Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah makolo mnawaza uchawi tu ...badala ya kusajiliMbona una wa aibisha uto wenzako wewe kilaza au kwa kuwa wenye akili ni wawili tu hapo vyurani fc....
Shabiki alienda kufukua kitu kwenye goli la wale sokwe fc na golikipa wao alijua kabisa akawa ana mzuia asifukue hicho kitu ila vip lakini mmesha utoa huo mwiko huko nyuma au mtaenda nao mpaka south waka wasaidie ku utoa?
Kabisa this is too muchUumchezo wa kishirikina unaofanywa hadharani TFF Waendelee ku uchekea.
Kuna siku isiyo na jina itatuletea janga kubwa kutokea CAF/FIFA ni swala la muda tu ata ayo mafanikio ya TFF yataondoka na maji na kuiacha TFF dhalili.
TFF mnatakiwa mchukue hatua kali zaidi, maana tunako elekea ni kubaya sana.
Kabisa mkuuHawa Simba Sc Tatizo Wanaamini Sana Ushirikina Badala Wasajiri Wachezaji Bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio waanachokiaminiHawa Simba Sc Tatizo Wanaamini Sana Ushirikina Badala Wasajiri Wachezaji Bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂Alitoa kitu hapo golini na sio kwamba aliweka.
Kilifichwa chini ya kapeti.
Halafu kwa kutuzuga walikuwa wanapiga magoti na kuomba Dua kumbe walikuwa wanafukia na kutoa tunguli kapetini.
Kabla ya kuanza gemu walipiga magoti golini.
Half time walipiga magoti golini.
Wanakuja kuanza mpira kipindi cha pili walipiga magoti golini.
Baada ya kukitoa kitu chini ya kapeti hawakupiga tena magoti.
Kumbe walikuwa wanafukia na kufukua Hirizi.
Wajanja wa Mjini wakastukia hiyo ishu.