Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Wakuu, habari za leo, natumai Jumapili iko poa kwenu,
Kama kichwa kinavyosema, je, baraka za Mungu tuzihesabu kupitia mafanikio yetu ya kimwili kama pesa, majumba, magari ya kifahari, mke mrembo, simu kali na mengine mengi au kuna namna nyingine anaweza kuwa anatubariki ila sisi hatujui?
Kwa nini nasema hivi? Nimeona mara nyingi watu tukipitia changamoto tunahisi labda tumemkwaza Mungu kwa namna fulani na tunaanza kuhisi wale ambao mambo yanawaendea vema basi Mungu anawapa favour, sijui ninyi mnaonaje?
Karibuni tujadili hili.
Kama kichwa kinavyosema, je, baraka za Mungu tuzihesabu kupitia mafanikio yetu ya kimwili kama pesa, majumba, magari ya kifahari, mke mrembo, simu kali na mengine mengi au kuna namna nyingine anaweza kuwa anatubariki ila sisi hatujui?
Kwa nini nasema hivi? Nimeona mara nyingi watu tukipitia changamoto tunahisi labda tumemkwaza Mungu kwa namna fulani na tunaanza kuhisi wale ambao mambo yanawaendea vema basi Mungu anawapa favour, sijui ninyi mnaonaje?
Karibuni tujadili hili.