Je, dini ni upendo au ni chuki? Vita na mauaji yaliyokithiri

Je, dini ni upendo au ni chuki? Vita na mauaji yaliyokithiri

Sio maagizo ya dini
Je maagizo ya mauaji kwa upanga haya patikani ndani ya hivyo vitabu vya kidini viitwavyo vitabu vitakatifu vitumiavyo na hao wafuasi wa hizo dini ?

Na kwa nini hayo maamrisho bado yana endelea kudumu ?
 
Kuna wakati watu huzitumia dini kwa naskahi yao binafsi na hapa ndipo matatizo yanapkanza,mfano kwenye hoja za kugawana ngawira
 
Mungu haitaji msaada wa Mwanadamu kumpigania ujipigania mwenyewe
Kwa nini hayo maagizo yake hasinge yatekeleza yeye mwenyewe pasipo kuamrisha wafuasi wake ?
 
Hakuna maamrisho kwa dini zote kuwalazimisha watu waingie dini bali wameagizwa wawaingize kwa upendo na sio nguvu
Je ni upendo upi ulitumika kuwa ingiza hao watu humo ? Au mauaji ya upanga yaliyo na yanayo gharimu maisha ya watu kwako wewe ni ndio tafsiri ya upendo ?
 
Adui wa dini ni shetani so utumia watu kuharibu kupotosha dini
Kwa hiyo hao watu wali tumiwa na huyo shetani kusambaza hizo dini ? Anhaa kwa hiyo ni sahihi kuziita hizo dini kuwa ni dini za huyo shetani ?
 
Je ni upendo upi ulitumika kuwa ingiza hao watu humo ? Au mauaji ya upanga yaliyo na yanayo gharimu maisha ya watu kwako wewe ni ndio tafsiri ya upendo ?
Wapi Mungu aliagiza Crusade na jihad
 
Dini haifundishi mabaya
Lakini mauaji ya kutisha ya upanga yana patikana ndani ya dini na vitabu vyake au hayo kwako sio mabaya ni mema yafurahishayo roho yako ?
 
Kuna wakati watu huzitumia dini kwa naskahi yao binafsi na hapa ndipo matatizo yanapkanza,mfano kwenye hoja za kugawana ngawira
Wana zitumia dini vibaya au wana tii maamrisho yapatikanayo katika hizo dini au watendayo yapo nje ya duara za hizo dini ?
 
Umemsingizia uongo
Uongo ni upi ? Kwani mafundisho ya mauji haya patikani ndani vitabu vya hizo dini mpaka wewe mwenyewe uka kiri kuwa yapo agano la kale ?
 
Back
Top Bottom