Bongozozo ndio anamtafuna SUzzy Bernad wa EATV?Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.
Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?
Mshana Jr Yericko Nyerere wakubwa mnaweza mkazungumza chochote kwa mtazamo wenu
Waafrika mna shida sana
Mpaka kwenye bio yenu mnatangaza sijui Manchester damu mara Liverpool forever ooh Arsenal mpaka kaburini
Wengine mpaka mnajitoa uhai walishindwa game, mnavaa jerseys zao mnaziweka kwenye magari, nyumbani, kazini, pikipiki
Ila sasa balaa linakuja hao mnaowapapatikia wakigeuzia kibao
Hata wenyewe wanashangaa mnavyowazimikia na huenda wakawa na maswali kama yako
Unadhani wote vilaza!umesoma nakuelewa..? rudia tena kusoma
Waafrika tunalia sana ubaguzi ila sisi ndo tunaongoza kwa ubaguzi.. hadi tunabaguana wenyewe kwa wenyeweNi attention seeker nadhani!
Anataka kua maarufu tu kama wengine!
Kama kuna upelelezi thats wait to be seen
Cha ajabu ni beberu ila CCM wanamkumbatia kinoma,halafu tukitoka hapo nje ccm hao hao wanasema hatupendi mabeberu!
These niggas are walking contradictions!
Mkuu usidhani watu wote wana roho kama yako kuna watu hawaamini katika tofauti ya Rangi, kabila au statusJapo watakupuuza lkn hoja yako ina mashiko sana, mtu mweupe hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwa taifa jingine haiwezekani hapo kuna kitu, yeye huyo Bongo zozo kipindi alichokuwepo hapa tz alikuwa anafanya shughuli gani? na Sasa anafanya shughuli gani huko uingereza kiasi Cha kuja kugawa ticket bure? km yeye nishabiki na mpnzi wa taifa star kuna ulazima gani wa kujitangaza kwy media na kuandaa wanna habari wampokee airport? kushabikia manchester au Liverpool na club zingine kwa sisi ni swala la kawaida sana kwa sababu hizo sio timu za taifa, hizo timu zimebeba wachezaja wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo na afrika. kwa hiyo hapo kwy hoja ya jamaa kuna swala fikirishi sio bure.
Waafrika tunalia sana ubaguzi ila sisi ndo tunaongoza kwa ubaguzi.. hadi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe
yupo bongo zaidi ya miaka10 mchongo gani huo wa kufukuzia miaka yote hiyoNimewahi kumsikia akijibu swali kuwa anafanya baishara ya hela za zamani.. Hakuna mapenzi ya haraka haraka hivyo.. Jamaa lazma kutakuwa na mchongo anautafuta
umeona mkuu mtu nyumba yake inaungua anaenda kuzima ya jiraniMaccm yanaongoza kwa ubaguzi aisee!
We are more divided than ever!
And still,ubaguzi upo rampant na no one speaks!
Hivi mkuu wewe ukiamua kuwa famous leo kuna mtu atakuhoji kwanini umeanza leo? unasema wewe ni akili kubwa toa hoja basi za kuendana na akili yakowaeleweshe na wewe wapiga kelele, yaani mapenzi ya Taifa stars yaje kipindi hiki, amekaa Bongo muda gani..?, hiyo Taifa stars ilikuwa haichezi, mbona hatukumuona kipindi cha Marcio Maximo
Spy anayetumwa mahali ni lazima awe na sifa ya kuwa na kichwa chepesi ili kucop na watu Wa eneo husikaUndercover unafikiri wanajiexpose hivyo.. Kujiweka mbele ya makamera kiasi hicho.. Jamaa yule yuko real sana na kuishi kwake TZ muda mrefu kunaonekana katika namna anavyozungumza kiswahili fasaha na ndiyo maana pia kawa na mapenzi na TZ. Mbona yuko wazi sana katika hili!! Sema tu kuna nati kama zimekata.
Upeo wako hafifuMaktaba nitakuta kitabu kimeandikwa Kuhusu Bongozozoo?? Acha ujinga wewe hakuna mzungu atapotezaa muda kuwazuga wabongo kuwa anawaspy kwa kwenda uwanjani na kupiga kelele insta... Nchi yenyewe hii ya kiboyaa data gani wazungu waitake wasipate mpaka waanzs kupoteza mudaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yupo bongo zaidi ya miaka10 mchongo gani huo wa kufukuzia miaka yote hiyo
Under cover wa CIA hawezi kuji-expose kama huyu jamaa..Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA
Huyu mzalendo halisi ndio Icon ktk soko la Taifa letu...mzungu kipepo yule View attachment 1264648View attachment 1264649View attachment 1264650View attachment 1264651View attachment 1264652View attachment 1264654View attachment 1264655