Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,054
- 4,604
Duh basi wewe upo nyuma yetu sana kama >Filbert alikua gombera wakoAlikuwa Gambera wangu huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh basi wewe upo nyuma yetu sana kama >Filbert alikua gombera wakoAlikuwa Gambera wangu huyo.
Kwani papa Ni MUNGU? Nae si binadamu tu
Ungemwuliza Padre wenu yuko sweden atakuwa na jibu zuriNauliza tu wadau kama baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea ubunge.
Kwa mfano baba askofu Ruwaich anaweza kugombea ubunge jimbo la Ilala?
Maendeleo hayana vyama!
Hakuna Padre hapa Tanzania ambaye alikuwa mbunge halafu aliendelea kutoa huduma kama Padre japo anaendelea kuwa Padre, kwa sababu tu Upadre ni sakramenti isiyofutika. Upadre unaweza kufutika ebdapo tu kama kurakywa na nullification.Labda kama kuna kanuni/sheria mpya za kanisa Katoliki, Nakumbuka marehemu Padri Severino Supa wa kanisa la Katoliki jimbo la Dodoma, alikuwa mbunge machachari wa TANU mwaka 1975 - 1980, lakini dhahama ilimkuta katika uchaguzi wa mwaka 1980 ambapo aliangushwa na Mchungaji Simon Chiwanga wa kanisa la Anglican, lakini alipambana vilivyo mahakamani akitetewa na wakili marehemu Chambakali, na mwaka 1982 Hukumu ya Judge Marehemu Rukagikingira ikamvua ubunge Chiwanga aliyekuwa akitetewa na wakili Marehemu Mbezi, na uchaguzi uliporudiwa mwaka 1983, Padre Severino Supa akarejea kwenye ubunge wake. Kumbukumbu zangu zinaonyesha kipindi chote Padre Supa alikuwa akiendelea na upadre.