unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Katiba za vyama vyao zinaelekezaje?
Hivi kumbe Rose migiro alikuwa mwanaume!!dadeek!
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
NdiyoSamahani wana jf naomba mnieleweshe maana sijui kila kitu
Hivi Rais wa sasa wa marekani D.Trump alipambanishwa na wagombea mwingine ndani ya chama cha Republican ili kugombania urais kupitia chama cha Republican.
Au George Bush alipogombea kwa mara ya pili 2004 kupitia Republican alishindanishwa na wagombea wengine
Au Barack Obama 2012 alipokuwa anagombea mara ya pili alipitishwa tu au alipambana na wengine ndani ya Democratic
Linaitwa #FREE'IDRIS!Hilo shati la Mangula hapo juu ndio sare mpya?
aiseeee !!Hivi kumbe Rose migiro alikuwa mwanaume!!dadeek!
😆😆😆😆Linaitwa #FREE'IDRIS!
Miaka 100 uwongo dunia inabadirika kwa kasi ya ajabu...watapotea tuNi hatari kwa mkuu wa idara ya propaganda ya chama kikuu cha upinzani kujikita katika thread za kuipaisha CCM
Ndio mana tunaamini CCM itatawala miaka 100, wapinzani wetu wapo bize kutukodolea macho badala ya kujenga saccos yao.
Ni hatari kwa mkuu wa idara ya propaganda ya chama kikuu cha upinzani kujikita katika thread za kuipaisha CCM
Ndio mana tunaamini CCM itatawala miaka 100, wapinzani wetu wapo bize kutukodolea macho badala ya kujenga saccos yao.
Haahaa polepole kaweka mgombea wake mfukoni, anazuia wana ccm wengine kuomba ridhaa ya chama kugombea urais.kisingizio mila na desturi kinyume na katiba.mbaya zaidi msajiri yupo kiimya.Kanuni na taratibu za chama cha CCM zinasemaje. Mwanachama gani wa ccm hujui katiba huwa Ina customs pia. Mana najua mpinzani hawezi pta muda wa kuuliza mambo ya chama kingine. Please usimdhalilishe Polepole. Mpigie simu kimya kimya. Iko wazi hiyo hata kwa Sisi WABEBA MABOX huku.
Pili kipropaganda haeindi.
Tatu. JPM anatosha. Hatutaki wapiga kelele. Tunataka. Watendaji. Akisema hiki kinakuwa. Pole wanaccm.
Mutungi ni kama tarishi wa ccm tuHaahaa polepole kaweka mgombea wake mfukoni, anazuia wana ccm wengine kuomba ridhaa ya chama kugombea urais.kisingizio mila na desturi kinyume na katiba.mbaya zaidi msajiri yupo kiimya.
Kama tume ingekua huru wangepatikana 40×4Kwani hao wabunge 40 mliqapata kwa tume ipi?
acha urais, hata udiwani., ubunge anayechagua ni Jiwe! This is a dictatorial regime! Power grip by a SINGLE PERSON
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Mimi nilichoona ni kuwa Kitamba kilichozidi kwenye mkono kinatosha kushona barakoa.Hilo shati la Mangula hapo juu ndio sare mpya?
Sumu haionchwi kwa ulimi.Kama wapinzani na wakosoaji tu wanatendewa vile vipi wwe mti mkavu.
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Ccm ikiruhusu demokrasia itasambaratikaNgumu sana, muulze membe. Kuonyesha nia tu unafukuzwa uwanachama. Wanakwambia Ni desturi. Desturi mpaka inavunja katiba. Ni aibu sana CCM kuogopa demokrasia.
Kabla ya kuuliza hili swali ungejiuliza kwani Ccm huwa inazuia watu kuchukua form za urais? Au unauliza unafiki baada ya kukosa vitu vyenye mantiki? Ni mwaka gani wamezuia mtu kuchukua form? Au wao kutengeneza utamaduni wa kumuachia aliyepo madarakani aendelee kupeperusha kibendera ndio kinachoawauma? Kinawauma sababu ni mchapa kazi. Na mmekosa ajenda za kuikosoa serikali. Mlizoea ufisadi kama ajenda kuu sasa hakuna amedhibiti kila kitu.
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Ana kesi za uchochezi kama tatu pale kisutu. Na hajulikani alipo kwa mujibu wa mahakama. Akishuka tu Airport wanaruka nae kama mwewd na ushahidi umekamilika.Hakuna kesi yoyote inayoweza kumzuia Lissu kugombea urais , halafu lingine ni hili suala la Lissu laweza kuigharimu ccm ikazikwa bila kufa , kunahitajika uangalifu kuliko kawaida , huyu lissu kuomba urais siyo mjinga
Kwa hiyo Tanzania ni Usa?Ndiyo
Hapo magu atafurahi sana.maana lissu ndo mpinzani wake Mkuu uchaguzi Wa Mwaka huu.Ana kesi za uchochezi kama tatu pale kisutu. Na hajulikani alipo kwa mujibu wa mahakama. Akishuka tu Airport wanaruka nae kama mwewd na ushahidi umekamilika.
Dunia nzima customary law zipo. Na hizi huanza na customs. Mbona sheria zetu zinasema ukiua unanyongwa mpaka kufa. Lakini marais wametengeneza desturi ya kutokunyonga?Haahaa polepole kaweka mgombea wake mfukoni, anazuia wana ccm wengine kuomba ridhaa ya chama kugombea urais.kisingizio mila na desturi kinyume na katiba.mbaya zaidi msajiri yupo kiimya.