Je, dini ni upendo au ni chuki? Vita na mauaji yaliyokithiri

Je, dini ni upendo au ni chuki? Vita na mauaji yaliyokithiri

Kwa ni hayo maagizo bado yapo kwenye vitabu vya kiimani kwa nini sasa haya kupata kufutwa kama ni maagizo yaliyo kisha muda ?

Na kwa nini maagizo yawe ya umwagaji mkubwa wa damu wakati huo unasema maamrisho ya dini ni upendo ?

Huo upendo una onekana wapi huku mapanga yakishikwa ?
Kwa msomaji makini wa vitabu hivyo utaelewa yaliyomo yanalenga wakati gani, mfano Waisrael waliambiwa wamtazame nyoka wa shaba watapona, lakini Wakristo hatumtazami nyoka Ili tupone bali YESU.Jino kwa jino ni wale kabla ya Kristo, Mkristo alipizi ubaya kwa ubaya kama zamani bali ubaya kwa wema, hili ni somo la emotional intelligence mbinu za kuishi na mtu mwenye hasira au jinsi ya kujitibu tatizo la hasira
 
Maagizo ya Allah ni yapi tofauti na upanga na jihad ?
Soma nguzo kuu za uislamu utauelewa.
Uislamu ni amani upanga na jihad ( ugaidi ) hizi ni tamaa tu za kutaka maslai ya kidunia.Makundi yote ya kigaidi yanafadhiliwa na watu wa magaribi kuelekea agenda ya New world order Ili kuubomoa uislamu, jiulize ushawahi sikia mambo ya ugaidi yanaendelea tena duniani, hizo ni agenda SAwa na corona, ushoga, mazingira. Agenda yao kuu SAsa hivi ni kupromote ushoga kupitia mpira, katuni, miziki, filamu nk. So ugaidi si uislamu.
 
Kwa msomaji makini wa vitabu hivyo utaelewa yaliyomo yanalenga wakati gani, mfano Waisrael waliambiwa wamtazame nyoka wa shaba watapona, lakini Wakristo hatumtazami nyoka Ili tupone bali YESU.Jino kwa jino ni wale kabla ya Kristo, Mkristo alipizi ubaya kwa ubaya kama zamani bali ubaya kwa wema, hili ni somo la emotional intelligence mbinu za kuishi na mtu mwenye hasira au jinsi ya kujitibu tatizo la hasira
Swali ni je hayo maagizo bado yapo ndani ya hivyo vitabu au yamefutwa ? Na kama hayaja futwa kwa nini ?

Na kwa nini yaliwekwa wakati unasema Mungu wa hizo dini na dini zenyewe ni upendo ?
 
Upendo ni amri katika nguzo kuu za dini zote
Mbona uli shindwa kutekelezeka na kusababisha maafa ya vita yaliyo Leta umwagaji kubwa wa damu hapa duniani?
 
Swali ni je hayo maagizo bado yapo ndani ya hivyo vitabu au yamefutwa ? Na kama hayaja futwa kwa nini ?

Na kwa nini yaliwekwa wakati unasema Mungu wa hizo dini na dini zenyewe ni upendo ?
Bado yapo kama kujua asili ya kitu.
Mfano kuzaliwa kwa YESU na maisha yake utotoni sio muhimu kwetu sisi wakristo wa SAsa bali mafundisho yake ndio muhimu
 
Mbona uli shindwa kutekelezeka na kusababisha maafa ya vita yaliyo Leta umwagaji kubwa wa damu hapa duniani?
Sio KILA aliye na dini ni mwanadini.kila palipo Original na feki ipo.
Mfano kuna Mkatoliki na mkatoroka,kuna mpentekoste na mpendakote so sio KILA mwenye jina la dini anaishi dini hio, ufuasi wa dini ni matendo nje ya hapo wewe ni mkatoroka au mpendakote.
 
Soma nguzo kuu za uislamu utauelewa.
Uislamu ni amani upanga na jihad ( ugaidi ) hizi ni tamaa tu za kutaka maslai ya kidunia.Makundi yote ya kigaidi yanafadhiliwa na watu wa magaribi kuelekea agenda ya New world order Ili kuubomoa uislamu, jiulize ushawahi sikia mambo ya ugaidi yanaendelea tena duniani, hizo ni agenda SAwa na corona, ushoga, mazingira. Agenda yao kuu SAsa hivi ni kupromote ushoga kupitia mpira, katuni, miziki, filamu nk. So ugaidi si uislamu.
Ugaidi haupo kwa waisalam tu upo hata kwa wakristo, nenda kasome kitu kinacho itwa “Christian terrorism” uta pata kuni elewa .

Hizo nguzo za amani mbona hazi kuziilika wakati wa usambazaji wa hizo dini ?
 
Bado yapo kama kujua asili ya kitu.
Mfano kuzaliwa kwa YESU na maisha yake utotoni sio muhimu kwetu sisi wakristo wa SAsa bali mafundisho yake ndio muhimu
Kwa hiyo ni sahihi kuendelea kutunza maamrisho ya mauaji ya huyo Mungu wa hizo dini kwa wafuasi wake ili kuja kuya tekeleza tena pale patapo hitajika ?
 
Ugaidi haupo kwa waisalam tu upo hata kwa wakristo, nenda kasome kitu kinacho itwa “Christian terrorism” uta pata kuni elewa .

Hizo nguzo za amani mbona hazi kuziilika wakati wa usambazaji wa hizo dini ?
Naweka SAwa ugaidi sio dini bali tamaa ya Dunia,wakuu wa makundi haya ya kihuni ndio ujua mlengo wa kundi,achana na wapiganaji wa chini wale ni wapumbavu tu awajui lengo la kundi zaidi ya kuwabrainwashed tu,wafata mkumbo, cheap soldiers.
 
Sio KILA aliye na dini ni mwanadini.kila palipo Original na feki ipo.
Mfano kuna Mkatoliki na mkatoroka,kuna mpentekoste na mpendakote so sio KILA mwenye jina la dini anaishi dini hio, ufuasi wa dini ni matendo nje ya hapo wewe ni mkatoroka au mpendakote.
Ila kuna ukristo na uislam ulio tekeleza crussade war kwa watu si ndio ?
 
Kwa hiyo ni sahihi kuendelea kutunza maamrisho ya mauaji ya huyo Mungu wa hizo dini kwa wafuasi wake ili kuja kuya tekeleza tena pale patapo hitajika ?
Kama hayana madhara na si maagizo kwa SAsa hayana shida
 
Sio KILA aliye na dini ni mwanadini.kila palipo Original na feki ipo.
Mfano kuna Mkatoliki na mkatoroka,kuna mpentekoste na mpendakote so sio KILA mwenye jina la dini anaishi dini hio, ufuasi wa dini ni matendo nje ya hapo wewe ni mkatoroka au mpendakote.
Ki vipi una weza kumtambua mwadini na asie mwana dini ?
 
Naweka SAwa ugaidi sio dini bali tamaa ya Dunia,wakuu wa makundi haya ya kihuni ndio ujua mlengo wa kundi,achana na wapiganaji wa chini wale ni wapumbavu tu awajui lengo la kundi zaidi ya kuwabrainwashed tu,wafata mkumbo, cheap soldiers.
Kwa hiyo na huyo Mungu mkuu wa hizo dini ukristo,uislam na uyahudi ali wabrainwash wafuasi wake na kuwa amuru kutekelezeka mauaji kupitia vita vilivyo acha simanzi kubwa kwa watu ?
 
Ila kuna ukristo na uislam ulio tekeleza crussade war kwa watu si ndio ?
Hawa walipigania dini lakini sio maagizo ya dini.
Hizi vita dini iliingizwa Ili kulinda himaya.
Crusade, Wakatoliki walitembeza majambia hatari kwa waislamu Ili kuwablock wasienee ulaya.Kumbuka wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwatawala waarabu ndani ya mfumo mmoja ( Islam ).
 
Back
Top Bottom