Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

Eloi eloi sabalakitani
 
Pole Sana mkuu
 
Kifo ni process mtu anayekuwa kwenye hiyo process inafika kipindi hasikii kitu anakuwa hana concentration anapotea taratibu ni kama mtu anayepoteza fahamu hasikii maumivu sasa mwili au organs zinaanza kuacha kufanya kazi ile inakuondolea maumivu kuna wako wanakata kauli kama hayupo ndio maana utasikia utasema amelala tu. Kuna vifo vya ghafla kama heart attack au ajali anapoteza nguzu tu na kuanguka. Mungu atupe mwisho mwema tuseme amiin
 
Duuh so sad mkuu Pole sana
 
Mzee alitaka kuongea namimi mambo mengi ,Mimi na ndugu tukawa tunamzuia mana alikuwa anapata maumivu sana wakati wakuongea.Ila nakumbuka maneno baadhi”NIWAJALI NDUGU ZANGU NA KUWAHESHIMU WATU”
RIP mzee!!!Corona ilimuondoa
Huu ugonjwa wa kishetani sana.
Rip Mzee.
 
Pole sana ndugu,unaweza kutugusia neno alilokwambia?
 
Ngoma nini
 
Mzee wako yupo sehemu salama,na kafa vizuri Sana,huwa ninaomba siku yangu ikifika nife taratibu tena nikijua sehemu ninapoenda kufikia huku ninatabasam,nikaonane na Mungu wangu,baba yangu na wapendwa wangu wote
 
Mzee wako yupo sehemu salama,na kafa vizuri Sana,huwa ninaomba siku yangu ikifika nife taratibu tena nikijua sehemu ninapoenda kufikia huku ninatabasam,nikaonane na Mungu wangu,baba yangu na wapendwa wangu wote
Amina brother. Mungu akutane na haja ya moyo wako
 
Watu mmeelewa ila wagumu kuelewa. Sio kwamba hujui,unajua huyo ni MUNGU MWANA. Hapo alikuwa anamaanisha mkuu,ambaye ni babaake pia.
Kumbe kuna Mungu mtoto na Mungu baba! hapo Imebaki kuongezewa Mungu mama.
Mungu ni mmoja hafaninishwi na yeyote.
 

Pole sana dahhhhh
 

Uko emotional sana pole, me wangu anatimiza miaka 10 mwaka huu mwezi julai.
 
wataalam wanasema kifo kizuri kuliko vyote ni kulipukiwa na bom la nyuklia ukiwa ndani ya mzunguko wa 100 m

kabla haujahisi chochote unakua umeshafutika duniani..

Note: sio kufa, bali kufutika kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…