Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila we jamaa unakuwaga chizi kweliNgoja waje kutoa miongozo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila we jamaa unakuwaga chizi kweliNgoja waje kutoa miongozo...
Swali zuri.Duh!!!,hamkumuuliza jinsi watu hao walivyo??, Matharani je,Wana mabawa?.
Ok,Km mngemuuliza akawajibu tungeweza kujua kuwa ni Malaika au lah!!!.Mtu akiwa katika hali hiyo anakuwa kama yupo kwenye mang'amung'amu
Mzee aliupata. Mi sikuwa nakaa naye. Nipo kwangu ila Mama alinieleza. Wiki ile alikuwa anatoka kwenye mizunguko yake na anakaa kuangalia UPENDO TV. Anafuatilia Mahubiri, anaimba Mwimbieni Bwana, anasoma Biblia. Kila mara alikuwa anasoma, anaimba na kufuatilia mahubiri. Alikuwa na utaratibu wa kutoa sadaka wakati anasherekea Birth day yake. Alitoa sadaka wiki hiyo. Pia alivuna Mpunga kwani ni Mkulima, akatenga kabisa Fungu la Kumi kuwa wiki hiyo ataipeleka. Ilipofika Jumamosi, wanajumuiya wenzake wakaja kusali pale nyumbani kwake. Wakasali, walipomaliza ndipo akaanguka ghafla baada ya dakika 5 akazinduka na akasema "Mke wangu usilie wala kusumbuka kunipeleka Hospitali, nimeshakufa kwani nimemuona Yesu kaniambia hivyo, nyie niombeeni. Kisha akasema Mungu wangu nisamehe kwa yote niliyotenda nikiwa duniani". Akafunga Macho na mdomo. Hakuwa anaumwa wala nini.I love this.... natamani nikifa nipate wasaa kama huu
Nani anae dai kuwa yeye ni mungu?Mungu gan na yeye ndio mnadai ndio mungu ??
Mwana ni lazima uwe wa kumzaa wewe?Homework yako mkuu ukifa nenda kamuulize
Leo na wewe utoe muongozo.Ngoja waje kutoa miongozo...
atakumbukwa na mazuzu tu
Mwana ni lazima uwe wa kumzaa wewe?
Maisha yenyewe mafupi haya kuanza kujijazia stress...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila we jamaa unakuwaga chizi kweli
Mtu kama huyu nitafurahi kifo chake badala ya kulia, ni maisha ya ushuhuda sana sanaMzee aliupata. Mi sikuwa nakaa naye. Nipo kwangu ila Mama alinieleza. Wiki ile alikuwa anatoka kwenye mizunguko yake na anakaa kuangalia UPENDO TV. Anafuatilia Mahubiri, anaimba Mwimbieni Bwana, anasoma Biblia. Kila mara alikuwa anasoma, anaimba na kufuatilia mahubiri. Alikuwa na utaratibu wa kutoa sadaka wakati anasherekea Birth day yake. Alitoa sadaka wiki hiyo. Pia alivuna Mpunga kwani ni Mkulima, akatenga kabisa Fungu la Kumi kuwa wiki hiyo ataipeleka. Ilipofika Jumamosi, wanajumuiya wenzake wakaja kusali pale nyumbani kwake. Wakasali, walipomaliza ndipo akaanguka ghafla baada ya dakika 5 akazinduka na akasema "Mke wangu usilie wala kusumbuka kunipeleka Hospitali, nimeshakufa kwani nimemuona Yesu kaniambia hivyo, nyie niombeeni. Kisha akasema Mungu wangu nisamehe kwa yote niliyotenda nikiwa duniani". Akafunga Macho na mdomo. Hakuwa anaumwa wala nini.
Naam,huwa nakuwa mdadisi sana wa mambo haya.Huwa natamani kujua jinsi roho ya mtu au kiumbe yeyote inavyoachana na Mwili.Swali zuri.
Wewe ni Mnigeria???.Baba yangu wa Kiroho,Prophet T B.Joshua(wa huko Nigeria)dakika chache kabla hajafariki dunia aliwaambia wafuasi aliyokuwa nao Muda ule wa dakika zake za mwisho kwamba)Ni baraka kwa nyie ambao mpo pamoja Nani muda huu(2)Watch and Pray !(i.e.Kesheni mkiomba).Wakati hUO anazungumza Hayo, alionekana mzima wa Afya.Baada ya dk 30 kupita,akajisikia vibaya,Akafariki Dunia.
Hii unataka neema kuelewa mkuu. Na ukifundiahwa vema utaelewa tu. Ila sikulaumu maana Kuna ambao wanapotosha sana ukweli kwa kusema Yesu ni Mungu bila kufanya.Mungu gan na yeye ndio mnadai ndio mungu ??
Mnamukumbuka tu nyinyi aliowafanya mazuzuMkuu tukiweka unafki pembeni hero from Chato anakumbukwa kwa mema yake
Daaah ! Yaani hata unachoka kuelewesha. Neema ya Bwana ikuangazie siku moja uijue kweliMungu alizaa mtoto?
Ana mke?
Wapi kasema ana mwana?
Najaribu kuwaza akiwa kitandani Mzena dakika za mwisho alizungumza nini?