acha ujinga wewe, ukabila ongeleeni nyumbani kwenuSukuma gang wameanza tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ujinga wewe, ukabila ongeleeni nyumbani kwenuSukuma gang wameanza tena
MAJALIWA NO KIONGOZI BORA KATIKA SERIKALI ILIYOPO, ACHENI KUMUCHAFUALini Majaliwa alijitoa sukuma Gang….?? Huyu si ndiyo alipewa nafasi ya kuzunguka nchi nzima kwenye kampeni Mwaka 2020.
Sijaona Mtanzania wa kuandamana. Bado sana. Watanzania ninaowajua mimi hata kama anadai haki yake utasikia anaomba msaada asaidiwe kupata haki yake. Hatuko tayari kuipigania haki ila tunasubiri tupewe kama mtoto anavyopewa pipi. Ingekuwa nchi za wenzetu kingeshanuka mapemaSote tuandamane mpaka AJIUZULU
Hii ishu ya Mama Mgaya itazika mtu nakwambieni, msiojua biashara swala la vitenge nchi kummmm konyo yaani kuna watu hawataki tuendelee kodi ya makontena ya vitenge ni kama kun wachawi huko TRA ni uchawi sana tunawaambia punguzeni kodi kama zambia, kenya, uganda na kwingine hawasikii. sasa wataona cha mtema kuni. Lazima mzike watu kabla mwaka haujaishi dhuluma dawa yake kaburi la kishindo.
PM ni dagaa?? Kindly refresh your brain.Serikali ikianza na PM kwa kuwa ni dagaa hata Papa watashtuka siku zote kamba hukatikia pembamba.
Bahati mbaya hatuna bunge huru, ni la kupokea maelekezo kutoka serikaliniTupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.
Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.
Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.
Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.
Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.
Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia wa Mtendaji Mkuu wa serikali kuwa alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi.
Samia na chama kimejaribiwa;
Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.
-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.
Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.
Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Nchini aliyepata kujiuzuru ni Ali Hassan Mwinyi na baadaye akawa Rais wa nchi. !! Na mwingine ni Job Ndungai yeye bado hajawa Rais ! Ngoja tusubiri tuone !!Tupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.
Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.
Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.
Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.
Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.
Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia wa Mtendaji Mkuu wa serikali kuwa alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi.
Samia na chama kimejaribiwa;
Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.
-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.
Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.
Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Na hili nalo litapita- in JK voice. !!CCM huwa hawana utaratibu wa kijiuzulu.
Huwa wanangoja upepo upite sababu nyingi watz ni wasahaulifu mapema , watu wa trend, wapenda umbeya na mambo mepesi.
Hajiuzulu mtu
Subiria utaona.
Si bwana yule muongo Sana yule,husema uongo Hadi madhabahuni yule.Kigogo humuita Diblo Dibala.Sijaelewa bado kingozi mkubwa ni nani huyo!?
Wewe ni kichaaTupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.
Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.
Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.
Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.
Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.
Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia wa Mtendaji Mkuu wa serikali kuwa alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi.
Samia na chama kimejaribiwa;
Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.
-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.
Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.
Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Hata Mimi nipo hapaBado sijaujua uhusiano uliopo kati ya Salome mkwepa Kodi na Tecno kitochi.
Atakua BetinaSijaelewa bado kingozi mkubwa ni nani huyo!?
Na Lowasa akiwa waziri mkuu alijiuzulu kwasababu ya richmondNchini aliyepata kujiuzuru ni Ali Hassan Mwinyi na baadaye akawa Rais wa nchi. !! Na mwingine ni Job Ndungai yeye bado hajawa Rais ! Ngoja tusubiri tuone !!
Watu wanapenda sana Madaraka.Hii nchi hakuna wa kujiuzulu
Hata Mimi nipo hapa