Je, Aga Khan Sea View, ni kwa wahindi, wabunge, mawaziri na viongozi wa juu wa Serikali tu?

Je, Aga Khan Sea View, ni kwa wahindi, wabunge, mawaziri na viongozi wa juu wa Serikali tu?

Sawa, je na viwango vya madakitari wa Sea View na uswazi vikoje tukiacha bima.
Mkuu, hapo tumetumia neno mtaani au uswazi kumaanisha taasisi za afya zisizokuwa AGA KHANA MAIN, yaani polyclinic za Aga Khan, mfano zile zilizo Tabata, Kimara, Gongo la mboto, Sinza, Mbagala n.k na polyclinic nyingine.

Sio uswazi kwa maana ya huduma za uswazi. In terms of huduma utapata zile zile mkuu.Physican ni physician tuu mkuu, awe main au peripheral huku.
 
Yawezekana vikawa na quality sawa tu
Maranyingi usimamizi wa upishi wa chakula cha uswazi,huwa tofauti na sehemu ambazo si za uswazi,ukienda kula wali nyama pale Desderia hotel,na ukienda kula wali nyama wa pale Sinde,Mbeya,kwa mama Ntilie,utaona utofauti.Siyo rahisi kukuta nywele,kwenye chakula pale Desderia,ila uswazi ni jambo la kawaida na mambo mengine kama hayo.
 
Bima yako ndogo masta ungeenda na cash ungefurahia huduma pembeni ya bahari pia bill yako ingekufanya uombe wakurudishie ugonjwa wako

Aloo, ni hatari hii yani unaletewa bil mil 5 si utasema nirudishien malaria yangu nikapambane nayo??? 😂
 
Mnao tetea ubaguzi huu wa tiba naomba mfafanue pia kuhusu hizo hospitali za Aga Khan zilizotengwa uswazi na wafanyakazi wa kiswazi tu, je, wanauhusiano wowote na viwango vya malipo ya huduma? Kwanini wahindi hawahudumu kwenye hospitali hizi?
Ulishajibiwa jibu hili hapa. Tafuta hela mkuu ukiwa na pesa hutalilia ubaguzi.

Mkuu Hismastersvoice , Aga Khan main hapo, hawatubagui kabisa sisi akina REGULAR JOE/JUMA. Ila wana operate kutokana na makubaliano yao na NHIF.

NHIF bima zao zina category nyingi. Wana bima za mashirika kama BOT, TPA, TANESCO n.k halafu kuna bima zile za walimu, wahudumu wa afya nk (standard). Hizi ndizo zinaamua huduma zipi upate na zipi usipate.

So Aga Khan wamekubaliana na serikali yetu, watanzania watakaotibiwa hapo ni wenye bima za mashirika tuu. Hizi standard ( za walimu, ma-dr sumbawanga, manesi mwananyamala, n.k zitapokelewa Aga Khan za mitaani huku.

Kingine tunachotakiwa kujua ndugu wananchi, hata hizi hospital na polyclinic za pembeni, dawa tunazopata wakati mwingine zinatofautiana kutokana na aina ya bima yako.

Mfano mimi ni mwalimu, nimeenda polyclinic X na mfanyakazi wa TPA ameenda hapo hapo X. Wote tuna kikohozi, na wote tumeandikiwa cough sysrup. Tukienda kuchukua dawa, mimi nitapewa Zecuf yangu ya 3,000. Lakini mwenzangu atapewa Benyln ambayo inauzwa mpaka 20,000
 
Maranyingi usimamizi wa upishi wa chakula cha uswazi,huwa tofauti na sehemu ambazo si za uswazi,ukienda kula wali nyama pale Desderia hotel,na ukienda kula wali nyama wa pale Sinde,Mbeya,kwa mama Ntilie,utaona utofauti.Siyo rahisi kukuta nywele,kwenye chakula pale Desderia,ila uswazi ni jambo la kawaida na mambo mengine kama hayo.
Me nimetoa tu mfano kupitia chakula ili kumuonesha mlalamika kwamba hadhi inahitaji gharama, Naweza nikakupa mfano wa maybe Tv ya samsung pale mlimani city na Tv hiyohiyo pale Kariakoo then uone ni nini kinafanya thamani ya kitu kupanda bei.
 
Mkuu, hapo tumetumia neno mtaani au uswazi kumaanisha taasisi za afya zisizokuwa AGA KHANA MAIN, yaani polyclinic za Aga Khan, mfano zile zilizo Tabata, Kimara, Gongo la mboto, Sinza, Mbagala n.k na polyclinic nyingine.

Sio uswazi kwa maana ya huduma za uswazi. In terms of huduma utapata zile zile mkuu.Physican ni physician tuu mkuu, awe main au peripheral huku.
Jibu swali, neno uswazi nimelitumia mimi, nataka kujua kwanini wahindi hawshudumu kwenye hizi hospitali zao badala yake wameajiri waswahili wa uswazi wazihudumie huku wahindi hawatii mguu huko.
Kataa ubaguzi wa aina yoyote.
 
Ulishajibiwa jibu hili hapa. Tafuta hela mkuu ukiwa na pesa hutalilia ubaguzi.
Si jibu sahihi, swali linahusu ajira ya wahudumu wa hizo hospitali za uswazi zinazomilikiwa na Aga Khan.
Kataa ubaguzi kwa kisingizio cha umasikini.
 
Me nimetoa tu mfano kupitia chakula ili kumuonesha mlalamika kwamba hadhi inahitaji gharama, Naweza nikakupa mfano wa maybe Tv ya samsung pale mlimani city na Tv hiyohiyo pale Kariakoo then uone ni nini kinafanya thamani ya kitu kupanda bei.
Yeah! hapo mfano wa TV,lazima Mlimani City iwe kubwa,kutokana na hadhi ya eneo,wateja wanaoingia mule,kodi ya pango,mishahara ya wahudumu n.k.
Tuko pamoja.
 
Yeah! hapo mfano wa TV,lazima Mlimani City iwe kubwa,kutokana na hadhi ya eneo,wateja wanaoingia mule,kodi ya pango,mishahara ya wahudumu n.k.
Tuko pamoja.
Ninataka jibu kwanini wahindi hawahudumu kwenye hospitali zao za uswazi huku wakiwaachia waswahili wawtibu waswahili wenzao.
 
Katikati ya mwaka huu yaani 2023 mwezi wa sita nilikwenda hospitali ya Aga Khan iliyopo Sea View Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu, kama taratibu zilivyo niliwasilisha kadi yangu ya bima ya afya ilipokelewa na nikapewa jibu kuwa siwezi kutibiwa kwenye hospitali hiyo!

Haikuwa shida kwangu, nikaenda hospitali ya Shree Hindu Mandal iliyopo Upanga na nikapata tiba kwa kutumia kadi hiyohiyo.

Mwezi huu wa kumi nilienda kwenye tawi la hospitali ya Aga Khan lililopo uswahilini na nikisema uswahilini ni uswahilini kweli kwani madakitari, manesi na wafanyakazi wengine ni waswahili wenyewe wanakili wahindi wa uzao wa Aga Khan hawakanyagi huku uswazi!

Baada ya kupata tiba kwenye hilo tawi letu la hospitali ya Aga Khan nikamuuliza dakitari kuhusu hospitali mama ya Sea View, naye hakusita kuniambia kuwa kule ni kwa wahindi, wabunge, mawaziri na viongozi wa juu wa serikali, nikajua kuwa ukiwapendelea hawa basi jambo lako litakwenda vizuri bila kuhojiwa.

Miaka iliyopita tulikuwa tukitibiwa bila tatizo kwenye hospitali hiyo ya Aga Khan Sea View licha ya tatizo la hawa wazalendo watanzania wenzetu kutokujua kiswahili vizuri, lakini walipoona tunawabana wakatufungulia matawi uswazi na madakitari wetu wakiswazi tumaliziane huku huku.
Aga khan Ni hospitali binafsi (mwekezaji toka Pakistan kaweka pesa yake pale) wewe umetoka Buza huko unataka ukatibiwe na Kadi ya kipuuz. Ungeenda Amana au Mwananyamala ukakutane na wapiga kura wenzako
 
Ninataka jibu kwanini wahindi hawahudumu kwenye hospitali zao za uswazi huku wakiwaachia waswahili wawtibu waswahili wenzao.
Nimesoma tena bandiko lako tena. So, concern yako ni ipi mkuu, kwamba kwa nini baadhi ya kadi za NHIF zinakataliwa Aga Khan main au ni kwa nini wahindi hawahudumu polyclinic za pembeni huku?

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hapa ndo inabidi tu ule msemo wa "TAFUTA HELA" utumike. Yani hapo ni sawa na kuuliza kwa nini watoto wa vigogo hawasomi na watoto zetu hapa NGUVU KWANZA PRIMARY SCHOOL.
 
WAHINDI SI WATANZANIA WENZETU, HO NI MABEBERU TU, HAO VIJIBWA NA MAJUHA WA KITANZANIA(VIONGOZI) NDIYO WANAO LEA UPUUZI HUU
Kuna mhindi alitoka Tanzania baada ya uhuru akaenda marekani,akawa milionea,akatoa mamilioni ya Dola kwa Tanzania nchi yake kwani yeye alicho nacho kinamtosha,hakupeleka India,wakati huohuo Kuna wamatumbi akiwemo mkapa na mramba wameiibia Sana nchi,wengine mnakwepa Kodi,mnaiba mapatao ya nchi,nani mtanzania mzalendo kati ya huyu mhindi na mkapa na wenzie!?
 
Muhindi na muarabu anakuwa mtanzania tu anapokuwa fukara ila akipata pesa huyo anageuka kuwa beberu na fisadi wa nchi yete na uraia wake unakuwa mguu mmoja ndani na mwingine nje

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Hata wabongo mkipata hela zenu za wizi mnajitenga kwa mageti makubwa, fensi za umeme, magari makubwa with tinted glass na wengine mnahama kabisa kwenda kuishi Dubai....!

That's what money does to most of the people...wezi wanaotajwa na CAG kila mwaka are mostly our owns: wahaya, wachaga nk...
 
Hata wabongo mkipata hela zenu za wizi mnajitenga kwa mageti makubwa, fensi za umeme, magari makubwa with tinted glass na wengine mnahama kabisa kwenda kuishi Dubai....!

That's what money does to most of the people...wezi wanaotajwa na CAG kila mwaka are mostly our owns: wahaya, wachaga nk...
Na wanaiba ma trillion ya hela!
 
Back
Top Bottom