Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Hao mpaka watafsiriwe katiba na mbelgiji bila hivyo hawafahamu chochoteMtendaji Mkuu wa Serikali?????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mpaka watafsiriwe katiba na mbelgiji bila hivyo hawafahamu chochoteMtendaji Mkuu wa Serikali?????
wamguse wanuke!, yule ndio amewasitiri maccm kwa wananchi...sasa maccm wajifanye wajuaji wataona watanzania watakavyowafanya. Huyo ndio mfariji wa wananchi baada ya yule bosi wake kutoweka duniani
Tusaidie kwanini Mtoto wake alipe wanaharakati kumsafisha Baba yake…?wameona majaliwa ndie kipenzi cha wananchi sasa hivi na wanamtegemea kushika uongozi wa urais wameona bora watengeneze skendo ya kumchafua na kumfukuza kazi,kama walivyomchafua jpm na watanzania wengi hawana uwelewa wao ni bendera kufuata upepo tu
Mkuu PM ni kidagaa?🤔Wakwepaji Kodi wakubwa wanajulikana ila wameachwa wanashikwa vidagaa
Aibu sana...Mungu hadhihakiwi, njia ya mwovu imejaa giza na utelezi...Kuna jinsi kitanzi kitageuka na kumnyonga Hamani badala ya Modecai,...wameona majaliwa ndie kipenzi cha wananchi sasa hivi na wanamtegemea kushika uongozi wa urais wameona bora watengeneze skendo ya kumchafua na kumfukuza kazi,kama walivyomchafua jpm na watanzania wengi hawana uwelewa wao ni bendera kufuata upepo tu
Hapo anaongea ishu ya pmSijaelewa bado kingozi mkubwa ni nani huyo!?
Alivaa chalamila mzeeNdio maana juzi kavaa shati la kanga lenye picha ya Mama kumbe!!
Alivaa chalamilaNdio maana juzi kavaa shati la kanga lenye picha ya Mama kumbe!!
Raisi wa mawe ni mpumbavu tuJamaa analipa ile surprise visit ya BOT bila kumjulisha Rais wa Jamhuri ya Mawe sasa na Yeye kapiga kwenye vitenge[emoji3][emoji2][emoji2]
Wanao, alianza Lowasa, Simbachawene aliwahi kujiuzulu kabla jajarudishwa tena kwenye baraza la mawaziri na MagufuliCCM huwa hawana utaratibu wa kijiuzulu.
Huwa wanangoja upepo upite sababu nyingi watz ni wasahaulifu mapema , watu wa trend, wapenda umbeya na mambo mepesi.
Hajiuzulu mtu
Subiria utaona.
🤣🤣small phoneBado sijaujua uhusiano uliopo kati ya Salome mkwepa Kodi na Tecno kitochi.