kuna husiana nini na hii mada, mambo ya magogoHivi tuna nini special ambacho CIA wanakitaka
Sidi tuna tofauti gani na zambia na nchi zilizotuzunguka?
Wabongo tunajimwambafai sana awamu hii wakati hapa daslam watu bado "wanakata gogo" kwenye vyoo vya shimo
Akili yako ikikua utaelewakuna husiana nini na hii mada, mambo ya magogo
vipo vingi tu ambavyo ni special wanavihitaji sanaHivi tuna nini special ambacho CIA wanakitaka
Sidi tuna tofauti gani na zambia na nchi zilizotuzunguka?
Wabongo tunajimwambafai sana awamu hii wakati hapa daslam watu bado "wanakata gogo" kwenye vyoo vya shimo
Yaa jamaa ameuliza swali fikirishi Ila anajibiwa kejeli wapelelezi hawanaga mbinu moja
[/QUOTanaAnapeleleza nini ? Wabongo bwana , majungu mengi
Hizi era zimepita mkuuasante mkuu, japo naonekana zwazwa ila mimi najiuliza sana,hawa watu wanamambo yao mengi sana kama kina Carl peters waliweza kufika na kupeleka taarifa tukaja kutawaliwa why sio hawa wa sasa,
kuna mzungu mwanamke alishawahi kukaa maeneo ya Malagarasi muyovosi, polini akitoa msaada Maliasili kuhifadhi Ardhi Oevu, alikaa kwa miaka kadhaa baadae akasepa na mambo yake wenzake walikuwa wanakuja na ndege straight mpaka eneo moja linaitwa Urambo then wanaelekea kule ambako kuna mambo yao yaliachwa muda mrefu sana,
any way, watakaonipinga waendelee
Pia ukumbuke hawakusema utumwa ukomeshwe kwa sababu ni jambo baya,bali tayari biashara ya utumwa iliingvia dosari baada ya maeendeelo ya viwanda kuanza.Usisahau waliopiga kelele biashara ya utumwa ikakomeshwa ni baadhi ya Wazungu hao hao. Rejea upya matumizi ya neno "HAKUNA".
Fuga rastahahahaha daah noma sana, nasisi tukihitaji kubandua madada zao tunafanyaje mkuu..?