Je aliyeleta ushindi wa simba ni Chama au shabiki aliyeenda fukia hirizi golini

Ni shabiki, maana alipofukia tu hicho kitu, refa na kibendera wote wakakubaliana kuwa hilo ni goli, wakaweka kati
No magoli yaliingia Baada ya kufukia dawa
 
Daaah makolo mnawaza uchawi tu ...badala ya kusajili
 
Kabisa this is too much
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…