Je aliyeleta ushindi wa simba ni Chama au shabiki aliyeenda fukia hirizi golini

Je aliyeleta ushindi wa simba ni Chama au shabiki aliyeenda fukia hirizi golini

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Wakati mechi ikiwa imekolea Makolo wakiendelea kupelekewa moto na mashujaa Jana. ......

Shabiki aliyekuwa amevaa jezi ya kolo fc then Baada ya kurukia uwanjani akaivua na kubakizwa na singlend ( kaushi) alienda golini Kwa mashujaa na kufukia dawa ( hirizi) ......then after while Chama akaanza kufunga goli 2
Swali: Je aliwapa ushindi makolo Jana ni Chama au yule shabiki mganga?
1710558262305.jpg
 
Wakati mechi ikiwa imekolea Makolo wakiendelea kupelekewa moto na mashujaa Jana. ......

Shabiki aliyekuwa amevaa jezi ya kolo fc then Baada ya kurukia uwanjani akaivua na kubakizwa na singlend ( kaushi) alienda golini Kwa mashujaa na kufukia dawa ( hirizi) ......then after while Chama akaanza kufunga goli 2
Swali: Je aliwapa ushindi makolo Jana ni Chama au yule shabiki mganga????
Aiseee bado unawaza ushirikina to this say, soka la bongo haliwez endelea kwa mawazo haya
 
Wakati mechi ikiwa imekolea Makolo wakiendelea kupelekewa moto na mashujaa Jana. ......

Shabiki aliyekuwa amevaa jezi ya kolo fc then Baada ya kurukia uwanjani akaivua na kubakizwa na singlend ( kaushi) alienda golini Kwa mashujaa na kufukia dawa ( hirizi) ......then after while Chama akaanza kufunga goli 2
Swali: Je aliwapa ushindi makolo Jana ni Chama au yule shabiki mganga????
Pumbavu sana, kwani anayesimamisha gari ni dereva au traffic?
 
Wakati mechi ikiwa imekolea Makolo wakiendelea kupelekewa moto na mashujaa Jana. ......

Shabiki aliyekuwa amevaa jezi ya kolo fc then Baada ya kurukia uwanjani akaivua na kubakizwa na singlend ( kaushi) alienda golini Kwa mashujaa na kufukia dawa ( hirizi) ......then after while Chama akaanza kufunga goli 2
Swali: Je aliwapa ushindi makolo Jana ni Chama au yule shabiki mganga????
Mbona una wa aibisha uto wenzako wewe kilaza au kwa kuwa wenye akili ni wawili tu hapo vyurani fc....
Shabiki alienda kufukua kitu kwenye goli la wale sokwe fc na golikipa wao alijua kabisa akawa ana mzuia asifukue hicho kitu ila vip lakini mmesha utoa huo mwiko huko nyuma au mtaenda nao mpaka south waka wasaidie ku utoa?
 
Wakati mechi ikiwa imekolea Makolo wakiendelea kupelekewa moto na mashujaa Jana. ......

Shabiki aliyekuwa amevaa jezi ya kolo fc then Baada ya kurukia uwanjani akaivua na kubakizwa na singlend ( kaushi) alienda golini Kwa mashujaa na kufukia dawa ( hirizi) ......then after while Chama akaanza kufunga goli 2
Swali: Je aliwapa ushindi makolo Jana ni Chama au yule shabiki mganga????
Simba siku hizi wanavaa hizo jezi kumbe.
 
Mbona una wa aibisha uto wenzako wewe kilaza au kwa kuwa wenye akili ni wawili tu hapo vyurani fc....
Shabiki alienda kufukua kitu kwenye goli la wale sokwe fc na golikipa wao alijua kabisa akawa ana mzuia asifukue hicho kitu ila vip lakini mmesha utoa huo mwiko huko nyuma au mtaenda nao mpaka south waka wasaidie ku utoa?
uelewa wako ndo umeishia hapo?? au unaenda mbele kidogo
 
Back
Top Bottom