Je, baada ya kuona video hii, Rais Samiah Suluhu anaweza kudiriki kukopa tena pesa nje ya nchi?

Kabla ya tozo hizi mpya, nchi ilikuwa inaendeshwa na nini?

Unamfahamu mtu anaitwa Job Ndugai?

Unafahamu kwamba nusu ya pesa yote inayokusanywa inalipa mikopo na mariba matupu?!
Tuzalishe tuuze nje kwa wingi na bidhaa nyingi tuchakate wenyewe,hivi Masudi Kipanya angejaza zile kilikuu nchi nzima tungeokoa kiasi gani cha mafuta ya magari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…