Maktaba nitakuta kitabu kimeandikwa Kuhusu Bongozozoo?? Acha ujinga wewe hakuna mzungu atapotezaa muda kuwazuga wabongo kuwa anawaspy kwa kwenda uwanjani na kupiga kelele insta... Nchi yenyewe hii ya kiboyaa data gani wazungu waitake wasipate mpaka waanzs kupoteza mudaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
U spy ni Data huandikwa au hukusanywa ,hata kwenye makanisa na dini umo,michezo ndo kwao,na kwenye biashara na uchumi,kilimo,na kila nyanja inayoweza kuzisaidia nchi kumanage mwenendo kwa maslahi fulani kwa wakati fulani,ilimradi hata Ushawishi wa mtu unahitajika umaarufu na kukubalika ili baadae alete malengo makubwa au kutowa taarifa tuu katika secta ile,
nyinyi mnamuona punguani,lakini yeye anaweza tumika bila ya hata kujijua,na pengine hata hakutumwa,ila imetokea tuu kawa nafasi fulani watu wa kazi zao wakavuna taarifa fulani nyeti.
Jitambueni,IQ ni jambo muhimu
Mleta uzi ameona musipo ona nyinyi,
Leo hii Trump ameshtakiwa kwa Kuwsiliana na Kiongozi wa Ukraine ili kujinufaisha kisiasa.
Mpinzaniwake alikuwa anafanya Biashara ya silaha ,yeye akazizuia dhidi ya urusi.
na na na na na na ..............................................
wake Up open ur eyes