Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
Boris Johnson wa nchi ya Puertorico.Big stars!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boris Johnson wa nchi ya Puertorico.Big stars!?
Serikali ikianza na PM kwa kuwa ni dagaa hata Papa watashtuka siku zote kama hukatikia pembamba.
Ndio maana juzi kavaa shati la kanga lenye picha ya Mama kumbe!!Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Mwenyekiti na kamati kuu inayo mamlaka ya kuwajadili na kupendekeza majina matatu na lipatikane jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Sasa unategemea mama samia awaguse papaa?
Duh...!.
P
Yaani kwa kaskendo uchwara km hako ndo mbuyu uanguke hampo siriasi nyie
Sukuma gang wanazijua akili zao wenyewe...Sijaelewa bado kingozi mkubwa ni nani huyo!?
Hujasoma hadithi ya Muwa ulizamisha meli wewe. Kaskendo cha kukwepa kodi ni kadogo sababu mmezoea kukwepa kodi.Yaani kwa kaskendo uchwara km hako ndo mbuyu uanguke hampo siriasi nyie
Ukiona hivyo ujue mungu wao kajigeuza kaburiniSukuma gang wameanza tena
Lini Majaliwa alijitoa sukuma Gang….?? Huyu si ndiyo alipewa nafasi ya kuzunguka nchi nzima kwenye kampeni Mwaka 2020.Sukuma gang wanazijua akili zao wenyewe...
Haha hahah hahah kichwa kinamuwasha mapembe yanakaribia kumuotaUkiona hivyo ujue mungu wao kajigeuza kaburini