Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Jamani tuache uoga.Kabla sisi hatuendi AFcon hata sisi tulikuwa na timu zetu.Wengine walikuwa Nigeria,wengine Ghana,wengine senegal,cote d'voire,Misri,Tunisia N.k.Na watu walipenda hasa hizi timu.Fikilia watu wanaita timu yao bafanabafana au chipolopolo.Je,na Wazambia walipaswa wajiulize mapenzi ya Watz kwa timu yao ya taifa yanatoka wapi?

Mabeberu wabamiliki kila kitu kwa sasa satelait inaweza kupiga picha yoyote hapa bongo kama watahisi hatari kwao.Wana maundercover wabongo wengi ambao wanawainform kila linaloendelea wala hawana haja ya kuwatuma akina Bongozozo.
 
Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.

Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?

Mshana Jr Yericko Nyerere wakubwa mnaweza mkazungumza chochote kwa mtazamo wenu
Bongozozo ndio anamtafuna SUzzy Bernad wa EATV?
 
Waafrika mna shida sana

Mpaka kwenye bio yenu mnatangaza sijui Manchester damu mara Liverpool forever ooh Arsenal mpaka kaburini

Wengine mpaka mnajitoa uhai walishindwa game, mnavaa jerseys zao mnaziweka kwenye magari, nyumbani, kazini, pikipiki

Ila sasa balaa linakuja hao mnaowapapatikia wakigeuzia kibao

Hata wenyewe wanashangaa mnavyowazimikia na huenda wakawa na maswali kama yako

Well said mkuu

Waafrika tuna ubaguzi mkali sana hujawahi kusikia
 
Bongo zozo amekuwa maarufu nchi nzima siku za karibuni ila hiyo tabia yake ya ucheshi na mawenge anayo toka zamani mi namjua since anafanya biashara ya kununua sarafu za zamani tulikuwa tunakaa mtaa mmoja.. kama ni agent basi wenzetu wapo serious sana na kazi zao maana ni miaka mingi yupo bongo
 
Ni attention seeker nadhani!

Anataka kua maarufu tu kama wengine!

Kama kuna upelelezi thats wait to be seen

Cha ajabu ni beberu ila CCM wanamkumbatia kinoma,halafu tukitoka hapo nje ccm hao hao wanasema hatupendi mabeberu!

These niggas are walking contradictions!
Waafrika tunalia sana ubaguzi ila sisi ndo tunaongoza kwa ubaguzi.. hadi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe
 
Japo watakupuuza lkn hoja yako ina mashiko sana, mtu mweupe hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwa taifa jingine haiwezekani hapo kuna kitu, yeye huyo Bongo zozo kipindi alichokuwepo hapa tz alikuwa anafanya shughuli gani? na Sasa anafanya shughuli gani huko uingereza kiasi Cha kuja kugawa ticket bure? km yeye nishabiki na mpnzi wa taifa star kuna ulazima gani wa kujitangaza kwy media na kuandaa wanna habari wampokee airport? kushabikia manchester au Liverpool na club zingine kwa sisi ni swala la kawaida sana kwa sababu hizo sio timu za taifa, hizo timu zimebeba wachezaja wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo na afrika. kwa hiyo hapo kwy hoja ya jamaa kuna swala fikirishi sio bure.
Mkuu usidhani watu wote wana roho kama yako kuna watu hawaamini katika tofauti ya Rangi, kabila au status
 
Waafrika tunalia sana ubaguzi ila sisi ndo tunaongoza kwa ubaguzi.. hadi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe

Maccm yanaongoza kwa ubaguzi aisee!

We are more divided than ever!

And still,ubaguzi upo rampant na no one speaks!
 
Nimewahi kumsikia akijibu swali kuwa anafanya baishara ya hela za zamani.. Hakuna mapenzi ya haraka haraka hivyo.. Jamaa lazma kutakuwa na mchongo anautafuta
yupo bongo zaidi ya miaka10 mchongo gani huo wa kufukuzia miaka yote hiyo
 
waeleweshe na wewe wapiga kelele, yaani mapenzi ya Taifa stars yaje kipindi hiki, amekaa Bongo muda gani..?, hiyo Taifa stars ilikuwa haichezi, mbona hatukumuona kipindi cha Marcio Maximo
Hivi mkuu wewe ukiamua kuwa famous leo kuna mtu atakuhoji kwanini umeanza leo? unasema wewe ni akili kubwa toa hoja basi za kuendana na akili yako
 
Undercover unafikiri wanajiexpose hivyo.. Kujiweka mbele ya makamera kiasi hicho.. Jamaa yule yuko real sana na kuishi kwake TZ muda mrefu kunaonekana katika namna anavyozungumza kiswahili fasaha na ndiyo maana pia kawa na mapenzi na TZ. Mbona yuko wazi sana katika hili!! Sema tu kuna nati kama zimekata.
Spy anayetumwa mahali ni lazima awe na sifa ya kuwa na kichwa chepesi ili kucop na watu Wa eneo husika
 
Maktaba nitakuta kitabu kimeandikwa Kuhusu Bongozozoo?? Acha ujinga wewe hakuna mzungu atapotezaa muda kuwazuga wabongo kuwa anawaspy kwa kwenda uwanjani na kupiga kelele insta... Nchi yenyewe hii ya kiboyaa data gani wazungu waitake wasipate mpaka waanzs kupoteza mudaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upeo wako hafifu
 
Kuna watoto ni wapumbavu humu, serikali yetu sasa inabana maslahi ya mabeberu hilo tu linaweza kufikirisha lakini watu wanaona hatuna cha kupepelezwa?

Ati Bongozozo atapeleleza kipi Tz!!!???

Ndio maana tunapanua vidole kuliko akili
 
Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA
Under cover wa CIA hawezi kuji-expose kama huyu jamaa..

Under cover wa CIA wanakuwa kama akina Rostam Aziz, mtu ambae yuko ndani ya System.., amka
 
Back
Top Bottom