Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

Hakuna mtu anayeandaliwa kuwa Askofu bali anaandaliwa kuwa Padre. Na Padre yeyote anaweza kuwa Askofu. Kitu msichokijua ni kwamba hata Pope Francis hana tofauti na padre yeyote bali kile ni cheo kilichowekwa na kanisa. Kuna siku vijana waliobadili dini kutoka uislamu kwenda Ukatoliki walimuuliza padre mmoja anaitwa Padre Peter Morgan, ni paroko wa parokia mmoja Liverpool, kwamba nini tofauti ya yeye na Francis Papa. Akawaambia kwanza wote ni mapadre ila mmoja ni kiongozi wa ngazi ya juu. Hivyo hilo swala la kwamba wanaandaliwa wakiwa wadogo kuwa maaskofu ni uongo wa hali ya juu na uliotukuka.

Maaskofu wanapendekezwa na kwa tabia zao, majina matatu yanapelekwa kwa Pope yeye analichagua moja na kurudisha kwa waliolipeleka na hivyo kuwa Askofu Mteule kabla hajawekwa wakfu. Askofu Filbert Mhasi kwa mfano wa jimbo la Masasi, nilikua naye Seminarini kabla sijaacha na alikua nyuma yangu madarasa manne na nilikua kiranja wake na mpaka anateuliwa hakujua kabisa kama angekuwa Askofu. Hata alipopigiwa simu na mjumbe wa Baba mtakatifu hakujua kwanini alipigiwa simu.

Jaribuni kuandika vitu mnavyovijua ama fanyeni utafiti kabla hamujawadanganya watu hapa kwenye Forums
Ulisoma St. Francis , Kasita Seminary , Yerusalem Mji wa Amani ?
 
Watu sijui kwanini tumeumbwa na kutoridhika. Huyu jamaa angejua angebaki na uchungaji kondoo wake tu mambo ya siasa angeyaacha tu au kama anahisi ni lazima kufanya siasa basi angekuwa low profile. Yale madudu yake ya mapicha ya uchi yatachokonolewa upyaaaaaaaaaaaa yaani. Kama alifanikiwa kuyazima kipindi kile ajiandae kwa maushahidi mapya sasa hivi.

Sijui ubunge unakuwaga na nini sijui, huyu mbona ameshafanikiwa tu hadi hapo alipo, anahisi akiwa mbunge atakuwa na pesa kuliko sasa? Au umashuhuri wake utaongezeka? Mbona ameshapiga bao sana tu hapo alipo.
Toka Ile video yake ya ngono waumini walimkimjia na sadaka imekata
 
Kanisa Katoliki ni taasisi kubwa na ndiko waliko maaskofu. Daraja la uaskofu ndani ya kanisa hilo ni kubwa mno. Si rahisi kwa askofu wa kikatoliki kuhangaika na Ubunge hata kama amestaafu. Na zaidi haiwezekani kwa askofu aliyeko madarakani kugombea ubunge kwanza atapata wapi muda? Viongozi hawa huwa na ratiba tite mno ya majukumu ya kikanisa. Hawa wengine wa kuamka na kujitanga mwenyewe kuwa ni askofu hawana tofauti na rais aliyeingia madarakani kijeshi maana naye hujitangaza mwenyewe!!!
In short hata kifedha. Askofu huwezi kumfananisha na mbunge.
 
Tunduru Masasi ndiyo kwani vipi? Huyu wa kulia

1594076525560.png
 
Kama kuna Kanisa lenye Watu very Intelligent and Intellectuals duniani ni la Katoliki. Hawana wala hawatokuwa na huu Upumbavu wa wengineo.
Upo very true.Kwa kuongezea ni kwamba kanisa katoliki ndilo linalo regulate masuala ya kisiasa na kiuchumi kwa weledi wa hali ya juu bila kuonekana hivi physically
 
All over the world mkuu ! soma chimbuko la JESUITS ndani ya kanisa katoliki.Jesuits are there for special and unique invisible mission.Haya mambo ni ngumu kuelezea lakini mkuu trust me,Im not here to mislead you but merely to make you to be aware of things that are operating beyond human reasons,ni hivyo mkuu
Hilo wazo lako lina work kwa Tanzania tu au hata nchi nyingine ?
 
All over the world mkuu ! soma chimbuko la JESUITS ndani ya kanisa katoliki.Jesuits are there for special and unique invisible mission.Haya mambo ni ngumu kuelezea lakini mkuu trust me,Im not here to mislead you but merely to make you to be aware of things that are operating beyond human reasons,ni hivyo mkuu
Unaweza kuitumia Marekani kama case study katika kuielezea hiyo program ya church control in world politics ?
 
Naweza kuitumia Marekani kama case study BUT the gist here is that the Roman Catholic Church ina special place in terms of INFLUENCE and SHAPING the world at large
Unaweza kuitumia Marekani kama case study katika kuielezea hiyo program ya church control in world politics ?
 
Watu sijui kwanini tumeumbwa na kutoridhika. Huyu jamaa angejua angebaki na uchungaji kondoo wake tu mambo ya siasa angeyaacha tu au kama anahisi ni lazima kufanya siasa basi angekuwa low profile. Yale madudu yake ya mapicha ya uchi yatachokonolewa upyaaaaaaaaaaaa yaani. Kama alifanikiwa kuyazima kipindi kile ajiandae kwa maushahidi mapya sasa hivi.

Sijui ubunge unakuwaga na nini sijui, huyu mbona ameshafanikiwa tu hadi hapo alipo, anahisi akiwa mbunge atakuwa na pesa kuliko sasa? Au umashuhuri wake utaongezeka? Mbona ameshapiga bao sana tu hapo alipo.
Mkuu kuna kitu kinaitwa Moslow's hierarchy of needs!! Ngazi ya juu kabisa ya mtu kulizika inaitwa "SELF ACTUALIZATION" ipo kwny fundi la growth needs ambalo linasema hivi "Growth needs do not stem from a lack of something, but rather from a desire to grow as a person. Once these growth needs have been reasonably satisfied, one may be able to reach the highest level called self-actualization."
Binafsi sidhan kama Lowasa aligombea uraisi 2015 kwaajili ya kutafuta pesa na siamini kama Gwajima kuingia kwenye siasa nae anatafuta pesa bali ni SELF ACTUALIZATION.
 
Tafuteni kwanza ufalme wa mbingu na mengine yote mtapewa kwa ziada
 
Mbona hamubatizi kwa maji mengi kama ambavyo petro alifanya?
Kwanijuavyo kanisa katoliki linachukulia maji Kama ishara haijalishi uwingi au eneo yalipo.
Kanisa linaruhusu ubatizo uwe wa maji mengi au machache kwa kuamini tendo la ubatizo linatendeka rohoni na nnje zinabaki ishara Za wazi.
Kwamba Kama Sehemu hakuna mto basi watu wasibatizwe?
Ubatizo katika hatari ya kufa unaweza kufanyika na muumini yoyote kikubwa ni imani ya mbatizwa.
Sacrament inategemea zaidi mpokeaji sio mtoaji wala mazingira wala vifaa vilivyotumika.
 
Kwanijuavyo kanisa katoliki linachukulia maji Kama ishara haijalishi uwingi au eneo yalipo.
Kanisa linaruhusu ubatizo uwe wa maji mengi au machache kwa kuamini tendo la ubatizo linatendeka rohoni na nnje zinabaki ishara Za wazi.
Kwamba Kama Sehemu hakuna mto basi watu wasibatizwe?
Ubatizo katika hatari ya kufa unaweza kufanyika na muumini yoyote kikubwa ni imani ya mbatizwa.
Sacrament inategemea zaidi mpokeaji sio mtoaji wala mazingira wala vifaa vilivyotumika.
Yohana 3:5 Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.)

Hilo fungu Yesu anatoa Amri ya kwamba mtu asipozaliwa kwa maji hawezi kuingia Ufalme wa Mungu
 
Back
Top Bottom