Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
mbonna huyu mtu ni mtu mzuri ti ingawa alikuwa ni mwana jeshi uko uganda akakosana na mseveni akabwaga akaenda uingereza na badaye akarudi hapa tz akuweza kurudi uganda na ameoa mtanzania dada mmoja wa kihaya wanaishi tegeta wako vizuri kifedha ni tajiri sana
Mzee mwnakijiji siku hizi mapolisi ndio wanatoa permit na kila mwezi lazima wakachukue mishahara kwa wahusika mfano huko kwenye maviwanda kuna michina na wahindi wamejificha humo lakini cha kushangaza polisiccm wakiingia humo wanatoka wakiwa wanacheka Huku mifuko imetuna. Labda JB ni Kati ya watunisha mifuko ya polisiccm
Jamani nasikia huyo JB kavuta,ni kweli?
Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who he is and what has he been doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?
Kule facebook,Adolf Mkono kaandika hivi......"DEATH ANNOUNCEMENT:Th -e chairman AUCT ,Mr Justus Baguma has passed away this mornin(13.02.2 -013).gThe body is in Muhimbili Hospital,please - lets meet at UCHUMI HOUSE from 4pm this evening.R.I.P mr JB Belmonte
Kwenye red: anakufa kesho?!!!
acheni majungu jamaa ana mihela
ni kweli tungefaidi sana hapa nchiniMwenyezi Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pema Peponi,ni katika wachache waliotoka nchi za jirani na kuwekeza TZ na ametupa changamoto ktk uwekezaji kama watu weusi kwamba tunaweza,,mfano wake ni wa kuigwa,cna mimi ni mmoja wao wanaofata nyayo zake na kuzisimamia,ntasimama imara kuwa mwekezaji mzawa..RIP Bro JB
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums