Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Anko kakoko Wa TPA meno nje now, Mana aliomba apewe japo 10 min afumue mshono kuhusu kanyanga za Namungo FC.
 
wamguse wanuke!, yule ndio amewasitiri maccm kwa wananchi...sasa maccm wajifanye wajuaji wataona watanzania watakavyowafanya. Huyo ndio mfariji wa wananchi baada ya yule bosi wake kutoweka duniani
 
wamguse wanuke!, yule ndio amewasitiri maccm kwa wananchi...sasa maccm wajifanye wajuaji wataona watanzania watakavyowafanya. Huyo ndio mfariji wa wananchi baada ya yule bosi wake kutoweka duniani

Mfariji ameanza kutema ndoano….!!!
 
wameona majaliwa ndie kipenzi cha wananchi sasa hivi na wanamtegemea kushika uongozi wa urais wameona bora watengeneze skendo ya kumchafua na kumfukuza kazi,kama walivyomchafua jpm. watanzania wengi hawana uwelewa wao ni bendera kufuata upepo tu
 
wameona majaliwa ndie kipenzi cha wananchi sasa hivi na wanamtegemea kushika uongozi wa urais wameona bora watengeneze skendo ya kumchafua na kumfukuza kazi,kama walivyomchafua jpm na watanzania wengi hawana uwelewa wao ni bendera kufuata upepo tu
Tusaidie kwanini Mtoto wake alipe wanaharakati kumsafisha Baba yake…?
 
wameona majaliwa ndie kipenzi cha wananchi sasa hivi na wanamtegemea kushika uongozi wa urais wameona bora watengeneze skendo ya kumchafua na kumfukuza kazi,kama walivyomchafua jpm na watanzania wengi hawana uwelewa wao ni bendera kufuata upepo tu
Aibu sana...Mungu hadhihakiwi, njia ya mwovu imejaa giza na utelezi...Kuna jinsi kitanzi kitageuka na kumnyonga Hamani badala ya Modecai,...
 
By the way Hizo ni ndoto za mchana hivi jamani kwa siasa za Sasa za Tanzania zilizojaa anaupiga mwingi,bunge la Tanzania Kuna mtu wa kuibua hoja Kama hiyo na ikaungwa mkono na Nani wakati wanalinda maslahi ya chama Chao.

Any way tuseme mpina ameanzisha je,spika ataruhusu ijadiliwe?
 
Hii ishu ya Mama Mgaya itazika mtu nakwambieni, msiojua biashara swala la vitenge nchi kummmm konyo yaani kuna watu hawataki tuendelee kodi ya makontena ya vitenge ni kama kun wachawi huko TRA ni uchawi sana tunawaambia punguzeni kodi kama zambia, kenya, uganda na kwingine hawasikii. sasa wataona cha mtema kuni. Lazima mzike watu kabla mwaka haujaishi dhuluma dawa yake kaburi la kishindo.
 
Ndio maana juzi kavaa shati la kanga lenye picha ya Mama kumbe!!
Alivaa chalamila
IMG-20221014-WA0046.jpg
 
CCM huwa hawana utaratibu wa kijiuzulu.

Huwa wanangoja upepo upite sababu nyingi watz ni wasahaulifu mapema , watu wa trend, wapenda umbeya na mambo mepesi.

Hajiuzulu mtu

Subiria utaona.
Wanao, alianza Lowasa, Simbachawene aliwahi kujiuzulu kabla jajarudishwa tena kwenye baraza la mawaziri na Magufuli
 
Back
Top Bottom