Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

I was not there lakini last few days nilienda kumuona, alikua na Hali Fulani ngumu, alipata second stroke, hakuweza kuongea LAKINI alinishika mkono wangu kwa nguvu sana Kisha nikatokwa na machozi, alikua ananihakikishia kuwa nisiwe na mashaka atapona! Man, that's still the worst scenerio ninayoikumbuka. Naandika hivi huku machozi yananitoka. She was among the best Mom ever.....then tarehe 13/04/2017 asubuhi as I was getting out kwenye meeting I received a call.....nililia kama Mtoto. Niliondoka Dar jioni ya siku Ile 13/04/2017 kama Jana then 15/04/2017 tukampunzisha. Sitaki kukumbuka hiki kitu kabisa.

Siku mbili hizi zimekua ngumu sana kwangu Kila mwaka nakumbuka hili tukio napata shida mnooooo.
 
I was not there lakini last few days nilienda kumuona, alikua na Hali Fulani ngumu, alipata second stroke, hakuweza kuongea LAKINI alinishika mkono wangu kwa nguvu sana Kisha nikatokwa na machozi, alikua ananihakikishia kuwa nisiwe na mashaka atapona! Man, that's still the worst scenerio ninayoikumbuka. Naandika hivi huku machozi yananitoka. She was among the best Mom ever.....then tarehe 13/04/2017 asubuhi as I was getting out kwenye meeting I received a call.....nililia kama Mtoto. Niliondoka Dar jioni ya siku Ile 13/04/2017 kama Jana then 15/04/2017 tukampunzisha. Sitaki kukumbuka hiki kitu kabisa.

Siku mbili hizi zimekua ngumu sana kwangu Kila mwaka nakumbuka hili tukio napata shida mnooooo.
Pole sana mkuu.
 
I was not there lakini last few days nilienda kumuona, alikua na Hali Fulani ngumu, alipata second stroke, hakuweza kuongea LAKINI alinishika mkono wangu kwa nguvu sana Kisha nikatokwa na machozi, alikua ananihakikishia kuwa nisiwe na mashaka atapona! Man, that's still the worst scenerio ninayoikumbuka. Naandika hivi huku machozi yananitoka. She was among the best Mom ever.....then tarehe 13/04/2017 asubuhi as I was getting out kwenye meeting I received a call.....nililia kama Mtoto. Niliondoka Dar jioni ya siku Ile 13/04/2017 kama Jana then 15/04/2017 tukampunzisha. Sitaki kukumbuka hiki kitu kabisa.

Siku mbili hizi zimekua ngumu sana kwangu Kila mwaka nakumbuka hili tukio napata shida mnooooo.
Pole..Mungu akutie..nguvu.Ni vigumu kusahau hasa anapokuwa mama[emoji24]
 
Mtateseka nikiwa nimekufa lakini siyo nikiwa hai, 12 hours before his death, then tukaenda mtoni doing our laundry with him, as he insisted that we must do it bse the next day we were about to embark a journey.

Usiku alisema twende tukakale mwanangu then he died.

I miss you mshua , I wish that heaven have visiting hours , so I could come by and ask your advice

Poleni sana, life goes on [emoji1545]
 
Mtateseka nikiwa nimekufa lakini siyo nikiwa hai, 12 hours before his death, then tukaenda mtoni doing our laundry with him, as he insisted that we must do it bse the next day we were about to embark a journey.

Usiku alisema twende tukakale mwanangu then he died.

I miss you mshua , I wish that heaven have visiting hours , so I could come by and ask your advice

Poleni sana, life goes on [emoji1545]
 
I was not there lakini last few days nilienda kumuona, alikua na Hali Fulani ngumu, alipata second stroke, hakuweza kuongea LAKINI alinishika mkono wangu kwa nguvu sana Kisha nikatokwa na machozi, alikua ananihakikishia kuwa nisiwe na mashaka atapona! Man, that's still the worst scenerio ninayoikumbuka. Naandika hivi huku machozi yananitoka. She was among the best Mom ever.....then tarehe 13/04/2017 asubuhi as I was getting out kwenye meeting I received a call.....nililia kama Mtoto. Niliondoka Dar jioni ya siku Ile 13/04/2017 kama Jana then 15/04/2017 tukampunzisha. Sitaki kukumbuka hiki kitu kabisa.

Siku mbili hizi zimekua ngumu sana kwangu Kila mwaka nakumbuka hili tukio napata shida mnooooo.
Pole sana mpendwa
 
Hakufia hospitalin..
nakumbuka ilikuwa asubuhi nilikuwa nafua nguo zangu za shule, mzee alitoka chumban kwake akasimama mlangoni akawa ananiangalia nikashtuka nikamwambia mbona umeniangalia muda mrefu sana kuna kitu labda ulitaka uniambie akasema hapana babu akaingia ndani akalala. rip babu.

Dah, hapo unawaza sijui alishajua ila kusema hawezi[emoji22] poleni sana , life goes on…
 
Me sijawahi kuona mtu anakufa but I dread the day coming that' I'll witness such....

Nilisimuliwa wakati Babu kafa, walikuwa wameenda kumuona hospitali, sasa wamekaa kwenye viti wanapiga story Babu kalala, wakasikia amekohoa mara Moja. Hawakumtilia maanani, dakika chache baadae ndo wakagundua he's gone. Just like that.

Bibi naye walikuwa naye hospitali, akaanza kupata kwikwi, akahangaika na kwikwi wee manesi wakaitwa, ndugu wakaambiwa watoke, hata dakika haijaisha she was gone!
 
Mungu alizaa mtoto?
Ana mke?
Wapi kasema ana mwana?
Unazungumza kuhusu mungu ujue Nani aliyekuambia kila mtoto anapatikana kwa kusex..ndizi inamkungu inasex,Kama kuku anatoka kwenye yai kipi kinachokufanya uone yeye kuwa na mtoto ni kugumu??.Sifa ya kutozaa au kuzaliwa akumfanyi yeye kutokuwa na mtoto na Wala haitaji mke..ACHA KUWAZA NGONO
 
Usijali kuna siku utapasha tu kiporo
shes-gotta-have-it-laughing.gif
 
Back
Top Bottom