Je, changamoto zipi unapitia baada ya kuhitimu masomo (kugraduate) yako

Je, changamoto zipi unapitia baada ya kuhitimu masomo (kugraduate) yako

Kuna kabinti kalimaliza UDSM 2017(Bachelor of Commerce and Banking Management),kamesugua mtaani tangu kamalize Chuo mwaka huo wa 2017,mwaka huu August kuna mdau mmoja akaniunganisha nako nikasaidie kupata kazi maana katika kusugua gaga nyumbani kakapigwa na mimba na kuzalishwa, nikamwambia mdau mwambie huyo Binti anitafute na kweli akanitafuta akanitumia CV na Vyeti,ndani ya mwezi mmoja nikakatafutia kazi sehemu kanalipwa Mshahara 1,600,000 kwa mwezi,lakini kwenye kukahangaikia mdai wa kuweka mipango sawa alitaka alipwe Tsh.1,000,000 Binti baada ya kuanza kupokea Mshahara,heeeh,Binti kaanza kupokea Mshahara kanogewa na pesa kakataa kutoa 1,000,000 kama makubaliano tulivyokubaliana[emoji134][emoji134],nafanya mchakato afukuzwe kazi soon January sitaki ufala
Embu mkuu fanya maajabu...utapata1.5m ndani ya 3 months,Ila hyo ni % kutoka Kwenye salary..
 
Kwa mujibu wa bibie, kaka hauko serious.

Kufikia malengo yeyote (mfano: ajira), kunahitaj mpango, discipline, commitment, focus.

Ndio wahenga kusema, "mshika mawili moja humponyoka".

Sasa kwa kesi yako, "ni haki yako ya msingi kukosa ajira."
hii inaukweli ndani yake mimi kuna sehemu nipo nafanya kazi ambayo si taaluma yangu imekuwa ikinilia sana muda wangu na kushindwa ku focus kuomba kazi hadi sasa mwaka watatu huu nabaingaiza na kazi hisiyoeleweka
 
Me na hii course nayosomea, plus nilivyo mmmmh Jah awe nami kwa kweli, maan hapa bado nasoma, classmates wananiambia "yaan wee ivo ulivyo hata CV yako iwe bora kias gan huwez pata ajira" bas me ndo nakufa moyoo kabisaa,

Ila daah acha tuu nitumikie ili hali niwe na cheti ila nikikumbuka msuli wa advance mmmh.
Eeeh Jah awe nami kwa wakati huo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unasomea kazi gani?
 
hii inaukweli ndani yake mimi kuna sehemu nipo nafanya kazi ambayo si taaluma yangu imekuwa ikinilia sana muda wangu na kushindwa ku focus kuomba kazi hadi sasa mwaka watatu huu nabaingaiza na kazi hisiyoeleweka
Kazi gani unafanya??
 
Nlimaliza chuo mwaka 2016 katika chuo kikubwa sana hapa TZ, na kozi niliyosoma nilijiaminisha kuwa siwezi kosa kazi, kutokana na kujiaminisha huko baada ya kumaliza chuo nliamua kujipa likizo ya miezi kadhaa nipumzike Home huku nasoma upepo. Nakumbuka ilikua mwezi mei mwaka 2017 ndipo nlipoanza kusambaza CV zangu karibia kila ofisi, nmezunguka Mikoa karibia Nusu ya TZ kutafuta kazi, sikuamini kabisa kama ningepata hizi changamoto, Mda wote nlikua naangalia Email au Phone yangu kuona kama ntapata majibu ila hola.
Life lilikua tight sana mpaka ikabidi niwe nakula maramoja kwa siku, Nlijaribu kujiingiza kwenye Forex ikawa Hola, Nmejiingiza Qnet hali ndo kama ilivyo sasa, Nmeshiriki makongamano ya ujasiriamali ila nkaona nkija kwenye vitendo sioni uhalisia.
Baada ya kuona hali ni tete nmeamua kurudi kwa wazee tu maana sijafukuzwa, na saizi naishi kwa kutegemea Betting tu, mikeka ndo inayonifanya hata ka shilingi mia kasikosekane mfukoni.

Jamani kama hauna pesa na shughuli ya uhakika, hata maendeleo yako yanachelewa.
Inafurahisha lakini inahuzunisha, Mungu baba tusaidie watu wako
 
Kuna kabinti kalimaliza UDSM 2017(Bachelor of Commerce and Banking Management),kamesugua mtaani tangu kamalize Chuo mwaka huo wa 2017,mwaka huu August kuna mdau mmoja akaniunganisha nako nikasaidie kupata kazi maana katika kusugua gaga nyumbani kakapigwa na mimba na kuzalishwa, nikamwambia mdau mwambie huyo Binti anitafute na kweli akanitafuta akanitumia CV na Vyeti,ndani ya mwezi mmoja nikakatafutia kazi sehemu kanalipwa Mshahara 1,600,000 kwa mwezi,lakini kwenye kukahangaikia mdai wa kuweka mipango sawa alitaka alipwe Tsh.1,000,000 Binti baada ya kuanza kupokea Mshahara,heeeh,Binti kaanza kupokea Mshahara kanogewa na pesa kakataa kutoa 1,000,000 kama makubaliano tulivyokubaliana[emoji134][emoji134],nafanya mchakato afukuzwe kazi soon January sitaki ufala
Una lengo lakuingiza watu mkenge wewe
 
Siasa Basi nina uhakika akili zako zipo makalioni,nimeelezea kisa cha mtu niliyemsaidia,hao watu ninaotaka kuwaingiza mkenge ni wakina nani??huyo Dada hakutakiwa kutoa chochote mpaka aanze kazi na ndivyo ilivyokuwa,baada ya kuanza kupokea Mshahara kaanza kuzingua ndio nikaona ni-share jinsi watu wanavyohangaika kutafuta kazi kisha wakipata wanasahau fadhila na makubaliano
 
Back
Top Bottom