Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
ccm haijawai kusajiliwa kokote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kulete baadhi ya hizo nyaraka?Mfumo wa vyama vipya ilipoanzishwa mwaka 1992, na kuundwa kwa ofisi ya msajilli wa vyama vya siasa. Vyama vyote viliwasilisha nyaraka za usajili kwa msajili wa vyama vya siasa, na kupokea maelekezo ya kupata usajili na kukabidhiwa kanuni, vigezo, masharti na taratibu za kufuata ili hatimae kupata usajili wa kudumu.
Vyama vyote, ikiwa ni pamoya na CCM vilifuata utaratibu na kupata usajili wa kudumu.
nadhani ni muhimu sana kutembelea maktaba ya taifa au ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kwa maelezo, kumbukumbu, stakabadhi na nyaraka muhimu za jambo hili ili kujiridhisha na kuthibitisha hilo 🐒Unaweza kulete baadhi ya hizo nyaraka?
Ni kweli. Make unaweza kuta ni changa la macho!nadhani ni muhimu sana kutembelea maktaba ya taifa au ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kwa maelezo, kumbukumbu, stakabadhi na nyaraka muhimu za jambo hili ili kujiridhisha na kuthibitisha hilo 🐒
mambo haya ya kisheria na kumbukumbu yanahusisha vitu vingi sana macho yakiwemo 🐒Ni kweli. Make unaweza kuta ni changa la macho!
Mkuu, pitia vifungu hivi vya Sheria ya Vyama vya Siasa (Political Parties Act) ili upate jibu. Ni vifungu vya 8 (1) na 7 (2)
.8–(1) Every political party other than the political party registrable pursuant to subsection (2) of section 7, shall apply and be registered in two stages, after fulfilling all the conditions prescribed for each stage.
7 (2) Notwithstanding the provisions of subsection (1) of this section Chama cha Mapinduzi, also known by the acronym CCM, which was, immediately before this Act, the sole political party for the whole of the United Republic shall, on the coming into effect of this Act, and without further requirement, be deemed to have been fully registered as a political party and shall be issued with a certificate of registration in accordance with this Act.
Hakika!..Ccm ilikuwa chama DOLA hivyo ilitakiwa ifutwe ili kutoa nafasi sawa kwa vyama vipya kuanzishwa.