T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Kuna uzi pia ulisema "Hivi Nilivyo"Me na hii course nayosomea, plus nilivyo mmmmh Jah awe nami kwa kweli, maan hapa bado nasoma, classmates wananiambia "yaan wee ivo ulivyo hata CV yako iwe bora kias gan huwez pata ajira" bas me ndo nakufa moyoo kabisaa,
Ila daah acha tuu nitumikie ili hali niwe na cheti ila nikikumbuka msuli wa advance mmmh.
Eeeh Jah awe nami kwa wakati huo.
Ukoje bwana mdogo?