Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Kwa mantiki ya mleta mada hata Richard Mabala naye ni spy.
 
mkorinto,
Clip za kuhamasisha utalii na uwekezaji kwenye sekta nyingine? Hapo ni control ya hadhira yake, upopulist wa kuishabikia Tanzania iwe kubwa huko kwao, ndogo hapa home.

Asiwe popular Sana hapa home, anaweza sepa na kijiji siku moja hypotheticaly (mfano) kama aki organize kitu online anaweza kubeba umati wa kutosha.
 
Negativity at its best. Yaani mtu kuishabikia timu yetu ya taifa akiwa na rangi tofauti na ya kwetu imekuwa tatizo mpaka tudhanie ana nia ovu na nchi yetu? Somo kubwa toka kwake ni kuwa tujifunze uzalendo na tuthamini vyetu hata kama havina hadhi kubwa. Haya ndio masomo makubwa najifunza toka kwake.

Mtoa uzi nadhan kauliza au kaweka hoja yake sidhani kama amefanya general conclusion. Amejarib kuibua hisia zake tu. Kwanini aanze kushabikia leo wakati taifa stars imeanza kucheza kitambo sana. Kama ni mapenzi na nchi vipi yameanza leo huko nyuma wakati anaishi alikua hapendi?
 
Kwa kuongeza

Juzi nilimsikia akisema amesomea Uchumi wa nchi za Africa na Amerika Kusini, yaani nchi Maskini duniani.

Jamaa anaonekana anatujua kuliko sisi tunavyojijua na ndio maana anakwenda na sisi sambamba.
 
Who made Bongozozo famous?

Yeye mwenyewe au media zetu; huyo mtu kaibuka baada ya kukutwa huko uwanjani akiwa ameenda kushabikia Tanzania kwa mapenzi yake na kuanza kupewa publicity na media zetu.

Bongozozo hana tofauti na Dr Shika ni watu wanaotengenezwa na media.

Kinyago mkichonge wenyewe halafu kianze kuwatisha.

Sometimes take things at face value watanzania ni watu ambao wana overthink kila kitu.
 
Mtoa uzi nadhan kauliza au kaweka hoja yake sidhani kama amefanya general conclusion. Amejarib kuibua hisia zke tu. Kwanini aanze kushabikia leo wakati taifa stars imeanza kucheza kitambo sana. Kama ni mapenz na nchi vp yameanza leo huko nyuma wakat anaish alikua hapendi?
Umeanza kumuona kuanzia lini akishabikia timu yetu? Uwanja kawaida unakuwa na watu wengi sana. Ni vigumu kwa kamera kumulika watu wote uwanjani. Kuna uwezekano alikuwa anakuwepo uwanjani Ila kamera hazikuweza kummulika ndio maana hatukuweza kumuona kabla. Kuna uwezekano pia aliona timu yetu inakosa hamasa na ndio maana anatumia uwezo wake kutuamasisha.
 
Ata mimi ninamashaka nae ! Lakin TISS wapo watalifanyia kazi au washalifanyia kazi wamemuona ana jambo
 
Mtoa uzi nadhan kauliza au kaweka hoja yake sidhani kama amefanya general conclusion. Amejarib kuibua hisia zke tu. Kwanini aanze kushabikia leo wakati taifa stars imeanza kucheza kitambo sana. Kama ni mapenz na nchi vp yameanza leo huko nyuma wakat anaish alikua hapendi?
watu wanavyocomment seems like mimi tayari nimeconclude kila kitu, wakati uzi unajieleza kabisa
 
That's according to your point of view mkuu i know this guy he loves attention toka zamani baada ya instagram ndo watu wengi wamemjua ila Iringa wengi wanamjua
Sibishi unachokisema. Ila natoa tu angalizo. Inahitaji uwe kidogo una uelewa wa ujasusi ni nini katika sovereignty na dunia ya ujasusi inavyoenda ili uweze kuelewa concern ya watu wanaomtilia shaka Bongozozo. Ni vizuri tu vyombo vya usalama vikamfanyia vetting maana hakuna kitakachoharibika.

Akikutwa yupo clean hakuna kilichoharibika. Akikutwa na kuna mambo yasiyoeleweka, watajua jisni ya kudeal naye. Katika ulimwengu wa ujasusi, mtu anakuwa recruited kutokana na sifa fulani hasa kwenye missions special. Umesema kwamba anapenda attention, inaweza ikawa ni moja ya vigezo recruiters wake wamevitumia.

Sifa kubwa ya jasusi ni uwezo wa kufanya infiltration bila ya kujenga mashaka. Narudia tena, Bongozozo si wa kumbeza. Lazima vyombo vya ulinzi na usalama vijiridhishe. Kujenga ukaribu na mawaziri au viongozi bila ya kuwa vetted ni hatari kwa usalama wa taifa. Usalama uhatarishwa hasa pale michakato ya utungaji sera inapokuwa compromised.
 
Humu ndani kuna watu wavivu wakufikiri
Baada ya miaka kadhaa watu watasoma vitabu vya huyu jamaa
Na kazi yake itakua imekamilika pamoja nakupenda Taifa Star's nakuoa machame ila kuna issue behind
hahahaha umenifurahisha sana, kuna mtaala utatungwa maalumu kwa ajili yake ili vitukuu viusome
 
Nini kimekufanya umuhisi hivyo kuwa ni CIA au Mpelelezi?
 
Nini kimekufanya umuhisi hivyo kuwa ni CIA au Mpelelezi?
Muanzisha thread anazo instincts za kijasusi kama wengi wanaomtlia shaka Bongozozo. Tunaita sense ya sita-- uwezo wa kuconnect dots pale ambapo wengi hawaoni hizo dots.

Kwa kusema hivyo ni ngumu sana akakuelezea ukamuelewa kama huna hiyo karama. Wenye hiyo karama tumeshamuelewa. Ndiyo maana ujasusi ni taaluma inayohitaji akili nyingi.

Uzipokuwa na hizo akili za kuunganisha matukio kwa haraka huwezi kuwa jasusi mzuri. The fact kwamba wewe bado hujaona picha kubwa hufai kuambiwa details.

Waachie mada majasusi.😀😀😀😀😀
 
Shukrani sana mkuu kwa hii umeandika ujue mtu kama huyu kwenye Nchi zilizopitia machafuko hawezi kukubalika kibwege kama huku kwetu lazima vyombo vya usalama vingedili nae sasa huku kwetu ujingani watu wanapiga mbinja bila kuutafuta ukweli anyway tunasafari ndefu sana Freelancer,
 
naweza kuwa mtu clean lakini haiondoi ukweli wakufuatiliwa na kujiridhisha kama hana shida
Humu ndani kuna watu wavivu wakufikiri
Baada ya miaka kadhaa watu watasoma vitabu vya huyu jamaa
Na kazi yake itakua imekamilika pamoja nakupenda Taifa Star's nakuoa machame ila kuna issue behind
 
rikiboy,
Tatizo unajadilli vitu kwa hisia za kisiasa. Huwazi watu wanaohakikisha upo salama na pumbu zako. Unadhani mambo yanatokea by default. Hivi unadhani hao Rwanda, Burundi, Congo DRC, Somalia, Kenya-Alshababu walikosa nini ambacho sisi tunacho?
 
Back
Top Bottom