Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).Q3:45
KISHA SOMA HAPA
 
MUHAMMAD ALIUPATAJE UTUME??
Muhammad s.a.w alipotimiza umri wa miaka 38kutokana na maisha magumu ,alihama toka nyumbani kwake, akahamia katika mapango(JABAL HIRA) yaliyokuwa hapo karibu na mji wa
Makka. Alipofikisha umri wa miaka 40 siku moja alitokewa na kiumbe ambacho Waislamu leo wanakiita Malaika Jibril.
Wahyi (ufunuo) uliokuja kwa Muhammad alisikia makengele,uso kuwa mwekundu,jasho kumtoka. Katika Bukhar, Hadithi na 2, Juzuu na 1,Al-Lu’lu Kitabu cha 3.Uk. Na.874 Hadithi na1505 “Hadithi ya Aisha r.a mama wa waumini amesema, kuwa Al Harith ibn Hisham r.a alimuuliza mtume wa Allah s.a.w ‘ Ewe mtume wa Allah hivi wahyi (ufunuo) hukujia vipi?’
mtume wa Allah s.a.w akajibu, “ Wakati mwingine hunijia kama mlio wa kengele, na aina hiyo ndiyo ngumu zaidi kwangu, inaondolewa hali hiyo kwangu wakati tayari
nimeshapata wahyi.

Na nyakati nyengine malaika anakuja kwangu akiwa katika mfano wa mtu, kwa hiyo ananieleza na ninayazingatia aliyoyasema.” Aisha r.a alisema , Na hakika nilimwona unamshukia wahyi siku ya baridi kali na ilipomuondoka hali hiyo, paji lake la uso lilichuruzika jasho.”
Qurani 53:2 – 6 Suratul Najm (Nyota) “Kwamba
mtu wenu huyu Nabii Muhamad (hakupotea kwa ujinga) na wala hakukosa (Na hali ya kuwa anajua). Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya (anayosema) ila ni wahyi (ufunuo) uliofunuliwa (kwake).Amemfundisha
(malaika) mwenye nguvu sana. Mwenye uweza na yeye (huyu Jibril) akalingana sawa sawa.

Ngoja tuendelee na mawaidha!!
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani:Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume
Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya “Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo.Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo.

Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona
umekwishakuwa mtume”.
28 Malaika Gabrieli alimtokea Mariamu, akamwambia: “Sal aamu, ewe binti uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!”

29 Mariamu alifadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, maana ya salamu hizi ni nini. 30 Ndipo malaika akamwam bia, “Usiogope, Mariamu, Mungu amependezwa nawe. 31 Sikiliza, utapata mimba, nawe utazaa mtoto wa kiume; na utamwita jina lake Yesu. 32 Mtoto huyo atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Mfalme Daudi, baba yake. 33 Atatawala juu ya nyumba ya Yakobo daima; na ufalme wake hau takuwa na mwisho!”
 
28 Malaika Gabrieli alimtokea Mariamu, akamwambia: “Sal aamu, ewe binti uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!”

29 Mariamu alifadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, maana ya salamu hizi ni nini. 30 Ndipo malaika akamwam bia, “Usiogope, Mariamu, Mungu amependezwa nawe. 31 Sikiliza, utapata mimba, nawe utazaa mtoto wa kiume; na utamwita jina lake Yesu. 32 Mtoto huyo atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Mfalme Daudi, baba yake. 33 Atatawala juu ya nyumba ya Yakobo daima; na ufalme wake hau takuwa na mwisho!”
MALIZIA NA HII HAPA
 
Ukisoma vizuri hayo maandiko
1.Muhammad Utume wake una mashaka
Yeye mwenyewe haelewi kama kapewa utume..mkewe ndio akamwambia ushakua mtume wewe.
2.Mariamu katokewq na Malaika Gabriel hajapata maluwe luwe ila muhammad katokewa na malaika Jibril kapatwa na maluwe luwe je huyo ni Malaika kweli aliyemtokea
3.Mitume na manabii huwa wanatabiriwa ,je Muhammad alitabiriwa wapi?
4.Quran kuhusu ujio wa Yesu inasema Allah anakubashiria mtoto (Yaani Allah anakutabiria mtoto ,how? ina maana Allah hana uhakika?) Kwa nini Allah Abashiri(There something fishy somewhere). Mbona biblia iko straight usiogope ,Mungu amependezwa nawe ,utapata mimba nawe utazaa mtoto wa kiume(Short and clear).
5.Yesu anatamkwa kwamba ni mwenye heshima duniani na Akhera ,unajua maana ya huo msemo..je ni mtume au nabii gani mwenye heshima duniani na Akhera?.Quran inaenda mbali zaidi inatamka kwamba Yesu ni neno litokalo Kwa Mungu(Anawezaje kuwa binadamu?).Yesu ni neno lililofanyika binadamu na ndio mana hakuna mtume wala nabii yeyote Mwenye hadhi hata nusu ya kumfikia.Mtume ni kipenzi cha Allah ila hajakaribishwa kwa Allah ila YESU kakaribishwa,je unajua maana ya kukaribishwa? Na kichekesho ni kwamba kuna andiko mtume anasema yeye ni mtu wa karibu zaidi kwa yesu kuliko nabii na mtume yoyote..kifupi mtume anajikaribisha kwa Yesu.
 
JINSI WAISLAMU WANAVYO PAMBANA KUTETEA TAWHID NA KUPINGA UTATU..MAELEZO UNAWEZA KUYASOMA MWAKA MZIMA USIYAELEWE.
Kwa nini Allah anasema katika Quran "Sisi" na sio "Mimi" je Yupo mmoja au Zaidi,?

Kutumia uwingi ni aina ya mtindo wa kifasihi katika Kiarabu na lugha nyingine, kwamba mtu anaweza kujisemea kwa kiwakilishi nahnu yaani (sisi) kuonesha heshima au utukufu au ukubwa wa jambo lilofanyika

Pia Mwenyezi Mungu anaweza kutumia neno ana (Mimi), akionyesha Umoja, au nafsi ya tatu -huwa (Yeye).

Mitindo yote mitatu imetumika katika Qur-aan, ambapo Allaah Anazungumza na Waarabu kwa lugha zao. (Fataawa al-Lajnah al-Daa’imah, 4/143).

Maneno haya, innaa (“Hakika Sisi”) na nahnu (“Sisi”), na aina nyinginezo za wingi, yanaweza kutumiwa na mtu mmoja akizungumza kwa niaba ya kikundi, au yanaweza kutumiwa na mtu mmoja kwa madhumuni ya heshima. au kutukuza, kama inavyofanywa na baadhi ya wafalme au viongozi kama Raisi wa nchi anapotaka Kuwakilisha jambo alilofanya husema "sisi serikali tumejenga mabarabara, mashule na mahospitali" lakini ukute nguvu kubwa imetumiwa ni ya Rais wa nchi na sio viongozi wengine anatumia uwingi ili kuonesha ukubwa wa jambo ambalo limefanyika

wanapotoa kauli au amri ambapo husema “Tumeamua…”kwamba Serikali ya Awamu ya Sita imeamua kufanya kitu fulani.
 
JINSI WAISLAMU WANAVYO PAMBANA KUTETEA TAWHID NA KUPINGA UTATU..MAELEZO UNAWEZA KUYASOMA MWAKA MZIMA USIYAELEWE.
Kwa nini Allah anasema katika Quran "Sisi" na sio "Mimi" je Yupo mmoja au Zaidi,?

Kutumia uwingi ni aina ya mtindo wa kifasihi katika Kiarabu na lugha nyingine, kwamba mtu anaweza kujisemea kwa kiwakilishi nahnu yaani (sisi) kuonesha heshima au utukufu au ukubwa wa jambo lilofanyika

Pia Mwenyezi Mungu anaweza kutumia neno ana (Mimi), akionyesha Umoja, au nafsi ya tatu -huwa (Yeye).

Mitindo yote mitatu imetumika katika Qur-aan, ambapo Allaah Anazungumza na Waarabu kwa lugha zao. (Fataawa al-Lajnah al-Daa’imah, 4/143).

Maneno haya, innaa (“Hakika Sisi”) na nahnu (“Sisi”), na aina nyinginezo za wingi, yanaweza kutumiwa na mtu mmoja akizungumza kwa niaba ya kikundi, au yanaweza kutumiwa na mtu mmoja kwa madhumuni ya heshima. au kutukuza, kama inavyofanywa na baadhi ya wafalme au viongozi kama Raisi wa nchi anapotaka Kuwakilisha jambo alilofanya husema "sisi serikali tumejenga mabarabara, mashule na mahospitali" lakini ukute nguvu kubwa imetumiwa ni ya Rais wa nchi na sio viongozi wengine anatumia uwingi ili kuonesha ukubwa wa jambo ambalo limefanyika

wanapotoa kauli au amri ambapo husema “Tumeamua…”kwamba Serikali ya Awamu ya Sita imeamua kufanya kitu fulani.
Na kutolea mfano kuhusu serikali za kidunia ni kufeli big time,hamjui kama Rais ni Taasisi,ina idara na wizara zinazomsaidia.Pia Rais hawezi sema nimejenga kwa sababu gharama za ujenzi hazitoki mfukoni kwake.zinatoka wizarani.Zingekuwa zinatoka mfukoni kwake angekuwa na haki ya kusema nimejenga.
 
Jibu maswali mzee nitakuelewa vizuri ,ukiniambia kuhusu kusoma biblia ya kiarabu utanifanya niamini tu kuwa Allah ni neno la kiarabu ila sio jina la Mungu..yaani ni sawa uniambie ushawahi kusoma biblia ya kizungu ambayo yesu anaitwa JESUS.

Bila kutumia porojo za mitaani, nikusaidie tu kuwa; Quran ni muunganiko wa vitabu 4; hiyo ya kusema sijui kuna vitabu vilirudishwa sijui ulisoma wapi?
1. Taurati ya Musa
2. Zaburi ya Daudi
3. Injili ya Yesu
4. Quran ya Mohamad

Kwa sababu Uislam unakubaliana na vitabu vyote hivyo vilivyo tangulia, inamaana Uislam ulikuwepo tangu mwanzo; Kama ambavyo kwa upande wa Wakristo; kulikuwa na Agano la kale tangu zamani ila Yesu alipokuja akaleta agano jipya; muunganiko wa Agano la kale ambalo lilikuwepo, na agano jipya alilolileta Yesu ndio ikaitwa Biblia;
Kwa maana hiyo, Yesu hakuleta Biblia bali alileta Agano Jipya; vivyo hivyo Mohamad sio wa kwanza kuleta Uislam bali alikuja kufanya majumuisho ya mafundisho yaliyo wafikia Binadamu nyakati tofauti kwa kupitia mitume wa Allah (Mungu) - Musa, Daudi, Yesu

Allah ni neno la kiarabu lenye maana ya Mungu; Japo Mungu wa Waislam amepewa sifa za upekee (tofauti kabisa na viumbe);
NI MMOJA TU, HANA MSHIRIKA, HAJAZAA WALA HAJAZALIWA, HAFANI NA KITU CHOCHOTE, HANA MWANZO WALA MWISHO. Hapa inaonesha waziwazi kuwa, Waislam hawaamini kabisa kwenye utatu kutokana hizo sifa za Allah.

Uislam maana yake, NI KUNYENYEKEA NA KUFUATA MAFUNDISHO YA ALLAH (Mungu) yaliyofikia binadamu kwa nyakati tofauti tofauti kupitia mitume wake; inamaana tangu kuumbwa kwa dunia yeyote aliye nyenyekea na kufuata mafundisha ya Mungu yaliyofikishwa kwake na mtume wa kipindi hicho basi alikuwa anafuata Uislam; Kwa maana hiyo Uislam ulikuwepo tangu Dunia iumbwe (kama maana ya neno islam).
Nimejaribu kuandika kwa kifupi sana!
 
Bila kutumia porojo za mitaani, nikusaidie tu kuwa; Quran ni muunganiko wa vitabu 4; hiyo ya kusema sijui kuna vitabu vilirudishwa sijui ulisoma wapi?
1. Taurati ya Musa
2. Zaburi ya Daudi
3. Injili ya Yesu
4. Quran ya Mohamad

Kwa sababu Uislam unakubaliana na vitabu vyote hivyo vilivyo tangulia, inamaana Uislam ulikuwepo tangu mwanzo; Kama ambavyo kwa upande wa Wakristo; kulikuwa na Agano la kale tangu zamani ila Yesu alipokuja akaleta agano jipya; muunganiko wa Agano la kale ambalo lilikuwepo, na agano jipya alilolileta Yesu ndio ikaitwa Biblia;
Kwa maana hiyo, Yesu hakuleta Biblia bali alileta Agano Jipya; vivyo hivyo Mohamad sio wa kwanza kuleta Uislam bali alikuja kufanya majumuisho ya mafundisho yaliyo wafikia Binadamu nyakati tofauti kwa kupitia mitume wa Allah (Mungu) - Musa, Daudi, Yesu

Allah ni neno la kiarabu lenye maana ya Mungu; Japo Mungu wa Waislam amepewa sifa za upekee (tofauti kabisa na viumbe);
NI MMOJA TU, HANA MSHIRIKA, HAJAZAA WALA HAJAZALIWA, HAFANI NA KITU CHOCHOTE, HANA MWANZO WALA MWISHO. Hapa inaonesha waziwazi kuwa, Waislam hawaamini kabisa kwenye utatu kutokana hizo sifa za Allah.

Uislam maana yake, NI KUNYENYEKEA NA KUFUATA MAFUNDISHO YA ALLAH (Mungu) yaliyofikia binadamu kwa nyakati tofauti tofauti kupitia mitume wake; inamaana tangu kuumbwa kwa dunia yeyote aliye nyenyekea na kufuata mafundisha ya Mungu yaliyofikishwa kwake na mtume wa kipindi hicho basi alikuwa anafuata Uislam; Kwa maana hiyo Uislam ulikuwepo tangu Dunia iumbwe (kama maana ya neno islam).
Nimejaribu kuandika kwa kifupi sana!
Hizi porojo walishaandika wenzako huko juu ..lete kitu kipya
 
Hizi porojo walishaandika wenzako huko juu ..lete kitu kipya

Ukiita porojo unakosea
Mfano; mtu akikuambia 5*7 =35
unamwambia hapana leta jibu lingine
Wewe ndiye unahitaji kujitafakari
 
Ukiita porojo unakosea
Mfano; mtu akikuambia 5*7 =35
unamwambia hapana leta jibu lingine
Wewe ndiye unahitaji kujitafakari
Kwanza unajua kwa nini Yesu kazaliwa na Bikira? ni kwa sababu neno la Mungu ni takatifu kwa hiyo ili lifanyike mwili na ionekane kazaliwa binadamu ilibidi apitie kwa mwanamke msafi,ndio mana akateuliwa Mariamu ambaye ni bikira.Akazaliwa Yesu ambaye maisha yake yote aliishi kwa utakatifu hakuwa na dhambi.Na ndio mana quran yako inasema ana heshima duniani hadi Akhera.
 
MUHAMMAD ALIUPATAJE UTUME??
Muhammad s.a.w alipotimiza umri wa miaka 38kutokana na maisha magumu ,alihama toka nyumbani kwake, akahamia katika mapango(JABAL HIRA) yaliyokuwa hapo karibu na mji wa
Makka. Alipofikisha umri wa miaka 40 siku moja alitokewa na kiumbe ambacho Waislamu leo wanakiita Malaika Jibril.
Wahyi (ufunuo) uliokuja kwa Muhammad alisikia makengele,uso kuwa mwekundu,jasho kumtoka. Katika Bukhar, Hadithi na 2, Juzuu na 1,Al-Lu’lu Kitabu cha 3.Uk. Na.874 Hadithi na1505 “Hadithi ya Aisha r.a mama wa waumini amesema, kuwa Al Harith ibn Hisham r.a alimuuliza mtume wa Allah s.a.w ‘ Ewe mtume wa Allah hivi wahyi (ufunuo) hukujia vipi?’
mtume wa Allah s.a.w akajibu, “ Wakati mwingine hunijia kama mlio wa kengele, na aina hiyo ndiyo ngumu zaidi kwangu, inaondolewa hali hiyo kwangu wakati tayari
nimeshapata wahyi.

Na nyakati nyengine malaika anakuja kwangu akiwa katika mfano wa mtu, kwa hiyo ananieleza na ninayazingatia aliyoyasema.” Aisha r.a alisema , Na hakika nilimwona unamshukia wahyi siku ya baridi kali na ilipomuondoka hali hiyo, paji lake la uso lilichuruzika jasho.”
Qurani 53:2 – 6 Suratul Najm (Nyota) “Kwamba
mtu wenu huyu Nabii Muhamad (hakupotea kwa ujinga) na wala hakukosa (Na hali ya kuwa anajua). Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya (anayosema) ila ni wahyi (ufunuo) uliofunuliwa (kwake).Amemfundisha
(malaika) mwenye nguvu sana. Mwenye uweza na yeye (huyu Jibril) akalingana sawa sawa.

Ngoja tuendelee na mawaidha!!
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani:Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume
Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya “Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo.Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo.

Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona
umekwishakuwa mtume”.

Nyinyi mmedanganywa sana na Wazungu kuhusu uislam na Mtume Muhammad
Acha nikufumbue macho

UTABIRI WA MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA

A
Kumbukumbu la Torati 18:18
Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.

Hapo Mungu anasema atatoa nabii mfano wa Musa kutoka miongoni mwa ndugu zao
1) Ndugu wa Wana wa Israel ni Saudi Arabia waisrael watoto wa Isaka na Saudi Arabia ni watoto wa Ishmael

2) Nabii mfano wa Musa
Musa alizaliwa na baba na mama
Muhammad alizaliwa na baba na mama

Musa alipewa utume akiwa mtu mzima
Muhammad alipewa utume akiwa mtu mzima

Musa alioa na kuzaa watoto
Muhammad alioa na kuzaa watoto

Musa alipewa Taurati Ina amri Sheria na hukumu
Muhammad alipewa Quran Ina amri Sheria na hukumu

Musa amekufa na kuzikwa
Muhammad amekufa na kuzikwa

B
Kumbukumbu la Torati 33:2
Akasema, BWANA alitoka Sinai, Akawaondokea kutoka Seiri; Aliangaza katika kilima cha Parani, Akaja Meribath-kadeshi. Upande wa mkono wake wa kuume Palikuwa na sheria ya moto-moto kwao.

Mlima Sinai alipewa utume nabii Musa

Mlima Seiri upo Jerusalem hivyo unahusu utume wa Yesu

Mlima Parani upo Saudi Arabia ni mtume Muhammad

C
Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Tema ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael baadae likawa jina la mji na huo mji ndio Saudi Arabia ya Sasa

Mlima Parani upo Saudi Arabia

Ukristo umeanzishwa na Roman empire na Roman empire ndio mnyama 666
 
Kwanza unajua kwa nini Yesu kazaliwa na Bikira? ni kwa sababu neno la Mungu ni takatifu kwa hiyo ili lifanyike mwili na ionekane kazaliwa binadamu ilibidi apitie kwa mwanamke msafi,ndio mana akateuliwa Mariamu ambaye ni bikira.Akazaliwa Yesu ambaye maisha yake yote aliishi kwa utakatifu hakuwa na dhambi.Na ndio mana quran yako inasema ana heshima duniani hadi Akhera.
Yesu namfaham sana na Waislam wanamkubali kwa asilimia 100% kama mtume (aliyetumwa na Mungu) na kwa taarifa yako; Yesu ameelezewa kwa kirefu kwa waislam kuliko kwenye Biblia

Mfano: Kwenye Biblia unasoma historia ya Yesu akizaliwa na unakuja kukutana naye tena Akihubiri
Kwa Waislam, unapitishwa kwenye maisha yake ya utotoni na miujiza mingi tu aliyofanya akiwa mtoto, teenager hadi kuanza kuhubiri... NA ndio sababu umeambiwa; Msingi wa Uislam upo kwenye Vitabu vinne
vikiwemo; Taurati ya Musa; Zaburi ya Daudi na Injili ya Yesu
 
Nyinyi mmedanganywa sana na Wazungu kuhusu uislam na Mtume Muhammad
Acha nikufumbue macho

UTABIRI WA MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA

A
Kumbukumbu la Torati 18:18
Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.

Hapo Mungu anasema atatoa nabii mfano wa Musa kutoka miongoni mwa ndugu zao
1) Ndugu wa Wana wa Israel ni Saudi Arabia waisrael watoto wa Isaka na Saudi Arabia ni watoto wa Ishmael

2) Nabii mfano wa Musa
Musa alipewa utume akiwa mtu mzima
Muhammad alipewa utume akiwa mtu mzima

Musa alioa na kuzaa watoto
Muhammad alioa na kuzaa watoto

Musa alipewa Taurati Ina amri Sheria na hukumu
Muhammad alipewa Quran Ina amri Sheria na hukumu

Musa amekufa na kuzikwa
Muhammad amekufa na kuzikwa

B
Kumbukumbu la Torati 33:2
Akasema, BWANA alitoka Sinai, Akawaondokea kutoka Seiri; Aliangaza katika kilima cha Parani, Akaja Meribath-kadeshi. Upande wa mkono wake wa kuume Palikuwa na sheria ya moto-moto kwao.

Mlima Sinai alipewa utume nabii Musa

Mlima Seiri upo Jerusalem hivyo unahusu utume wa Yesu

Mlima Parani upo Saudi Arabia ni mtume Muhammad

C
Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Tema ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael baadae likawa jina la mji na huo mji ndio Saudi Arabia ya Sasa

Mlima Parani upo Saudi Arabia

Ukristo umeanzishwa na Roman empire na Roman empire ndio mnyama 666
Kama kufanana na Musa ndio kutabiriwa hata Yesu alifanana na Musa.
 

  • Musa alikuwa kuhani. Imeandikwa: Musa na Haruni miongoni mwa makuhani wake, Na Samweli miongoni mwao waliitiao jina lake, Walipomwita Bwana aliwaitikia (Zaburi 99:6). Bwana Yesu naye ni kuhani. Imeandikwa kumhusu Yeye kwamba: bali yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake usioondoka. (Waebrania 7:24).
  • Musa aliwapa watu wake maji katikati ya jangwa. Imeandikwa: Musa akainua mkono wake akaupiga ule mwamba kwa fimbo yake mara mbili; maji yakatoka mengi, mkutano wakanywa na wanyama wao pia. (Hesabu 20:11). Yesu naye anafanya jambo lilelile. Imeandikwa: Hata siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe. (Yohana 7:37).

  • Musa alibeba dhambi ya watu wake, hivyo akaadhibiwa yeye kwa niaba yao. Imeandikwa: Wakamghadhibisha penye maji ya Meriba, Hasara ikampata Musa kwa ajili yao (Zaburi 106:32). Kila mtu anafahamu kuwa Bwana wetu Yesu naye alibeba dhambi ya ulimwengu wote. Aliadhibiwa kwa niaba yetu. Imeandikwa: Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Sisi sote kama kondoo tumepotea; Kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe; Na Bwana ameweka juu yake Maovu yetu sisi sote. (Isaya 53:5-6).
Tungeweza kuendelea zaidi na zaidi, lakini mifano hii michache inatosha
 
  • Musa aliacha maisha ya kitajiri na kifalme nyumbani kwa farao na kwenda kuishi pamoja na ndugu zake Waisraeli waliokuwa maskini na watumwa. Imeandikwa:
Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao; akaona ni afadhali kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha katika dhambi kwa kitambo; akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri; kwa kuwa aliyatazamia hayo malipo. (Waebrania 11:24-26).
Yesu naye aliacha utukufu mkuu mbinguni. Imeandikwa:
Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. (Wafilipi 2:5-8).
  • Musa alitumwa na Mungu kwenda kuwatoa Israeli kwenye nchi ya utumwa wa farao na watesi wake ili kuwapeleka kwenye nchi ya ahadi. Yesu alitumwa na Mungu kuja kuwatoa wanadamu kwenye utumwa wa ibilisi (farao wa kiroho) ili kuwaingiza kwenye mbingu.
  • Musa alikuwa ni mpatanishi kati ya wana wa Israeli na Mungu pale walipotenda dhambi. Maombi yake ndiyo yaliyoepusha mapigo kutoka kwa Mungu. Yesu ndiye mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu. Yeye huwaombea wale wanaomwamini ili hatimaye wasije kuingia jehanamu ya moto.
  • Musa aliwakomboa wana wa Israeli kutoka kwenye utumwa wa Misri kupitia sadaka ya damu. Waisraeli waliambiwa wachinje mwanakondoo wa Pasaka na kupaka damu yake kwenye miimo ya milango ya nyumba zao. Kisha Biblia inasema:

Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu, nitakapoipiga nchi ya Misri. Kwa kuwa Bwana atapita ili awapige hao Wamisri; na hapo atakapoiona hiyo damu katika kizingiti cha juu, na katika ile miimo miwili, Bwana atapita juu ya mlango, wala hatamwacha mwenye kuharibu aingie nyumbani mwenu kuwapiga ninyi. (Kutoka 12:13, 23)
Bwana Yesu naye aliwakomboa wanadamu wote kutoka kwenye utumwa wa shetani kupitia sadaka ya damu. Biblia inasema:
Lakini Kristo akiisha kuja, aliye kuhani mkuu wa mambo mema yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono, maana yake, isiyo ya ulimwengu huu, wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele. (Waebrania 9:11-12).
  • Musa aliwaagiza Waisraeli waokote mana iliyodondoka jangwani kila siku ili wapate kula na kuishi jangwani. Imeandikwa:
Basi wakaokota asubuhi baada ya asubuhi, kila mtu kama ulaji wake ulivyokuwa … (Kutoka 16:21).
Kwa kuwa hayo yalikuwa ni ishara ya mambo yajayo, alipokuja Bwana wa uzima mwenyewe, Yesu Kristo, akawa ameleta kile halisi ambacho kilikuwa kinasubiriwa. Imeandikwa: Baba zetu waliila mana jangwani kama vile ilivyoandikwa, Aliwapa chakula cha mbinguni ili wale. Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Siye Musa aliyewapa chakula kile cha mbinguni, bali Baba yangu anawapa ninyi chakula cha kweli kitokacho mbinguni. Kwa maana chakula cha Mungu ni kile kishukacho kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima. (Yohana 6:31-33).
  • Watu waliumwa na nyoka jangwani. Mungu akamwambia Musa atengeneze nyoka wa shaba. Amwinue juu ili mtu aliyeumwa na nyoka akitaka kupona, ainue macho yake na kumtazama yule nyoka wa shaba. Waliofanya hivyo walipona. Walioshindwa kufanya hivyo walikufa. Imeandikwa:
Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi. (Hesabu 21:9).
Yesu alipokuja naye kafanya yaleyale. Nyoka ni ishara ya ibilisi na mashetani wote. Kuumwa na nyoka ni ishara ya kuwa na dhambi. Kila mwenye dhambi anatakiwa kumtazama Yesu kwa imani, naye atapona mauti – yaani kutupwa jehanamu ya moto. Anayekataa kumtazama Yesu anakuwa amechagua kufa! Imeandikwa:

Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye. (Yohana 3:14-15)
  • Musa alikataliwa na watu wake. Walimwambia: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu? Je! Wataka kuniua mimi kama ulivyomwua yule Mmisri? Musa akaogopa, akasema, Kumbe! Jambo lile limejulikana. (Kutoka 2:14).
Kisha aliondoka na kwenda nchi ya Midiani. Huko alioa mke ambaye hakuwa Mwisraeli. (Tazama: Kut. 2:16-21). Lakini baada ya hapo alirudi tena Misri na kuwatoa Israeli utumwani.
Yesu naye alikataliwa na watu wake. Imeandikwa: Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea. (Yohana 1:11). Ni jambo lililo wazi kuwa hadi sasa Wayahudi hawamtambui Yesu kama Masihi wao. Lakini kama ilivyokuwa kwa Musa, Bwana Yesu akatoka kwa hao walio wake akaja kwa Mataifa, yaani watu wengine wote wasio Wayahudi. Huko amejipatia na anaendelea kujipatia ‘bibi harusi’ – maana Kanisa la Yesu, kwa ujumla wake, linaitwa ni bibi harusi wa Bwana Yesu (Tazama 2 Wakorintho 11:2). Na tena imeandikwa: Nitawaita watu wangu wale wasiokuwa watu wangu, Na mpenzi wangu yeye asiyekuwa mpenzi wangu. (Warumi 9:25).
Lakini kabla ya kuingia Kanaani (yaani dunia kufika mwisho), Bwana Yesu, kama Musa, atamrudia Israeli. Imeandikwa: Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili. Hivyo Israeli wote wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake. (Warumi 11:25-26).
  • Musa aliteua watu kumi na mbili akawatuma Kanaani. Imeandikwa: Neno hili likanipendeza sana; nikatwaa watu kumi na wawili, mtu mmoja wa kila kabila. (Kumbukumbu 1:23). Bwana Yesu naye aliteua mitume kumi na mbili akawatuma. Imeandikwa: Akaweka watu kumi na wawili, wapate kuwa pamoja naye, na kwamba awatume kuhubiri. (Marko 3:14).
  • Musa aliteua watu sabini kwa ajili ya kusimama mbele za Bwana. Imeandikwa: Kisha Bwana akamwambia Musa, Nikusanyie watu sabini, miongoni mwa wazee wa israeli, ambao wewe wawajua kuwa ndio wazee wa watu hawa, na maakida juu yao; ukawalete hata hema ya kukutania, wasimame huko pamoja nawe. (Hesabu 11:16). Bwana Yesu naye alifanya vivyo hivyo. Imeandikwa: Basi, baada ya hayo Bwana aliweka na wengine, sabini, akawatuma wawili wawili wamtangulie kwenda kila mji na kila mahali alipokusudia kwenda mwenyewe. (Luka 10:1).
 
  • Musa aliacha maisha ya kitajiri na kifalme nyumbani kwa farao na kwenda kuishi pamoja na ndugu zake Waisraeli waliokuwa maskini na watumwa. Imeandikwa:
Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao; akaona ni afadhali kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha katika dhambi kwa kitambo; akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri; kwa kuwa aliyatazamia hayo malipo. (Waebrania 11:24-26).
Yesu naye aliacha utukufu mkuu mbinguni. Imeandikwa:
Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. (Wafilipi 2:5-8).
  • Musa alitumwa na Mungu kwenda kuwatoa Israeli kwenye nchi ya utumwa wa farao na watesi wake ili kuwapeleka kwenye nchi ya ahadi. Yesu alitumwa na Mungu kuja kuwatoa wanadamu kwenye utumwa wa ibilisi (farao wa kiroho) ili kuwaingiza kwenye mbingu.
  • Musa alikuwa ni mpatanishi kati ya wana wa Israeli na Mungu pale walipotenda dhambi. Maombi yake ndiyo yaliyoepusha mapigo kutoka kwa Mungu. Yesu ndiye mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu. Yeye huwaombea wale wanaomwamini ili hatimaye wasije kuingia jehanamu ya moto.
  • Musa aliwakomboa wana wa Israeli kutoka kwenye utumwa wa Misri kupitia sadaka ya damu. Waisraeli waliambiwa wachinje mwanakondoo wa Pasaka na kupaka damu yake kwenye miimo ya milango ya nyumba zao. Kisha Biblia inasema:

Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu, nitakapoipiga nchi ya Misri. Kwa kuwa Bwana atapita ili awapige hao Wamisri; na hapo atakapoiona hiyo damu katika kizingiti cha juu, na katika ile miimo miwili, Bwana atapita juu ya mlango, wala hatamwacha mwenye kuharibu aingie nyumbani mwenu kuwapiga ninyi. (Kutoka 12:13, 23)
Bwana Yesu naye aliwakomboa wanadamu wote kutoka kwenye utumwa wa shetani kupitia sadaka ya damu. Biblia inasema:
Lakini Kristo akiisha kuja, aliye kuhani mkuu wa mambo mema yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono, maana yake, isiyo ya ulimwengu huu, wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele. (Waebrania 9:11-12).
  • Musa aliwaagiza Waisraeli waokote mana iliyodondoka jangwani kila siku ili wapate kula na kuishi jangwani. Imeandikwa:
Basi wakaokota asubuhi baada ya asubuhi, kila mtu kama ulaji wake ulivyokuwa … (Kutoka 16:21).
Kwa kuwa hayo yalikuwa ni ishara ya mambo yajayo, alipokuja Bwana wa uzima mwenyewe, Yesu Kristo, akawa ameleta kile halisi ambacho kilikuwa kinasubiriwa. Imeandikwa: Baba zetu waliila mana jangwani kama vile ilivyoandikwa, Aliwapa chakula cha mbinguni ili wale. Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Siye Musa aliyewapa chakula kile cha mbinguni, bali Baba yangu anawapa ninyi chakula cha kweli kitokacho mbinguni. Kwa maana chakula cha Mungu ni kile kishukacho kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima. (Yohana 6:31-33).
  • Watu waliumwa na nyoka jangwani. Mungu akamwambia Musa atengeneze nyoka wa shaba. Amwinue juu ili mtu aliyeumwa na nyoka akitaka kupona, ainue macho yake na kumtazama yule nyoka wa shaba. Waliofanya hivyo walipona. Walioshindwa kufanya hivyo walikufa. Imeandikwa:
Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi. (Hesabu 21:9).
Yesu alipokuja naye kafanya yaleyale. Nyoka ni ishara ya ibilisi na mashetani wote. Kuumwa na nyoka ni ishara ya kuwa na dhambi. Kila mwenye dhambi anatakiwa kumtazama Yesu kwa imani, naye atapona mauti – yaani kutupwa jehanamu ya moto. Anayekataa kumtazama Yesu anakuwa amechagua kufa! Imeandikwa:

Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye. (Yohana 3:14-15)
  • Musa alikataliwa na watu wake. Walimwambia: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu? Je! Wataka kuniua mimi kama ulivyomwua yule Mmisri? Musa akaogopa, akasema, Kumbe! Jambo lile limejulikana. (Kutoka 2:14).
Kisha aliondoka na kwenda nchi ya Midiani. Huko alioa mke ambaye hakuwa Mwisraeli. (Tazama: Kut. 2:16-21). Lakini baada ya hapo alirudi tena Misri na kuwatoa Israeli utumwani.
Yesu naye alikataliwa na watu wake. Imeandikwa: Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea. (Yohana 1:11). Ni jambo lililo wazi kuwa hadi sasa Wayahudi hawamtambui Yesu kama Masihi wao. Lakini kama ilivyokuwa kwa Musa, Bwana Yesu akatoka kwa hao walio wake akaja kwa Mataifa, yaani watu wengine wote wasio Wayahudi. Huko amejipatia na anaendelea kujipatia ‘bibi harusi’ – maana Kanisa la Yesu, kwa ujumla wake, linaitwa ni bibi harusi wa Bwana Yesu (Tazama 2 Wakorintho 11:2). Na tena imeandikwa: Nitawaita watu wangu wale wasiokuwa watu wangu, Na mpenzi wangu yeye asiyekuwa mpenzi wangu. (Warumi 9:25).
Lakini kabla ya kuingia Kanaani (yaani dunia kufika mwisho), Bwana Yesu, kama Musa, atamrudia Israeli. Imeandikwa: Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili. Hivyo Israeli wote wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake. (Warumi 11:25-26).
  • Musa aliteua watu kumi na mbili akawatuma Kanaani. Imeandikwa: Neno hili likanipendeza sana; nikatwaa watu kumi na wawili, mtu mmoja wa kila kabila. (Kumbukumbu 1:23). Bwana Yesu naye aliteua mitume kumi na mbili akawatuma. Imeandikwa: Akaweka watu kumi na wawili, wapate kuwa pamoja naye, na kwamba awatume kuhubiri. (Marko 3:14).
  • Musa aliteua watu sabini kwa ajili ya kusimama mbele za Bwana. Imeandikwa: Kisha Bwana akamwambia Musa, Nikusanyie watu sabini, miongoni mwa wazee wa israeli, ambao wewe wawajua kuwa ndio wazee wa watu hawa, na maakida juu yao; ukawalete hata hema ya kukutania, wasimame huko pamoja nawe. (Hesabu 11:16). Bwana Yesu naye alifanya vivyo hivyo. Imeandikwa: Basi, baada ya hayo Bwana aliweka na wengine, sabini, akawatuma wawili wawili wamtangulie kwenda kila mji na kila mahali alipokusudia kwenda mwenyewe. (Luka 10:1).

Yani umeandika garazeti lote hilo Ili kulazimisha kuwa unabii wa Yesu unafanana na Musa?
Sidhani kama Kuna mtu atasoma huo utumbo wako

Lakini pia hongore Kwa kuanza kujua ukweli maana unakubali kuwa Yesu ni mtume wa Mungu kama walivyo mitume wengine hapo umekubaliana na Quran
Maana Quran inasema Yesu ni mtume wa Mungu na Yesu kuwa mtume wa Mungu sio ajabu maana wamepita mitume wengi kabla yake

Lakini ukisema mtume Musa na mtume Yesu wanafanana unadhihirisha umbumbu wako

Kama haujaelewa soma tena

Kumbukumbu la Torati 18:18
Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.

Hapo Mungu anasema atatoa nabii mfano wa Musa kutoka miongoni mwa ndugu zao
1) Ndugu wa Wana wa Israel ni Saudi Arabia waisrael watoto wa Isaka na Saudi Arabia ni watoto wa Ishmael

2) Nabii mfano wa Musa

Musa alizaliwa na baba na mama
Muhammad alizaliwa na baba na mama

Musa alipewa utume akiwa mtu mzima
Muhammad alipewa utume akiwa mtu mzima

Musa alioa na kuzaa watoto
Muhammad alioa na kuzaa watoto

Musa alipewa Taurati Ina amri Sheria na hukumu
Muhammad alipewa Quran Ina amri Sheria na hukumu

Musa amekufa na kuzikwa
Muhammad amekufa na kuzikwa
 
Yani umeandika garazeti lote hilo Ili kulazimisha kuwa unabii wa Yesu unafanana na Musa?
Sidhani kama Kuna mtu atasoma huo utumbo wako

Lakini pia hongore Kwa kuanza kujua ukweli maana unakubali kuwa Yesu ni mtume wa Mungu kama walivyo mitume wengine hapo umekubaliana na Quran
Maana Quran inasema Yesu ni mtume wa Mungu na Yesu kuwa mtume wa Mungu sio ajabu maana wamepita mitume wengi kabla yake

Lakini ukisema mtume Musa na mtume Yesu wanafanana unadhihirisha umbumbu wako

Kama haujaelewa soma tena

Kumbukumbu la Torati 18:18
Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.

Hapo Mungu anasema atatoa nabii mfano wa Musa kutoka miongoni mwa ndugu zao
1) Ndugu wa Wana wa Israel ni Saudi Arabia waisrael watoto wa Isaka na Saudi Arabia ni watoto wa Ishmael

2) Nabii mfano wa Musa

Musa alizaliwa na baba na mama
Muhammad alizaliwa na baba na mama

Musa alipewa utume akiwa mtu mzima
Muhammad alipewa utume akiwa mtu mzima

Musa alioa na kuzaa watoto
Muhammad alioa na kuzaa watoto

Musa alipewa Taurati Ina amri Sheria na hukumu
Muhammad alipewa Quran Ina amri Sheria na hukumu

Musa amekufa na kuzikwa
Muhammad amekufa na kuzikwa
ILA WE JAMAA,KWA HIYO VITABU VYA KALE VIMTABIRI MUHAMMAD ALIYELETA QURAN VIMRUKE ALIYELETA INJILI AMBAYE ALIKUJA KABLA YAKE.
 
Waafrika hasa watanzania kazi tunayo. Kazi kubishania dini ambazo tumerithi. Dini zenyewe watu ni kama mashabiki lakini kiuhalisia hawazifuate au wanazifuata nusu nusu.
 
Yani umeandika garazeti lote hilo Ili kulazimisha kuwa unabii wa Yesu unafanana na Musa?
Sidhani kama Kuna mtu atasoma huo utumbo wako

Lakini pia hongore Kwa kuanza kujua ukweli maana unakubali kuwa Yesu ni mtume wa Mungu kama walivyo mitume wengine hapo umekubaliana na Quran
Maana Quran inasema Yesu ni mtume wa Mungu na Yesu kuwa mtume wa Mungu sio ajabu maana wamepita mitume wengi kabla yake

Lakini ukisema mtume Musa na mtume Yesu wanafanana unadhihirisha umbumbu wako

Kama haujaelewa soma tena

Kumbukumbu la Torati 18:18
Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.

Hapo Mungu anasema atatoa nabii mfano wa Musa kutoka miongoni mwa ndugu zao
1) Ndugu wa Wana wa Israel ni Saudi Arabia waisrael watoto wa Isaka na Saudi Arabia ni watoto wa Ishmael

2) Nabii mfano wa Musa

Musa alizaliwa na baba na mama
Muhammad alizaliwa na baba na mama

Musa alipewa utume akiwa mtu mzima
Muhammad alipewa utume akiwa mtu mzima

Musa alioa na kuzaa watoto
Muhammad alioa na kuzaa watoto

Musa alipewa Taurati Ina amri Sheria na hukumu
Muhammad alipewa Quran Ina amri Sheria na hukumu

Musa amekufa na kuzikwa
Muhammad amekufa na kuzikwa
Al-Barwani
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha QURAN 4:79
Hawa waliompa utume Muhammad halafu Mungu akawa shahidi ni wakina nani?
 
Back
Top Bottom