Hilo andiko unafahamu linazungumzia wakati gani?
UISLAM hauna CHUKI na kundi lolote la watu, jamii au kabila.
hapo zinazungumzwa nyakati za Mwisho....
kuna msururu mrefu wa matukio hivyo ni vema kujifunza na kuelewa kuliko kurukia kipande tu cha hadith.
Hawa bila shaka waliambiwa wakacheze mziki na Mungu wa Biblia , yaani Mungu anamtuma Sauli akaue mpaka mtoto anae nyonya lakini umetulia kimya unaleta ya Quran tu, hivi unafikiri kila hajui kuwa Biblia imejaa maandiko mengi kuua watu? haya kula chuma hikiKwani Muongozo wao Sio qurani unayo Agiza Wafuasi wake wayafuate na KUYAISHI haya??
[emoji116][emoji116]
سَتَجِدُونَ آخَرِينَ يُرِيدُونَ أَن يَأْمَنُوكُمْ وَيَأْمَنُوا قَوْمَهُمْ كُلَّ مَا رُدُّوا إِلَى الْفِتْنَةِ أُرْكِسُوا فِيهَا ۚ فَإِن لَّمْ يَعْتَزِلُوكُمْ وَيُلْقُوا إِلَيْكُمُ السَّلَمَ وَيَكُفُّوا أَيْدِيَهُمْ فَخُذُوهُمْ وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ ثَقِفْتُمُوهُمْ ۚ وَأُولَـٰئِكُمْ جَعَلْنَا لَكُمْ عَلَيْهِمْ سُلْطَانًا مُّبِينًا
[ AN-NISAAI - 91 ]
Mtawakuta wengine wanataka wapate salama kwenu na salama kwa watu wao. Kila wakirudishwa kwenye fitna hudidimizwa humo. Ikiwa hawajitengi nanyi, na wakakuleteeni salama, na wakazuia mikono yao, basi wakamateni na wauweni popote mnapo wakuta. Na juu ya hao ndio tumekupeni hoja zilizo wazi.
إِذْ يُوحِي رَبُّكَ إِلَى الْمَلَائِكَةِ أَنِّي مَعَكُمْ فَثَبِّتُوا الَّذِينَ آمَنُوا ۚ سَأُلْقِي فِي قُلُوبِ الَّذِينَ كَفَرُوا الرُّعْبَ فَاضْرِبُوا فَوْقَ الْأَعْنَاقِ وَاضْرِبُوا مِنْهُمْ كُلَّ بَنَانٍ
[ AL - ANFAAL - 12 ]
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ
[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
[emoji121][emoji121]
au kisilamu silamu Ndio AMANI!!
Hapa Ndipo inaanza Tagiyah
[emoji116][emoji116]
لَّا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي
أَيْمَانِكُمْ وَلَـٰكِن يُؤَاخِذُكُم بِمَا كَسَبَتْ قُلُوبُكُمْ ۗ وَاللَّهُ غَفُورٌ حَلِيمٌ
[ AL - BAQARA - 225 ]
Mwenyezi Mungu hakushikeni kwa viapo vyenu vya upuuzi. Bali anakushikeni kwa yanayo chuma nyoyo zenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mpole
Utumiaji wa hiyo aya hiyo (TAQIYA) Kudanganya!
[emoji116][emoji116]
Wakati Waislamu ni wachache kwa idadi ...
[emoji116][emoji116]
Sisi tunatoka katika Dini ya Amani.
Wakati Waislamu ni wengi ...
[emoji116][emoji116]
Uislamu unastahili hadhi maalum.
Wakati Waislamu wanakuzidi wewe Kwa wingi...
[emoji116][emoji116]
UISLAMU AU VINGINEVYO![emoji117][emoji380][emoji378][emoji38][emoji38][emoji38]
Ni wakati wa kuamka.
Hawa walikwenda kuchinja watoto na wakina mama mbona huleti hapa , tena mpaka watoto wanao nyonya waliuawa, haitoshi mpaka mifugo yao ikaonekana tatizo nayo ikafyekelewa mbali, muwe mnaleta na hii mistari basiSina haja ya kujua wakati, ila kimsingi ndilo mnalolitumia kuua watu, haingii akilini mzuka upi huo ulisababisha mchinje watoto na akina mama juzi huku mkiita jina la alla akbar.
Mbona hata Ukraine raia wakiuliwa wanalia lia ni kawaida huwezi kuua raia watu wakanyamaza kimya, lakini Hamas wako imara wamesha sema Gaza sio bustani, wanajeshi wa Israel wanakaribishwaTatizo mnaishia kulia lia, mnaanza kwa mabavu ila mnalia tena mkigeuziwa, haitokuja siku muue wayahudi wote, tena kila myahudi hukula kiapo cha "Samson option", katafiti nini maana yake.
Hawa walipewa ahadi gani lukuki? ebu tuambie hapa tusikie😂😂😂😀😀Wenyewe wakifanya hizo takataka wamepewa ahadi lukuki ndio zinazowapa motivation
Hawa walimuita Mungu gani baada ya kutekeleza amri ya Mungu wao mpendwa Yehova?Hata wanapochinja mtu wanamwita Mungu wao.
Kuna nchi ukisikia "Allahu Akbal" timua mbio kwa kasi sana.
La sivyo Bomu litakulipukia likuuwe.
Chukua maandishi yale meupe ya kwenye bendela nyeusi za hao magaidi wa Dini halafu yasome.
Halafu ndio utajua wale ndio Waislamu kamili kabisa. Wanafanya walicho agizwa na Mola wao Mlezi.
Hawa walipewa mabikra wangapi na Yehova? Baada ya kuua mpaka watoto wanao nyonyaNi vigumu kutenganisha ugaidi na dini uislam kutokana na maandiko yao kua chachu ya ugaidi na mauji wanayo fanya, baada ya hapo wanasubiria kupewa mabikra 72 na nguvu za kutumia mizigo 100 kwa siku, Imani zingine za hovyo kabisa
Ulete na haya pia maana mauaji ni kila sehemu, Yehova aliagiza mpaka vichanga na mifugo kuuawa, ulete basi na haya , au unafikiri hatuyajui 😂😂😂Binafsi nilikua sifuatilii mambo yenu, nilijua nyie ni kama dini zingine, ila vituko vyenu vikazidi kuwa vingi, mauaji kila sehemu, mnachinja na kujilipua mabomu, ndio nikaanza kujua lazima maandiko yanawaamrisha huo uzombi, haiwezekani mtu kwa akili yake anateka basi la abiria anaanza kuchinja wasio waislamu.
Ni vigumu sana kutazama uislamu kwa mtazamo chanya huku mnaendelea kuua watu mkizingatia maandiko yenu yapo dhahiri kabisa.
Hebu soma hili tukio mlilolifanya la kuchinja abiria kisa walishindwa kujibu maswali yenu ya kidini Bus passengers massacred
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Hawa walikwenda kuchinja watoto na wakina mama mbona huleti hapa , tena mpaka watoto wanao nyonya waliuawa, haitoshi mpaka mifugo yao ikaonekana tatizo nayo ikafyekelewa mbali, muwe mnaleta na hii mistari basi
Chuma iko hapa
Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.
1 Samueli 15:3
Jews are most treacherous people; they will always do corruption [FASAD] in the land....Kuna hili andiko la kiislamu linaloonekana kuamrisha Wayahudi wachinjwe hadi ambao watakuwa wamejificha nyuma ya mawe, je inawezekana kuwa sababu za hizi chuki?
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، أَخْبَرَنِي عُمَرُ بْنُ حَمْزَةَ، قَالَ سَمِعْتُ
سَالِمًا، يَقُولُ أَخْبَرَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ "
تَقْتَتِلُونَ أَنْتُمْ وَيَهُودُ حَتَّى يَقُولَ الْحَجَرُ يَا مُسْلِمُ هَذَا يَهُودِيٌّ وَرَائِي تَعَالَ فَاقْتُلْهُ " .
Sunnah.com
Mbona hata Ukraine raia wakiuliwa wanalia lia ni kawaida huwezi kuua raia watu wakanyamaza kimya, lakini Hamas wako imara wamesha sema Gaza sio bustani, wanajeshi wa Israel wanakaribishwa
Ulete na haya pia maana mauaji ni kila sehemu, Yehova aliagiza mpaka vichanga na mifugo kuuawa, ulete basi na haya , au unafikiri hatuyajui 😂😂😂
Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.
1 Samueli 15:3
Acha kupotosha wewe wapalestina wanataka nchi kamili hakuna vita ya dini pale, huwezi kumfanya mtu mzima kama mbuzi unamfungia kwenye zizi halafu akakuchekea kila sikuUkraine ilikua vita baina ya mataifa, ila hii yenu ni mzuka wa kidini mnachinja kabisa watoto, kuna video zipo Telegram yaani Israel haipaswi kuwaonea huruma nyie watu
Nilianga video ya mlivyokua mnachinja wayahudi juzi halafu uzingatie maandiko yenu yameamrisha muwachinje, nikaona kweli Israel inapaswa kukaa ngumu bila huruma
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)
Fight fight everywhere
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Nikiwa kama muislam ambae nachukizwa na izo itikadi za kigaidi kuuwa watoto na watu wote kiujumla niseme kwamba ayo mambo ni nje na mafundisho na Dini ya uislam na unaweza fuatilia ni namna gani mtume aliishi na Jews pamoja na christian kwa uzuri na kwa wema na watu weusi kutoka Africa na namna gani aliwatoa watu kwenye utumwa na kuzifuta taratibu fikra za kitumwa ambazo zilikua ni asili ya watu wa mashariki ya kati, na mabara ya ulayaKimsingi waislamu waishi na dini zingine kwa amani, hakuna anayetaka mfutike maana wenyewe mnajua kwanini mlimfuata huyo muarabu, ila mnapaswa muache kuua wenzenu wasiotaka kumuabudu huyo muarabu, hicho kidogo kimewashinda.
Hebu angalia tukio kama hili, mnachinja maskini wasafiri kisa hawamuabudu huyo muarabu Bus passengers massacred
Kwani wayahudi wameua wapalestina wangapi acha wachinje na waoNilianga video ya mlivyokua mnachinja wayahudi juzi halafu uzingatie maandiko yenu yameamrisha muwachinje, nikaona kweli Israel inapaswa kukaa ngumu bila huruma
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)
Fight fight everywhere
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Hilo sio andiko lenu mkuu. Unataka afuatiliaje zaidi ya kusoma hadithi na kuran kama alivyoandika.Nakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
tuko Gaza au Somalia? mbona una weweseka tena, hata hawa waliambiwa na Mungu wao Yehova kuua wasio waisrael, kwahiyo kunya anye kuku, akinya bata kaharishaKuna lile tukio mliingia kwenye bus na kuanza kuhoji nani aisye muislamu na mnamchinja, hiyo dini bana
Bus passengers massacred
Somali group says non-Muslim passengers shot dead in revenge for Kenyan police raids on Mombasa mosques.www.aljazeera.com
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)
Fight fight everywhere
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Nikiwa kama muislam ambae nachukizwa na izo itikadi za kigaidi kuuwa watoto na watu wote kiujumla niseme kwamba ayo mambo ni nje na mafundisho na Dini ya uislam na unaweza fuatilia ni namna gani mtume aliishi na Jews pamoja na christian kwa uzuri na kwa wema na watu weusi kutoka Africa na namna gani aliwatoa watu kwenye utumwa na kuzifuta taratibu fikra za kitumwa ambazo zilikua ni asili ya watu wa mashariki ya kati, na mabara ya ulaya
Nikwambie kwamba binadamu anapenda kwenda against na mambo anaelekezwa afanye iyo ni nature
Kwaiyo mambo mengi yanayoleta madhara yanayofanyika na baadhi ya vikundi vya waislam ukifuatilia utagundua mtume aliyakataza
Mfano tukifungua huo mlango wa vita za jihadi zilikua ni vita za kujitetea zina maelezo mapana ila kuna mambo yalikatazwa na mtume yasifanyike katika vita:-
-kuuwa watoto wazee na wanawake
- kujiua mwenyewe (muhanga) wazee wa kamikaze
- kuadhibu kwa moto
- kuuwa maadui waliosalimu amri na mengine mengi
Kwaiyo ukiona jitu limejilipua ujue haliko sawa, ukiona jitu limeua binadam mwenzake ujue halipo sawa na mfano wa hayo
Marekebisho, ni shirki kumuabudu muarabu au binadam au malaika katika uislam na ni dhambi kubwa
Na mtume aliwasihi watu wake ya kwamba mbora wenu katika hii dunia ni yule mwenye kufanya ibada kwa wingi na kufanya mambo mema sio muarabu wala mzungu wala muafrica, kwaiyo hakuna anaemuabudu muarabu
Naamini una mambo mengi yakujifunza kabla yakuendelea kuukosoa uislam ili usiingie kwenye kundi la wajinga, dalili moja wapo ya mtu mjinga katika mabishano au huwa anatabia yakushikilia point moja na hawezi kuiachia mpaka pale atakapojiona ameshinda jichunguze apo ni sababu ya watu wengi wanakupuuza
Myahudi kama taifa au myahudi kama dini mkuu?Kwani wayahudi wameua wapalestina wangapi acha wachinje na wao