo au huelewi nini maana ya majungu? Siwezi kupost kitu nikategemea kimfurahishe au kimkere kila mtu huo ni ujuha....jide ana die fans wake na wapo hata hapa na wamechangia mada kwa mtazamo wao
Kinachonichekesha hapa lakini hakinishangazi ni mswahili anapojifanya mzungu or whatever, siogopi kuandika kitu eti tu nikiandika hivi nitaonekana 'mswahili' katu sitakaa nifanye hivyo sikuumbwa hivyo...nilichoandika ndivyo kilivyo kilishaandikwa na kusemwa sana kabla
Ni shida sana mtu anapojikataa, na kujipa nafasi ambayo hastahili nimeandika mtazamo wangu silazimishi kila mtu akubaliane nami kila mtu anachangia kwa jinsi alivyoelewa siwezi kugombana na yeyote what for afterall....!!!?
 
Last edited by a moderator:
Huyo ni wale watu warefu thana kutoka milima ya northern Tanzania! Chakula kikuu ni viadhi vitamu! Tutake radhi wanzaramu yakhe!
Samahani Sana kiongozi kwa hilo.
 
Hehehe wifi mie nafurahi umecheka. Kaka akikuletea stress tu uniambie tumnyoroshe kwa rula. Hope uko ok my dear
King'asti mbona hii post umechangia kwa hisia mno? Naamini umeisoma yote lakini kipengele cha jide kumponda mtalaka wake ndio ikawa ishu kweli! Nimejaribu kujisoma tena sijaona shida mahali nimeelezea haiba ya jide kwa mtazamo wangu kutokana na background yake, na kunogesha mada nikatoa mifano hai, jide ni celeb kwa hapa bongo ni rahisi kuonekana na wengi, na sio siri yeye kugombana na kila mtu ambaye anamkera na hili mbona liko wazi kabisa? Mbona kama inaonekana kama nimefanya jambo moja baya sana?
Ninajua kuwa haya mambo hutokea kwa pamoja, jide hayupo pekee ila kwakuwa yeye ni maarufu ndio imekuwa ishu, wapo wengi hata hapa jamvini wanaface the same situation kwahiyo wanapoona post ya namna hii ni kama kuamsha vilivyolala
 
Last edited by a moderator:

team ladyjaydee# sidhani kama analo as longer hatujui kwa nini wameachana let's support kile anachofanya .kwa wale wapenzi wa outing nenda kapate lunch, dinner MOG
 
Hahaha mbona kama unajali sana opinion yangu?

Kati ya celebrities wanaonifurahisha ni jide na gadner. Uliona recently ya flora mbasha na dida? Mnaachananaenda kutoa press release, inahusu vipi kwa mfano? Ndoa yao hata siku moja haikuwa ya kuongelea mambo yao hadharani. Na kama wametengana inawezekana ni bora kwa afya. Hiyo ni moja.

Pili, mie sio mtu wa masimango hata kama kwenye maisha inatokea siku nina kipato kikubwa kuliko mwenza wangu. Ila hakuna kitu kigumu kwama mwenza ambae ana inferiority complex (typical uliyoonyesha hapa). Gadner ana kipato pia, sio kula kulala. The fact kuwa mkewe alipata hela zaidi haiondoi nafasi yake kama baba nyumbani. Mwanaume anaejiamini hawezi hata kugundua kuwa mke wangu anazichanga zaidi, au anaenda abroad kila leo. Wewe ndio unamsimanga gadner hapa.

Tatu: Kama kuna mwenza ambae siwezi kutolerate ni yule asiejiamini na anayeona mafanikio yangu kama yanahusika na kila ninalofanya. Mengine ni personality tu, hata kama sina hela labda nitakuwa jeuri tu? Kwani jide wakati anaimba wimbo wa machozi pia alikuwa katendwa na mwanaume? Kina yahya wapo wengi tu na mziki una reflect mambo mengi kwenye jamii and should not be personalized.

I hope majibu yangu yatabadili mtazamo wako kaka. Sio tu juu ya jide, lakini jinsi ya kuwa mtu mwenye maisha ya furaha wakati wote na sio kujistukia stukia kila wakati. Sijui umenielewa?
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo jide yuko available sasa!!! Vidume vya mbegu si mumfukuziiiee
 

Let's compromise that way King'asti, Kwakuwa bado umestick kwenye kipengele kilekile kimoja kati ya post yangu nzima! Post yangu ilijikita kwa visasi na vijembe vya Jide kwa wale anaotofautiana pakubwa, shida ni kwamba umenihukumu directly naomba hebu pitia tena post yangu pls
 
Last edited by a moderator:
Kaka mie sijakuhukumu. Nakuonyesha tu jinsi nilivyo relaxed in my own skin na natamani nawe uwaze hivyo. Ila umenikumbusha bobby brown na mkeww halafu na juma nature na ule wimbo wa sintah.

Kujibu swali lako, hao ni wanamuziki tu. Wanachoona wakiimba kitalipa wanaimba na kwa vile wenza wao wanajiamini wala haiwi issue. Wakati jide anatoa wimbo wa yahya nilienda onyesho moja pale na gadner ndio alikuwa anamletea kinywaji wakati wa break zile. Gadner was a very supportive husband and admirable. Sio wanaume wote wanaweza kufanya kazi na wake zao aisee.

Kwi kwi kwi ngoja mama yake jide aje huko awashukie kama mama yake wema anavyofanzaga lol
 
Last edited by a moderator:
kaka umenichanganya kuna mdukuzi na mdakuzi huyu aliyekujibu ni mdakuzi na mimi ni mdukuzi check it out kwenye id najua atasababisha confussion sana kwa members humu sijui ngoja tusubiri
 
Uko wapi mgahawa mpya huo najua kodi ilikuwa issue pale namanga wakamtosa....
 

Kwenye hilo jina jipya, kwanini hujahisi G ni Gardiner?!
 
Last edited by a moderator:

tuonee huruma wenzio!
 

ehehehehe!
hapo tu ndo unaponichenganyaga omutima wange!
kunywa novida nakuja kulipa!
yan ncvae kanga imeandikwa nunu nunu wamnunia nani kisa Kongosho hajanisalimia jana?labda anaumwa jino hawezi kufungua mdomo!
aaaargh!
 
Last edited by a moderator:
kaka umenichanganya kuna mdukuzi na mdakuzi huyu aliyekujibu ni mdakuzi na mimi ni mdukuzi check it out kwenye id najua atasababisha confussion sana kwa members humu sijui ngoja tusubiri

Am so sorry mdukuzi ni kweli ataleta confusion nitarekebisha
 
Last edited by a moderator:
Mgahawa waitwa MOG sio MG...

Ila kasema kweli Life is tough.. sidhani kama kakosea.. hiyo Yahya si aliimba hata kabla hawajatengana na G

Gardner ka move on fasta maana ana kabinti kengine sa hivi

kwanii jd yeye hajapata kavulana fasta au kashazeeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…