Je, baba alitutesa au alitufundisha maisha?

Je, baba alitutesa au alitufundisha maisha?

Hii ilikuwa njia mzuri sana kumjenga na kumiimarisha mtoto anakuwa mwepesi kuchakata mambo hata alikutana na changamoto ukubwani..mtoto ajifunze kuwajibika kwa kufanya shughuli za nyumbani zinazomzunguka,inafikirisha toto linazaidi ya miaka 18 nyasi zimejaa uwanjani halijishighulishi kupalia wala kufyeka hill ni bomu zaidi ya nyuklia unafuga,hata ktk maisha ya kawaida huyo kijana hawezi kuwa soln ya matatizo,,kuna baadhi ya mwanachuo wanakera sana tena usiombe aje kufanyia field kwako analala naamka 2 hajishughulishi kwa chochote hata kufagia au kufanya shughuli yyte nyumbani anaondoka tu anasubiri aambiwe Aseme anateswa kwa kazi ambazo hata angekuwa kwao angezifanya..mzee.wako alikuwa sawa kabisa mkuu ,vijana wa sasa ni shida
Yaan kuna wadada niliwakuta zahanat mpya bush wapo field,nyasi mpaka mlangon wanadai hyo kaz ya wanakijij
 
Kila.mmoja na aina yake ya malezi lkn kwangu mm wanangu kazi za nyumbani wanafanya haijalishi kuna dada wa kazi lazima wajue na wafanye..
Yaan kuna wadada niliwakuta zahanat mpya bush wapo field,nyasi mpaka mlangon wanadai hyo kaz ya wanakijij
Ni sheeda kweli hawajui kwamba aibu inawapata wao wamependeza lkn wanakaa pachafu
 
nimezisoma comment nyingi humu ndani nikagundua wengi wanaotetea ushoga ndio wanaomlaumu huyo mzee kuwa aliwatesa ila kiukweli aliwafundisha maisha, huyo baba yako hana tofauti na baba yangu kiukweli nilikuwa namchukia sana mzee wangu kuna tabia nilikuwa nazo ila kupitia mkono wake alininyoosha mno ila kwasasa namshukuru sana bila yeye leo hii ningekuwa navuta sigara na bangi alinipa kipigo kitakatifu sana mpaka nikanyooka kabisa
 
nimezisoma comment nyingi humu ndani nikagundua wengi wanaotetea ushoga ndio wanaomlaumu huyo mzee kuwa aliwatesa ila kiukweli aliwafundisha maisha, huyo baba yako hana tofauti na baba yangu kiukweli nilikuwa namchukia sana mzee wangu kuna tabia nilikuwa nazo ila kupitia mkono wake alininyoosha mno ila kwasasa namshukuru sana bila yeye leo hii ningekuwa navuta sigara na bangi alinipa kipigo kitakatifu sana mpaka nikanyooka kabisa
Sahihi mkuu nimekulewa Sana
Respect Sana kwao kwa malezi yao
 
Back
Top Bottom