Je, baba alitutesa au alitufundisha maisha?

Hakuna kudumaa mzee
 
Utafiti maandazi
 
Dharau kwahyo umejua kuwa jamaa ajabukua
 
Na anayetunga pepa maji ndyo anajua?
 
Mimi huwa napenda mother yangu awalee wajukuu zake yaani wanangu kama alivyotulea sisi. Nashangaaga muda mwingine anakuwa anawadekeza, unakuta mtoto anakataa kula ugali anataka viazi anaambiwa amenye na anamenya anapika anakula.
Enzi zetu ukikataa ugali labda unaumwa lakini eti sio sitaki ugali nataka chips! Utakula stiki wewe!
 
Utafiti maandazi
Unaweza kusema hivyo maana ndio jukumu rahisi tunaloliweza. Wenzetu kila tukio hulichunguza na wahusika kuhojiwa. Sisi tunakimbilia kuadhibu!
 
Nyie wa we junior wee ndo mnatuharibia taifa sasa napo kuna unyanyasaji gani
Watanzania wengi kama wewe hawana nuance, to them, it's all or nothing.

Yani katika mawazo yako ni kwamba nikikataa ukatili kwa watoto basi lazima nitakuwa mzazi mdekezaji.

Huwezi kuelewa kwamba naweza kukataa ukatili kwa watoto na udekezaji pia.

Huna nuance.

Hujui kiasi.

Ni aina fulani ya uvivu wa kufikiri.
 
Pitia huu uzi wa mpumbavu utajua kama mzee wenu aliwatesa au la; Ushauri: Lecturer ananitaka kimapenzi, ananitishia yeye ndio mwenye hatma ya matokeo yangu
 
Sikupingi mkuu nimekulewa Sana
 
Kuna muda home kuwa jeshi inasaidia
Watoto wanatakiwa kuwa na majukumu sio mlendamlenda tu unakuta watoto wapo hata kufyeka nyasi hawawez
Ni kweri kabisa mtoto lazima ajue na haweze kufanya Kaz ndogo ndog za home
 
Hii ilikuwa njia mzuri sana kumjenga na kumiimarisha mtoto anakuwa mwepesi kuchakata mambo hata alikutana na changamoto ukubwani..mtoto ajifunze kuwajibika kwa kufanya shughuli za nyumbani zinazomzunguka,inafikirisha toto linazaidi ya miaka 18 nyasi zimejaa uwanjani halijishighulishi kupalia wala kufyeka hill ni bomu zaidi ya nyuklia unafuga,hata ktk maisha ya kawaida huyo kijana hawezi kuwa soln ya matatizo,,kuna baadhi ya mwanachuo wanakera sana tena usiombe aje kufanyia field kwako analala naamka 2 hajishughulishi kwa chochote hata kufagia au kufanya shughuli yyte nyumbani anaondoka tu anasubiri aambiwe Aseme anateswa kwa kazi ambazo hata angekuwa kwao angezifanya..mzee.wako alikuwa sawa kabisa mkuu ,vijana wa sasa ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…