Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Kaoa Marangu? (Sina uhakika). FIFA, nchi yake nao wana mapenzi naye? Kama ni ndio kuna walakini kama ni hapana basi sawa. Anaweza kuwa mpenzi wa Tanzania tu au mdangaji wa kiuchumi au kisiasa kwa niaba ya wazee wake.
 
Kaoa Marangu? (Sina uhakika). FIFA, nchi yake nao wana mapenzi naye? Kama ni ndio kuna walakini kama ni hapana basi sawa. Anaweza kuwa mpenzi wa Tanzania tu au mdangaji wa kiuchumi au kisiasa kwa niaba ya wazee wake.
umezungumza ya maana
 
Tatizo la Jf kwa sass kila mtu anaona ni lazima achangie mada... Uzi unaweza ukauelewa tofaut na kutokuelewa... [emoji3][emoji3][emoji3] ukimya hauna hasara
 
Wabongo mmekuwa watu wa ovyooo sanaa sanaaa...!! Huyu jamaa anajitolea kuja kushangilia timu ya taifa sababu kamuoa mdada wa Kitz lakini nyie kwa kujikuta mnajua sana eti mnaanza kufikiria jamaa ni spy...[emoji23][emoji23][emoji23] Nyie ndo mkiona mtu kavaa suti kila siku ana maisha mazuri mnakimbilia kusema ni afisa usalama..!!
Siku unapewa talaka isiyoumiza ndio utaelewa ujasusi ni maisha ya kila siku. Ukae na mkeo ndani kwa ndoa ya halali ila vitanda tofauti kwa miaka kadhaa[emoji23][emoji23]

Taifa linajengwa na familia imara. Cultural change ipo kwenye ujasusi. Unavuruga generation fulani. Ni project ambayo inaweza kuchukua muda..ila impact yake ni shida.

NB; Haya hayahusiani na mada hii.
 
Siku unapewa talaka isiyoumiza ndio utaelewa ujasusi ni maisha ya kila siku. Ukae na mkeo ndani kwa ndoa ya halali ila vitanda tofauti kwa miaka kadhaa[emoji23][emoji23]

Taifa linajengwa na familia imara. Cultural change ipo kwenye ujasusi. Unavuruga generation fulani. Ni project ambayo inaweza kuchukua muda..ila impact yake ni shida.

NB; Haya hayahusiani na mada hii.
hahaha nimekuelewa
 
Siku unapewa talaka isiyoumiza ndio utaelewa ujasusi ni maisha ya kila siku. Ukae na mkeo ndani kwa ndoa ya halali ila vitanda tofauti kwa miaka kadhaa[emoji23][emoji23]

Taifa linajengwa na familia imara. Cultural change ipo kwenye ujasusi. Unavuruga generation fulani. Ni project ambayo inaweza kuchukua muda..ila impact yake ni shida.

NB; Haya hayahusiani na mada hii.
Wazungu wanaweza kuanzisha project Leo ila matokeo yakatokea miaka 100 ijayo [emoji41][emoji41]
 
fala ni yupi, mbona unapaniki, na uzwazwa wako wa kufikiri bado ni mdogo sana
Humu JF sijaona mtu kilaza kama rikiboy anahisi zile thread zake za kipuuzi zinazochangiwa sana ambazo wala sio constructive yeye ndio anaandika vitu vya maana, kumbe ni akili ya kuvukia barabara. Brother kama ulivyoshauliwa awali, rudi maktaba kaongeze maarifa, bado sana hautoshi kuwa humu.
 
Humu JF sijaona mtu kilaza kama rikiboy anahisi zile thread zake za kipuuzi zinazochangiwa sana ambazo wala sio constructive yeye ndio anaandika vitu vya maana, kumbe ni akili ya kuvukia barabara. Brother kama ulivyoshauliwa awali, rudi maktaba kaongeze maarifa, bado sana hautoshi kuwa humu.
huyo jamaa shida sana
 
huyo rikiboy ni mropokaji tuu, mjinga asipo elimika mpuuzeni , haina haja ya kulumbana nae, fanyen kama hamzioni comments zake labda atajiffikiria vizur..
 
Undercover unafikiri wanajiexpose hivyo.. Kujiweka mbele ya makamera kiasi hicho.. Jamaa yule yuko real sana na kuishi kwake TZ muda mrefu kunaonekana katika namna anavyozungumza kiswahili fasaha na ndiyo maana pia kawa na mapenzi na TZ. Mbona yuko wazi sana katika hili!! Sema tu kuna nati kama zimekata.
😀😛😛😛😛😛eti nati zimekata
 
kina Vasco Da Gama walifukuzia michongo kwa muda gani..? mpaka Babu yako akauzwa kama mtumwa
Babu yangu yupi? si ningekuwa black American ssaiv.. anyway kila mtu ana haki ya kusema na kufikiri kile anachoona ni sahihi lla kama nikuiexploit nchi yetu hiyo kazi sasahv inafanywa na viongozi wetu wenyewe no need at all to use secret agents
 
Hivi tuna nini special ambacho CIA wanakitaka
Sidi tuna tofauti gani na zambia na nchi zilizotuzunguka?
Wabongo tunajimwambafai sana awamu hii wakati hapa daslam watu bado "wanakata gogo" kwenye vyoo vya shimo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani wee jamaaa ni fwalaa kabisa...uniulize mimi tena???? Kwani mimi ndo najiuliza maswali ya kipuuzi kama wew
matusi yako yanajidhihirisha wewe ni mtu wa aina gani, kila la heri endelea
 
Hivi tuna nini special ambacho CIA wanakitaka
Sidi tuna tofauti gani na zambia na nchi zilizotuzunguka?
Wabongo tunajimwambafai sana awamu hii wakati hapa daslam watu bado "wanakata gogo" kwenye vyoo vya shimo
sijakuelewa bado ulikuwa unataka kuzungumza nini au kuwasilisha nini
 
Back
Top Bottom