SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Yesu ni Mwana wa Mungu
Sio Mungu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu ni Mwana wa Mungu
dogo acha fiksi, tatizo unajiachia sana kwenye nchi ya watuNdio ni kweli mkuu. Nyingine wakati wake wa mwisho alikuwa anauliza kweli kunakupiga miti huko niendako?
Mungu wa mchongo.Mungu gan na yeye ndio mnadai ndio mungu ??
Pole sana mkuu nyakati hizi ngumu huja na kupita.I was not there lakini last few days nilienda kumuona, alikua na Hali Fulani ngumu, alipata second stroke, hakuweza kuongea LAKINI alinishika mkono wangu kwa nguvu sana Kisha nikatokwa na machozi, alikua ananihakikishia kuwa nisiwe na mashaka atapona! Man, that's still the worst scenerio ninayoikumbuka. Naandika hivi huku machozi yananitoka. She was among the best Mom ever.....then tarehe 13/04/2017 asubuhi as I was getting out kwenye meeting I received a call.....nililia kama Mtoto. Niliondoka Dar jioni ya siku Ile 13/04/2017 kama Jana then 15/04/2017 tukampunzisha. Sitaki kukumbuka hiki kitu kabisa.
Siku mbili hizi zimekua ngumu sana kwangu Kila mwaka nakumbuka hili tukio napata shida mnooooo.
Yuda iskariot kesho ndo siku rasmi ya usaliti, utatuambia Yesu alisema nini pale msalabani dakika za mwishoHakufia hospitalin..
nakumbuka ilikuwa asubuhi nilikuwa nafua nguo zangu za shule, mzee alitoka chumban kwake akasimama mlangoni akawa ananiangalia nikashtuka nikamwambia mbona umeniangalia muda mrefu sana kuna kitu labda ulitaka uniambie akasema hapana babu akaingia ndani akalala. rip babu.
Basi sawaNI SAHIHI ALLAH NI MMOJA HANA MSHIRIKA
AmenDah!!!,Wale wanaopinga uwepo wa MUNGU nadhani Kuna kitu cha kujifunza hapa.Acha Mimi niendelee kusali.
Acha ubishi, hakuna ajuae. Na uache uongo pia coz hujawahi kufahuko huko usingizini mateso lazima utayapata tu, uhai unapotoka ni lazima kuwe na mateso.
Hata baba pia!Pole..Mungu akutie..nguvu.Ni vigumu kusahau hasa anapokuwa mama[emoji24]
Pole sana!Mtateseka nikiwa nimekufa lakini siyo nikiwa hai, 12 hours before his death, then tukaenda mtoni doing our laundry with him, as he insisted that we must do it bse the next day we were about to embark a journey.
Usiku alisema twende tukakale mwanangu then he died.
I miss you mshua , I wish that heaven have visiting hours , so I could come by and ask your advice
Pole kiongoziMtateseka nikiwa nimekufa lakini siyo nikiwa hai, 12 hours before his death, then tukaenda mtoni doing our laundry with him, as he insisted that we must do it bse the next day we were about to embark a journey.
Usiku alisema twende tukakale mwanangu then he died.
I miss you mshua , I wish that heaven have visiting hours , so I could come by and ask your advice
Kweli kabisaMkuu tukiweka unafki pembeni hero from Chato anakumbukwa kwa mema yake
Ameyatafuta !!Haya mambo ya dini wewe waachie wafia dini, kule kwingine nako kuna kauli mbiu hakuna mwenyezi Mungu isipokuwa Allah.
Pole Sana,be strongI was not there lakini last few days nilienda kumuona, alikua na Hali Fulani ngumu, alipata second stroke, hakuweza kuongea LAKINI alinishika mkono wangu kwa nguvu sana Kisha nikatokwa na machozi, alikua ananihakikishia kuwa nisiwe na mashaka atapona! Man, that's still the worst scenerio ninayoikumbuka. Naandika hivi huku machozi yananitoka. She was among the best Mom ever.....then tarehe 13/04/2017 asubuhi as I was getting out kwenye meeting I received a call.....nililia kama Mtoto. Niliondoka Dar jioni ya siku Ile 13/04/2017 kama Jana then 15/04/2017 tukampunzisha. Sitaki kukumbuka hiki kitu kabisa.
Siku mbili hizi zimekua ngumu sana kwangu Kila mwaka nakumbuka hili tukio napata shida mnooooo.