Je, changamoto zipi unapitia baada ya kuhitimu masomo (kugraduate) yako

Je, changamoto zipi unapitia baada ya kuhitimu masomo (kugraduate) yako

Kiukweli naweza nikasema graduate sio rahisi kupitia changamoto sanaaa kama inavoelezwa, ukiwa umesoma hadi elimu ya juu maisha ya kula, kuendesha maisha hayawezi yaka kusumbua. Kwakua elimu ya juu ni elimu kubwa sana ambayo kwa namna yeyote lazima tu ikuweke pahala pazuri. Mimi nilimaliza masomo ya uhandisi mara moja nilienda ERB nikaomba SEAP nikapata moja ya taasisi kubwa hapa nchini ya kihandisi (serikali) na nikawa nalipwa ukijumlisha na kazi za kati kati ya mwezi kwa kila mwezi nikawa napata si chini ya laki 6 na nusu. Baadae nikaona haitoshi kabisa. Ndipo nilipoanza tafuta sehemu nyingine tena private companies, na kama mjuavyo Hata vitabu vya dini vimeandika ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtaona. Baada ya kuweka nia, nilifanikiwa kupata kazi nzuri na inalipa vizuri sana. Na baada ya hapo nimeendelea kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali katika kampuni nyingine nyingi.
Hebu niwaambieni kitu kimoja, graduate lazima uwe na janja janja lazima uwe muongeaji hata kama vitu una idea navyo basi zungumza as if unavielewa hakuna atakaye lala njaa.
Umeeongea ukweli lakini kila mwanadam anapita changamoto ,hata Mo Dewji na hela zote zile some time anapitia changamoto km kutekwa,kutukanwa mitandaoni n.k .

Kuhusu njaa watu hawana ajira na wanakura milo mitatu na wana watoto wanaenda shule.

Ila changamoto baada ya kuhitimu zipo nyingi mfano ww hapo ulivyopata SEAP Program kuna changamoto ulizipata ndani ya hiyo program ikabd upambane ss hapo ulitakiwa utueleze hizo changamoto na sisi tujifunze.πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Changamoto ni nyingi sana, imagine unaambiwa uache CV kwenye kampuni Fulani kumbe wanazichoma moto zote kama takataka,
Changamoto nyingine ni connection ajira za sasa hivi especially private sector ni connection zaidi
 
Changamoto ni nyingi sana, imagine unaambiwa uache CV kwenye kampuni Fulani kumbe wanazichoma moto zote kama takataka,
Changamoto nyingine ni connection ajira za sasa hivi especially private sector ni connection zaidi
Hiyo noma sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni miaka 4 sasa tangu nilipomaliza chuo, sikuwahi kufikifiria kama hata ningekaa mwaka mzima bila kupata kazi nikiwa kama Banker by profession,na vimini vyangu nilijipa matumaini bank zote hizi zaidi ya 50 pamoja na microfinances kweli ntakosa kazi? No no,

Uhalisia sasa baada ya kumaliza na kurudi mtaani mmh life halieleweki sambaza sana CVs kwenye Banks/microcredit aisee zingine wanaishia kupokea walinzi tu getini sidhani kama zinafika, zingine secretaries huku wakikuangalia kwa dharau, tuma kwa posta/Ems dah pesa yenyewe ya mawazo hamna kitu.nikapata kwa huyo Baba ana company yake binafsi dah naona alitaka kunipa kazi pamoja na kuwa mke tena dah. Nikajiondokea tu.

Kuna siku nilikaa ndani nikafikiria hivi nikiweka uzi jf wa kuomba kazi yoyote siwezi pata kweli, nikaona ngoja nijaribu nashukuru niliweka nikapata response za kutosha za matumaini ,nikatuma CVs nikafanya interviews, nikapata sehemu nikafanya for a year huku nikiendelea kucheki sehemu nyingine,nikapata pia kwa kutumia experience niliyoipata huko,Japo mambo hayajakaa sawa bado ila[emoji120]

Watu tusikate tamaa tuendelee kujaribu njia mbalimbali naamini ipo siku mambo yatakua poa tu.
Mkuu habari za siku?
Hongera kwa hatua ulofikia sasa,binafsi nimefuta kabisa hili wazo la kusaka ajira kwa sasa,nishauzoea mtaa. Niko chimbo nazisaka pesa bila aibu wala wenge.
 
Mkuu habari za siku?
Hongera kwa hatua ulofikia sasa,binafsi nimefuta kabisa hili wazo la kusaka ajira kwa sasa,nishauzoea mtaa. Niko chimbo nazisaka pesa bila aibu wala wenge.
Salama mkuu, za huko ulipo!

Aisee ahsante hongera pia maana kuuzoea mtaa bila aibu si kitu kidogo, na popote kambi either mtaani ama ajira ili mradi kipatikane chochote kitu. Ila ni kwanini hutaki tena kutafuta ajira? Umesumbuka sana kama sisi ? Au maamuzi tu mkuu?
 
Kumbe changamoto zake anataka kunihamishia na mimi pia[emoji3][emoji3]
Mimi wakati nipo mwaka wa tatu enzi za kikwete vuguvugu la kuadimika kwa ajira mtaani lilikuwa limeanza wala sikutaka kupasuka kichwa nikatunza hela yangu ya boom jumlisha na hela za field nikaanza bana matumizi nakula wali maharage aisee mpka masela zangu wakina Mudy wakaanza kunipa jina la Wali ndondo.Nilikomaa mpaka tunamaliza chuo.Ile narudi town nikawa bank nina kama nina mil 1.4 aisee wazo la kutafuta aina ya biashara likaja.Nikaona kama vip hela haitoshi maana niliwaza ninunue Sanlg nimpe mtu ili izae but wakati huo Sanlg ilikuwa inauzwa mil 2.15 plus usajili.Daa kilichonitokea huko mbeleni natamani nisimulie ila sorry jamani naanza safari nadrive(ila kwa sasa nina kazi plus shughuli zangu binafsi maisha yanasonga.
 
Salama mkuu, za huko ulipo!

Aisee ahsante hongera pia maana kuuzoea mtaa bila aibu si kitu kidogo, na popote kambi either mtaani ama ajira ili mradi kipatikane chochote kitu. Ila ni kwanini hutaki tena kutafuta ajira? Umesumbuka sana kama sisi ? Au maamuzi tu mkuu?
Asante pia, huku nilipo hali si mbaya sana wala si nzuri sana.

Nakumbuka kipindi cha mwanzo naanza tu kutuma maombi kati ya sehemu 5 nilizotuma niliitwa 2, na hizo 2 nilikutana na mambo ya ajabu yalosababisha nisithubutu kutuma tena maombi sehemu yoyote bila kuwa na mtu ninae mjua pale.
 
Asante pia, huku nilipo hali si mbaya sana wala si nzuri sana.

Nakumbuka kipindi cha mwanzo naanza tu kutuma maombi kati ya sehemu 5 nilizotuma niliitwa 2, na hizo 2 nilikutana na mambo ya ajabu yalosababisha nisithubutu kutuma tena maombi sehemu yoyote bila kuwa na mtu ninae mjua pale.
Nini kilikukuta mkuu??
 
Jamani ahsante mkuu , kama ni pesa zinatafutwa muhimu upendo na amani ya moyo tu, kuna walioolewa na wenye uwezo ila hata hawaenjoy kutwa baba anawaza miradi na kusafiri tu hana time, ila waliooana na kiuwezo cha kawaida maisha simple kutwa wapo pamoja wanakula zao tembele kwa amanii[emoji7], ila tupige kazi tutafute dough mkuu.
Hakika umenena my dear
 
Mimi toka mwaka jana nimetuma cv sehemu mbili tu ..je ni uvivu wa kutafuta kazi au ni situation tu inatokea? Niko na mishe zangu za kuuza matunda na chakula ..ivyo nakwama kwenye suala la kuandika cv

Graduate student 2019.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli naweza nikasema graduate sio rahisi kupitia changamoto sanaaa kama inavoelezwa, ukiwa umesoma hadi elimu ya juu maisha ya kula, kuendesha maisha hayawezi yaka kusumbua. Kwakua elimu ya juu ni elimu kubwa sana ambayo kwa namna yeyote lazima tu ikuweke pahala pazuri. Mimi nilimaliza masomo ya uhandisi mara moja nilienda ERB nikaomba SEAP nikapata moja ya taasisi kubwa hapa nchini ya kihandisi (serikali) na nikawa nalipwa ukijumlisha na kazi za kati kati ya mwezi kwa kila mwezi nikawa napata si chini ya laki 6 na nusu. Baadae nikaona haitoshi kabisa. Ndipo nilipoanza tafuta sehemu nyingine tena private companies, na kama mjuavyo Hata vitabu vya dini vimeandika ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtaona. Baada ya kuweka nia, nilifanikiwa kupata kazi nzuri na inalipa vizuri sana. Na baada ya hapo nimeendelea kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali katika kampuni nyingine nyingi.
Hebu niwaambieni kitu kimoja, graduate lazima uwe na janja janja lazima uwe muongeaji hata kama vitu una idea navyo basi zungumza as if unavielewa hakuna atakaye lala njaa.
Theory yako haiwezi kufit kila mahali.
 
Kipindi nagraduate nafasi zilikuwa zinatoka Ila sikuwa naomba sababu nilikuwa naingiza vihela kwenye biashara,

Mitano ya kwanza ilivyoanza kukaza akili ikarudi nikaanza kusaka ajira
haikuwa rahisi nimefanya kama sehemu tatu Ila zote nimeachana nazo,

napambana na kitaa
japo sijaacha kuomba as natamani kuitumikia career yangu japo mwaka mmoja tu.
 
Back
Top Bottom