TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Amini usiamini kuna watu leo wanatimiza miaka kumi tangu wagraduate na hawajai kuajiriwa najua wanapitia changamoto nyingi za maisha kwa hiyo ww uliyehitimu miaka miwili au mitatu nyuma unayomengi yakujifunza usikate tamaa.
Lengo la uzi huu ni kupeana changamoto na kupeana njia ulizotumia au unazotumia kutatua changamoto mpaka leo maisha yanasonga.
Uzi teyari..😁😇😇😇😂😂
Karibuni sana tushare changamoto
Amini usiamini kuna watu leo wanatimiza miaka kumi tangu wagraduate na hawajai kuajiriwa najua wanapitia changamoto nyingi za maisha kwa hiyo ww uliyehitimu miaka miwili au mitatu nyuma unayomengi yakujifunza usikate tamaa.
Lengo la uzi huu ni kupeana changamoto na kupeana njia ulizotumia au unazotumia kutatua changamoto mpaka leo maisha yanasonga.
Uzi teyari..😁😇😇😇😂😂
Karibuni sana tushare changamoto