Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
I was not there lakini last few days nilienda kumuona, alikua na Hali Fulani ngumu, alipata second stroke, hakuweza kuongea LAKINI alinishika mkono wangu kwa nguvu sana Kisha nikatokwa na machozi, alikua ananihakikishia kuwa nisiwe na mashaka atapona! Man, that's still the worst scenerio ninayoikumbuka. Naandika hivi huku machozi yananitoka. She was among the best Mom ever.....then tarehe 13/04/2017 asubuhi as I was getting out kwenye meeting I received a call.....nililia kama Mtoto. Niliondoka Dar jioni ya siku Ile 13/04/2017 kama Jana then 15/04/2017 tukampunzisha. Sitaki kukumbuka hiki kitu kabisa.
Siku mbili hizi zimekua ngumu sana kwangu Kila mwaka nakumbuka hili tukio napata shida mnooooo.
Siku mbili hizi zimekua ngumu sana kwangu Kila mwaka nakumbuka hili tukio napata shida mnooooo.