Unafikiri lawama zake za kipuuzi zinaweza kubadili chochote kile??ndio mana nikamshauri jambo LA maana awatafutie watoto wake ugali kuliko kupoteza muda kwa mambo yaliyo juu ya uwezo.Ukishasema raisi, unatakaje watu waachane nae? Hakuna mtu aliyemtuma kuwa rais, hivyo Kama Kuna lawama au pongezi ni haki ya wananchi wote
Nakaziavideo ya mchongo
Nauliza, baada ya kuona video hii, atadiriki kukopa pesa kwa hao kwenye mataasisi yao kukopesha ilihali lengo lao ameshalisikia hapo kwenye video?Embu achana na Rais,fanya mambo yako.watafutie wanao ugali wale basi, Rais embu achana nae tafadhali.
Mambo yake na wajibu wake kama mlipa kodi ni kumfuatilia RaisEmbu achana na Rais,fanya mambo yako.watafutie wanao ugali wale basi, Rais embu achana nae tafadhali.
Aendelee kukusanya kodi, mbona tozo ni nyingi mno?! Why anaingia kwenye mtego ambao umeshadhirika kwenye video hiyo?!Unataka afuate nyayo za nanilii akope halafu aseme ni hela zetu wenyewe🐒
Tozo zinaenda wapi?hakuna mtu anaependa kukopa, ila, unakopa kutokana na shida uliyonayo, tusipokopa miradi itajengwa na nini?
hivi kwa akili yako tozo zinatosha kuendesha nchi? hivi hujui Bajeti ya Tanzania haijawahi kujitosheleza bila ufadhili wa mataifa hisani?Tozo zinaenda wapi?
Kabla ya tozo hizi mpya, nchi ilikuwa inaendeshwa na nini?hivi kwa akili yako tozo zinatosha kuendesha nchi? hivi hujui Bajeti ya Tanzania haijawahi kujitosheleza bila ufadhili wa mataifa hisani?
MY GOSHMama Samiah ana lipi la kutuambia juu ya kauli yake kwamba akipata nafasi ya kukopa atakopa tena. Tumsikilize mwamba akiwafundisha wanafunzi wake, na endapo Rais wetu anaweza kuirudia ile kauli yake juu ya mikopo?
View attachment 2114691
===================================
Update: 15/02/2022
Jiwe aliijaribu akaishia kuitwa shetaniBrother shida ya Africa sio kukopa.
Kukopa hata huku mtaani kunawanaokopa na kutoboa na wapo wanaokopa na kuanguka, mikopo yote huwa na masharti magumu tu, issue ipo kwenye akili ya mkopaji na kichwa chake..
Shida ya Africa na WaAfrica iko kichwani, imeanzia kwenye ubongo, Tatizo hili lipo kwa WaAfrica wote, kuanzia viongozi mpaka raia wa kawaida. Maendeleo yana stages, hakuna shortcut, lazima uzipitie zote na kuzifaulu..ukiruka stage lazima uteseke huko mbele.
Africa tumeruka stages kadhaa huko nyuma ikiwemo moja ambayo ndio muhimu na ndio daraja la transformation ya kila mahala, STAGE YA KUTESEKEKA, KUFA, KUUMIA TUKIJENGA MATAIFA YETU, stage hii WaAfrica hawaitaki lakini ndio stage inayofanya akili ziwe active na watu wake na mentality za kujitegemea.. HAKUNA LAINI LAINI KUYAFIKIA MAENDELEO..
Inasikitisha sanaMY GOSH