Je, dini ni upendo au ni chuki? Vita na mauaji yaliyokithiri

Je, dini ni upendo au ni chuki? Vita na mauaji yaliyokithiri

Hawa walipigania dini lakini sio maagizo ya dini.
Hizi vita dini iliingizwa Ili kulinda himaya.
Crusade, Wakatoliki walitembeza majambia hatari kwa waislamu Ili kuwablock wasienee ulaya.Kumbuka wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwatawala waarabu ndani ya mfumo mmoja ( Islam ).
Kumbuka crussade hai kupiganwa dhidi ya waislam tu hata kwa raia wa nyingine za ulaya nao walionja maumivu ya crussade war .

je dini ni upendo au ni mauaji na visa vya kutisha ?
 
Matendo ni kipimo tosha.
Kuna matendo ya dini na matendo yasiyo ya dini
Kwa hiyo kwa matendo wale walio sambaza dini walikua wahuni na wala hawa kuwa wana dini licha ya kua mahali walipo sambaza hizo dini kwa njia ya mauaji mpaka leo dini zimemea ?

Je hizo hizo dini zilizo sambazwa na wahuni na mafundisho yake yana paswa kutafasirika kama ya kihuni mfano maamrisho ya mauaji na vita si ndivyo ?
 
Shida huja kama utayatumia yasiyokuhusu,ukuamrishwa wewe kwann ule pilipili
Kwa hiyo na mafundisho mengine yote yaliyo ndani ya hivyo vitabu haya wahusu wale ambao hawa kupewa hayo maelekezo kuya zingatia na kuya tekeleza ?

Je hivyo vitabu ni vya kundi fulani la watu au ni vya waamini wote wa hizo dini ?
 
Kwa hiyo na mafundisho mengine yote yaliyo ndani ya hivyo vitabu haya wahusu wale ambao hawa kupewa hayo maelekezo kuya zingatia na kuya tekeleza ?

Je hivyo vitabu ni vya kundi fulani la watu au ni vya waamini wote wa hizo dini ?
Kuna maaagizo yalihusu kabila fulani au Jamii fulani kwa wakati ule,mfano kutengeneza safina, na sheria zingine za zamani sisi baada ya Kristo hayatuhusu
 
Kwa hiyo kwa matendo wale walio sambaza dini walikua wahuni na wala hawa kuwa wana dini licha ya kua mahali walipo sambaza hizo dini kwa njia ya mauaji mpaka leo dini zimemea ?

Je hizo hizo dini zilizo sambazwa na wahuni na mafundisho yake yana paswa kutafasirika kama ya kihuni mfano maamrisho ya mauaji na vita si ndivyo ?
Kuua yeyeto asiye na hatia sio agizo la dini
 
Kumbuka crussade hai kupiganwa dhidi ya waislam tu hata kwa raia wa nyingine za ulaya nao walionja maumivu ya crussade war .

je dini ni upendo au ni mauaji na visa vya kutisha ?
Dini ni pana inategemea na wewe unaichukulia kwa tafsiri yako kinegative au positive.
Lakini dini inabakia kama jambo la positive
 
Kwa hiyo na huyo Mungu mkuu wa hizo dini ukristo,uislam na uyahudi ali wabrainwash wafuasi wake na kuwa amuru kutekelezeka mauaji kupitia vita vilivyo acha simanzi kubwa kwa watu ?
Mungu amiliki makundi ya wahuni,pili ni ushahidi gani walichochewa na Mungu na sio shetani kufanya mauaji kupitia dini Ili kuichafua
 
Walituacha tunaishangaa Biblia, tukifunga macho na kusali, wakachukuwa utajiri wetu wa Afrika. Kibaya zaidi wakapiga marufuku imani zetu wakidai tunaabudu mizimu. Wafu wao ni watakatifu ila wetu ni mizimu. Je unaona hiyo vita?? Hakika hizi dini hazitakifikisha kwa Mungu wa kweli. Ni maujanja tu ya Wazungu.
 
Kuna maaagizo yalihusu kabila fulani au Jamii fulani kwa wakati ule,mfano kutengeneza safina, na sheria zingine za zamani sisi baada ya Kristo hayatuhusu
Ila mafundisho yake yana wahusu si ndivyo ?
 
Kuua yeyeto asiye na hatia sio agizo la dini
Ila yalikua magizo ya Mungu wa dini hizo kwa wafuasi wake kuua watu wa maeneo fulani kutokana na maamrisho ya huyo Mungu kwa hao watu kutendewa hayo ? Huya maamrisho ya huyo Mungu wa hizo dini unaweza kuya pata kupitia maandishi yapatikanayo kwenye hivyo vitabu vya hizo dini .
 
Dini ni pana inategemea na wewe unaichukulia kwa tafsiri yako kinegative au positive.
Lakini dini inabakia kama jambo la positive
Lina baki kuwa jambo la positive kwa kuua maelfu na maelfu kwa upanga si ndivyo ?
 
Mungu amiliki makundi ya wahuni,pili ni ushahidi gani walichochewa na Mungu na sio shetani kufanya mauaji kupitia dini Ili kuichafua
Kwa hiyo usambazaji wa hizo dini ulicho chewa na shetani ? Kwa hiyo ni haki kusema huyo Mungu wa hizo dini ndie shetani mkuu mtoa maagizo si ndivyo ?
 
Walituacha tunaishangaa Biblia, tukifunga macho na kusali, wakachukuwa utajiri wetu wa Afrika. Kibaya zaidi wakapiga marufuku imani zetu wakidai tunaabudu mizimu. Wafu wao ni watakatifu ila wetu ni mizimu. Je unaona hiyo vita?? Hakika hizi dini hazitakifikisha kwa Mungu wa kweli. Ni maujanja tu ya Wazungu.
Je ni ujanja au ni uhuni kusambaza dini kwa matumizi ya upanga kufyeka wale wasio waaminio ?
Je dini ni upendo au ni mauaji ya kutisha, vita, visasi ?
 
Kwa hiyo usambazaji wa hizo dini ulicho chewa na shetani ? Kwa hiyo ni haki kusema huyo Mungu wa hizo dini ndie shetani mkuu mtoa maagizo si ndivyo ?
Shetani uchochea watu wauane kupitia dini
 
Ila yalikua magizo ya Mungu wa dini hizo kwa wafuasi wake kuua watu wa maeneo fulani kutokana na maamrisho ya huyo Mungu kwa hao watu kutendewa hayo ? Huya maamrisho ya huyo Mungu wa hizo dini unaweza kuya pata kupitia maandishi yapatikanayo kwenye hivyo vitabu vya hizo dini .
Mungu haitaji msaada wa Mwanadamu kumpigania ujipigania mwenyewe
 
Je ni ujanja au ni uhuni kusambaza dini kwa matumizi ya upanga kufyeka wale wasio waaminio ?
Je dini ni upendo au ni mauaji ya kutisha, vita, visasi ?
Hakuna maamrisho kwa dini zote kuwalazimisha watu waingie dini bali wameagizwa wawaingize kwa upendo na sio nguvu
 
Back
Top Bottom