Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
This was just a comedy movie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Regardless, kilichosemwa ni ukweli ambao tumekuwa tukiupigia kelele huku kwa miaka mingi!This was just a comedy movie
Yeah! Though ni ukweli ambao hautakuja kufanyika kweli daima dumuRegardless, kilichosemwa ni ukweli ambao tumekuwa tukiupigia kelele huku kwa miaka mingi!
Mama Samiah ana lipi la kutuambia juu ya kauli yake kwamba akipata nafasi ya kukopa atakopa tena. Tumsikilize mwamba akiwafundisha wanafunzi wake, na endapo Rais wetu anaweza kuirudia ile kauli yake juu ya mikopo?
View attachment 2114691
================================
Update: 15/02/2022
================================
Update: 19/02/2022
Rais Samia apata msaada wa fedha jumla ya shilingi trilioni 1.15 toka EU
www.jamiiforums.com
Kuna mengi yanayoendelea duniani behind the scenes usiyoyajua na hutokaa uyajueHuwa nasononeka sana kumuona mtu nnayeamini amesoma akiamini na kuyasadiki mashudu anayoyasoma mtandaoni..Eti familia za kiluminati,mara et zinamiliki dunia,
pole sana brother,ila dunia nnayoishi mimi haimilikiwi na binadamu yoyote yule,labda unayoishi wewe
NI KWELINaungana nae mkono umasikini wetu umesababishwa na sisi wenyewe na sio wao.
Watawala wa kiafrica ndio chanzo cha waafrika kuwa masikini na ndio chanzo cha waafrika kudharaulika.
Unakuta mtu anatumia kodi zetu kudhamini timu ya mpira au kununua mabus.NI KWELI
NGUVU KUBWA INATUMIKA KUKUSANYA MAPATO, NGUVU KUBWA INATUMIKA KUTUMIA HAYO MAPATO!
Mama Samiah ana lipi la kutuambia juu ya kauli yake kwamba akipata nafasi ya kukopa atakopa tena. Tumsikilize mwamba akiwafundisha wanafunzi wake, na endapo Rais wetu anaweza kuirudia ile kauli yake juu ya mikopo?
View attachment 2114691
================================
Update: 15/02/2022
================================
Update: 19/02/2022
Rais Samia apata msaada wa fedha jumla ya shilingi trilioni 1.15 toka EU
www.jamiiforums.com
Hawa viongozi wakiafrika wanaangalia zaidi maslahi yao, kuhusu kulipa si wanajua tupo milioni 50 tutalipaNamuona kama anafakamia kukopa tu bila kujali hiyo mikopo itakuja lipwa vipi na athari zake!
Ameagiza ndege kama sifa bila hata kufanya cost:/benefit analysis!! Ndege zilizopo haziendi hata South Africa na Ulaya kuogopa kukamatwa sababu ya madeni; hizo mpya zitakwenda mwezini?
Mama Samiah ana lipi la kutuambia juu ya kauli yake kwamba akipata nafasi ya kukopa atakopa tena. Tumsikilize mwamba akiwafundisha wanafunzi wake, na endapo Rais wetu anaweza kuirudia ile kauli yake juu ya mikopo?
View attachment 2114691
================================
Update: 15/02/2022
================================
Update: 19/02/2022
Rais Samia apata msaada wa fedha jumla ya shilingi trilioni 1.15 toka EU
www.jamiiforums.com
Nakuunga mkono 100% Mimi ningekuwa Raisi ningewaleta wazungu wakawa washauri wangu na sector zote za serikali wakawa wasimamizi wao leo karne ya ishirini na moja, Maji na umeme hakuna hii ni aibu sana kwa taifa ,Mungu kaipendelea sana Tanzania lakini hatuna viongozi wenye vision ,tuna viongozi wezi tu .Viongozi wa afrika wamefeli ktk uongozi hawana dira ya maendeleo wapo wapo tu.Naungana nae mkono umasikini wetu umesababishwa na sisi wenyewe na sio wao.
Watawala wa kiafrica ndio chanzo cha waafrika kuwa masikini na ndio chanzo cha waafrika kudharaulika.
Mama Samiah ana lipi la kutuambia juu ya kauli yake kwamba akipata nafasi ya kukopa atakopa tena. Tumsikilize mwamba akiwafundisha wanafunzi wake, na endapo Rais wetu anaweza kuirudia ile kauli yake juu ya mikopo?
View attachment 2114691
================================
Update: 15/02/2022
================================
Update: 19/02/2022
Rais Samia apata msaada wa fedha jumla ya shilingi trilioni 1.15 toka EU
www.jamiiforums.com
Tunaagiza vitu vingi mno nje na hatuuzi nje vitu.Pesa inalipa madeni na huduma zote technically ni za nje,Angalia TTCL inavyoshindwa kuteka soko,angalia midola tunayoagiza mafuta nje,wake up call hata mikonge mo ndo anapeleka nje,he is naturally not from us black.Naungana nae mkono umasikini wetu umesababishwa na sisi wenyewe na sio wao.
Watawala wa kiafrica ndio chanzo cha waafrika kuwa masikini na ndio chanzo cha waafrika kudharaulika.