Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Umeeleza vizuri. Muddy hakuwahi kuwa Muislam. Kabla ya kuwa kichaa baada ya kushukiwa na majini / shetani kwa kukaidi kuslim, Muddy alikuwa mtu wa vituko tu, hakuwa mwema wala nini kama wanavyodanganywa waumin wa Kiislam. Haya yote kuhusu Allah yalikuja mara tu Muddy alipomkubalia shetani kuwa mfuasi wake na kupewa hizo "Satanic Verses," wengine wanaita Qur'an. Kadhalika, Qur'an ilikuja miaka karibu 600 baada ya Ukristu na kabla ya hapo hakukuwa na Allah bali Mungu.
 
Wagala ni vihere here hatar .swali wameuliza wao ila kejeli pia wanaandika wao.
 
Never take Qur'an seriously kwani Qur'an ni Satanic Verses tu, bila shetani hakuna Qur'an.
 
Mada nzuri sema umeandika uwongo
 
"Nasi"
[ AN-NISAAI - 79 ]
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. "Nasi" tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

(AL - JINN - 12)
"Nasi" tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.

[ AL - MAA'RIJ - 40 ]
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…