Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Hivi tuna nini special ambacho CIA wanakitaka
Sidi tuna tofauti gani na zambia na nchi zilizotuzunguka?
Wabongo tunajimwambafai sana awamu hii wakati hapa daslam watu bado "wanakata gogo" kwenye vyoo vya shimo
kuna husiana nini na hii mada, mambo ya magogo
 
Mleta uzi na wanaokusapoti mnasikitisha na kutilia huruma sana
 
Hivi tuna nini special ambacho CIA wanakitaka
Sidi tuna tofauti gani na zambia na nchi zilizotuzunguka?
Wabongo tunajimwambafai sana awamu hii wakati hapa daslam watu bado "wanakata gogo" kwenye vyoo vya shimo
vipo vingi tu ambavyo ni special wanavihitaji sana
 
Hizi era zimepita mkuu
 
Hana lolote anatafuta warembo wa kibongo tu, unajua ki ulaya ulaya yule ni babu sana hata kupata demu ni shida hapo anatafuta MTU wa future nae.tu halafu mu ingereza ni mchumi bahili vibaya sana sasa mabinti wa kibongo wakiingia wanaliwa wanatemwa hawapati kitu.

Keshaachana na wazaramo watatu mpaka sasa yaani pale anafukuzia uraia ili apate shamba njombe huko akajifiche si unajua wazungu wengi Waingereza wamejificha Arusha na Moshi wamezuia mashamba ya alizeti wameoa vibinti vya kibongo yaani nusu yupo uingereza nusu Africa hela anaficha kwao watoto kwao hapa anabaki na bajeti za week week tu, Muingereza ni kichwa sana.
 
Lavan Island,
hahahaha daah noma sana, nasisi tukihitaji kubandua madada zao tunafanyaje Mkuu?
 
Usisahau waliopiga kelele biashara ya utumwa ikakomeshwa ni baadhi ya Wazungu hao hao. Rejea upya matumizi ya neno "HAKUNA".
Pia ukumbuke hawakusema utumwa ukomeshwe kwa sababu ni jambo baya,bali tayari biashara ya utumwa iliingvia dosari baada ya maeendeelo ya viwanda kuanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…