Je aliyeleta ushindi wa simba ni Chama au shabiki aliyeenda fukia hirizi golini

kwa staili hii ccm itatawala Tz milele!
Tena itatawala haswa ...watanzania ni mabogus si wa simba wala Yanga...nashukuru Mungu walau mzee wangu alimua kuchukua binti nje ya Tanzania...maana ningekua na akili kama za wajomba zangu watanzania..ningesikitika sana
 
Mwiko nyuma unawawasha,shabiki alifukua horizi kwenye holi la hao kima
 
Uumchezo wa kishirikina unaofanywa hadharani TFF Waendelee ku uchekea.
Kuna siku isiyo na jina itatuletea janga kubwa kutokea CAF/FIFA ni swala la muda tu ata ayo mafanikio ya TFF yataondoka na maji na kuiacha TFF dhalili.
TFF mnatakiwa mchukue hatua kali zaidi, maana tunako elekea ni kubaya sana.
 
Mfungaji alifunga tu pale hirizi ilipowekwa
 
Alienda kufukua uchafu mlioweka
Your browser is not able to display this video.
 
Nimekwisha muwekea Video aione kabisa
 
Alitoa kitu hapo golini na sio kwamba aliweka.
Kilifichwa chini ya kapeti.

Halafu kwa kutuzuga walikuwa wanapiga magoti na kuomba Dua kumbe walikuwa wanafukia na kutoa tunguli kapetini.

Kabla ya kuanza gemu walipiga magoti golini.

Half time walipiga magoti golini.

Wanakuja kuanza mpira kipindi cha pili walipiga magoti golini.

Baada ya kukitoa kitu chini ya kapeti hawakupiga tena magoti.

Kumbe walikuwa wanafukia na kufukua Hirizi.
Wajanja wa Mjini wakastukia hiyo ishu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…