Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

Hakufia hospitalin..
nakumbuka ilikuwa asubuhi nilikuwa nafua nguo zangu za shule, mzee alitoka chumban kwake akasimama mlangoni akawa ananiangalia nikashtuka nikamwambia mbona umeniangalia muda mrefu sana kuna kitu labda ulitaka uniambie akasema hapana babu akaingia ndani akalala. rip babu.
 
Pole sana mkuu
 
kuna viumbe wanaabudiwa,watu waliojiita mungu,kuna masanamu yanayoitwa mungu watu wanayaabudu,kuna yesu mnamuita mungu.
Allah ni Mwenyezimungu mkuu tofauti na hao ndio maana ya ile kauli mkuu.
Kwa kiswahili Allah ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…